Nashauri, Tar 20 April, Simba SC, asiingize timu uwanjani, kutakuwa na udhalilishaji

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,260
4,133
Ndugu wana SSC, kama mnavyojua timu yetu pendwa imeshapoteana na mpaka sasa haijulikani mkwamo upo wapi.

Kuna changamoto kuu 4 hazina majibu !

1. Career development ya timu haipo, kama mnavoona focus ya timu ipo kwenye matangazo na branding, na sio ubora wa timu

2. Binafsi, natamani Mo atolewe SSC, ili timu ijulikane haina muwekezaji and the right one will come, tupo kwenye comfort zone ya Mo , ndio inawatesa wana SSC. Binafsi uwekezaji wa mwamedi ninauona wa mchongo sana

3. SIMBA SSC Haina kamati ya Usajili, inakwenda kucheza na yanga iliyobora na imefuzu nusu fainal klabu bingwa lakini wakadhulumiwa.

Kwangu mimi Mamelody alitolewa and yanga has proven to be the best club in Africa. Best team na I am sure kama tukirudia game na mamelody , atafungwa bila wasi. Kwa sasa Yanga ndio timu kubwa Africa. Na kama Yanga angepangiwa na Al ahly basi leo hii Yanga ingekuwa ipo final . Kama sio Yanga kufanyiwa fitna, nina hakika 95% Yanga angechukua Kombe la Africa at the first opportunity.

4. Sijawahi kuwa na imani na uongozi wa wazee, hivyo Salim na mwenzie wakae pembeni, inawezekana tatizo lipo hapa pia

Anyway, my point ni SSC isiingize timu tar 20 , tutashuhudia aibu ya mwaka, this time zitapigwa 12 , Hasira zote za Dar Young Africans za kudhulumiwa goli halali la Stephan Aziz K watazishushia kwa SSC. Ninaona Benchika akitimuliwa kama kafara , lakini tatzo sio kocha, kila mtu anajua shda nini.
 
Mo dewji akijitoa mtatafutana. Mchezaji hata wa sign fee ya dola moja hamtoweza kumudu.

Tatizo sio mo tatizo ni usajili mbovu ambao mo hausiki.
 
Mkuu, mechi za kariakoo haziamuliwi na ubora wa kikosi. Mimi niliamini hilo Yanga iliyokuwa bora kabisa tukafungwa 2-0 na Simba iliyokuwa inachechemea pale kwa Mkapa tena tukiponea chupuchupu kuongezwa! Kiufupi tulinyanyasika.
 
Hivi MO Dewji,
hawaoni wachezaji vijana wa Mashujaa ?
Wako vizuri sana wale vijana.

Wana nguvu uwezo na kila kipaji cha mpila, na sijui kama wanalipwa mshahala.

Kweli maisha ni bahati
 
Ndugu wana SSC, kama mnavyojua timu yetu pendwa imeshapoteana na mpaka sasa haijulikani mkwamo upo wapi.

Kuna changamoto kuu 4 hazina majibu !

1. Career development ya timu haipo, kama mnavoona focus ya timu ipo kwenye matangazo na branding, na sio ubora wa timu

2. Binafsi, natamani Mo atolewe SSC, ili timu ijulikane haina muwekezaji and the right one will come, tupo kwenye comfort zone ya Mo , ndio inawatesa wana SSC. Binafsi uwekezaji wa mwamedi ninauona wa mchongo sana

3. SIMBA SSC Haina kamati ya Usajili, inakwenda kucheza na yanga iliyobora na imefuzu nusu fainal klabu bingwa lakini wakadhulumiwa.

Kwangu mimi Mamelody alitolewa and yanga has proven to be the best club in Africa. Best team na I am sure kama tukirudia game na mamelody , atafungwa bila wasi. Kwa sasa Yanga ndio timu kubwa Africa. Na kama Yanga angepangiwa na Al ahly basi leo hii Yanga ingekuwa ipo final . Kama sio Yanga kufanyiwa fitna, nina hakika 95% Yanga angechukua Kombe la Africa at the first opportunity.

4. Sijawahi kuwa na imani na uongozi wa wazee, hivyo Salim na mwenzie wakae pembeni, inawezekana tatizo lipo hapa pia

Anyway, my point ni SSC isiingize timu tar 20 , tutashuhudia aibu ya mwaka, this time zitapigwa 12 , Hasira zote za Dar Young Africans za kudhulumiwa goli halali la Stephan Aziz K watazishushia kwa SSC. Ninaona Benchika akitimuliwa kama kafara , lakini tatzo sio kocha, kila mtu anajua shda nini.
Ulichokisema ni kweli kuhusu Yanga yangu nisisitize viongozi wa yanga na wachezaji wasikubali kufungwa na simba ili kuwatuliza mashabiki wao waliojaa hasira kama koboko.
Tunataka kuidhihirishia Afrika na dunia kuwa sisi ni timu kubwa kwa kuchukua vikombe vyote vilivyobaki vya Tanzania na kama tusingefanyiwa dhuluma na hilo kombe lao la mchongo tungelibeba.
 
Ndugu wana SSC, kama mnavyojua timu yetu pendwa imeshapoteana na mpaka sasa haijulikani mkwamo upo wapi.

Kuna changamoto kuu 4 hazina majibu !

1. Career development ya timu haipo, kama mnavoona focus ya timu ipo kwenye matangazo na branding, na sio ubora wa timu

2. Binafsi, natamani Mo atolewe SSC, ili timu ijulikane haina muwekezaji and the right one will come, tupo kwenye comfort zone ya Mo , ndio inawatesa wana SSC. Binafsi uwekezaji wa mwamedi ninauona wa mchongo sana

3. SIMBA SSC Haina kamati ya Usajili, inakwenda kucheza na yanga iliyobora na imefuzu nusu fainal klabu bingwa lakini wakadhulumiwa.

Kwangu mimi Mamelody alitolewa and yanga has proven to be the best club in Africa. Best team na I am sure kama tukirudia game na mamelody , atafungwa bila wasi. Kwa sasa Yanga ndio timu kubwa Africa. Na kama Yanga angepangiwa na Al ahly basi leo hii Yanga ingekuwa ipo final . Kama sio Yanga kufanyiwa fitna, nina hakika 95% Yanga angechukua Kombe la Africa at the first opportunity.

4. Sijawahi kuwa na imani na uongozi wa wazee, hivyo Salim na mwenzie wakae pembeni, inawezekana tatizo lipo hapa pia

Anyway, my point ni SSC isiingize timu tar 20 , tutashuhudia aibu ya mwaka, this time zitapigwa 12 , Hasira zote za Dar Young Africans za kudhulumiwa goli halali la Stephan Aziz K watazishushia kwa SSC. Ninaona Benchika akitimuliwa kama kafara , lakini tatzo sio kocha, kila mtu anajua shda nini.
Uyo yanga si kashafungwa na ahly au yanga ipi?
 
Mkuu, mechi za kariakoo haziamuliwi na ubora wa kikosi. Mimi niliamini hilo Yanga iliyokuwa bora kabisa tukafungwa 2-0 na Simba iliyokuwa inachechemea pale kwa Mkapa tena tukiponea chupuchupu kuongezwa! Kiufupi tulinyanyasika.
Hiyo ni zamani,sasa hivi mwenzako akiwa yupo bora na wewe tia maji tia maji fahamu kuwa kono la nyani linakuhusu,refer ya tarehe 5 November 2023.
 
1bed69f1-4964-404e-b93f-7ac422097f0b.jpg
 
Mo dewji akijitoa mtatafutana. Mchezaji hata wa sign fee ya dola moja hamtoweza kumudu.

Tatizo sio mo tatizo ni usajili mbovu ambao mo hausiki.

That is your comfort zone. Kuna watu wengi sana wanaitamani SSC. Wanashindwa kutokana na uwepo wa Mo. unachosema we ni sawa na yule mwanamke yupo kwa mume mwenye hela lakini hazioni hela na mateso anapata. Anachofaidika ni kuwepo kwenye nyumba nzuri na chakula.

Lakini kiuhalisia wapo wanaume tunamtamani huyo mwanamke tumpe mapenzi bora. Comfort zone yake ndio itamfanya aendelee na mateso

GSM anatoa yanga less than 3 B , pesa nyingine zinatoka wapi?
Sio kweli kuwa Mo ndio anaisaidia SSC , SSC inamapato yake MO pia anafanya biashara snaa lupitia SSC. SimBa haiwezi kukosa mdhamini wa maana akiondoka MO, kwangu MO yupo kwa manufaa yake binafsi

SSC inapata hela za makundi, robo final n’a inamapato

MO akiondolewa SSC , nakupa miezi 6 inapata mdhamini

You don’t know how much MO gets kupitia SSC , it is A lot.

Mo is just a con artist - Tapeli
 
Mo dewji akijitoa mtatafutana. Mchezaji hata wa sign fee ya dola moja hamtoweza kumudu.

Tatizo sio mo tatizo ni usajili mbovu ambao mo hausiki.

Tatizo la usajili linaanzia kwa MO
Hence mo ni tatizo SSC

Mo is con artist

Yoyote anayesema Mo sio tatizo ni kwamba hajafanya analysis vema

Mo is the biggest problem behind the scene. He is a cut-off point , yaan akiondoka Mo matatizo yote yataondoka

I mean akiondoka Mo

Salim atasepa na yeye. Yule mzee imani kale kaandunje nako katasepa. Kamati ya usajili enzi za hans pope itaundwa. Mwekezaji wa maana atapatikana
 
Ulichokisema ni kweli kuhusu Yanga yangu nisisitize viongozi wa yanga na wachezaji wasikubali kufungwa na simba ili kuwatuliza mashabiki wao waliojaa hasira kama koboko.
Tunataka kuidhihirishia Afrika na dunia kuwa sisi ni timu kubwa kwa kuchukua vikombe vyote vilivyobaki vya Tanzania na kama tusingefanyiwa dhuluma na hilo kombe lao la mchongo tungelibeba.

Hata kwa kuloga SSC hawezi kuifunga hii Yanga trust me . SSC akichezea goli chache basi ni 3 bila

Ni rahisi Yanga kufungwa na Ihefu sio SSC. Yaani hii SSC ya sasa ndio imfunge Yanga

Never on earth
 
Hiyo ni zamani,sasa hivi mwenzako akiwa yupo bora na wewe tia maji tia maji fahamu kuwa kono la nyani linakuhusu,refer ya tarehe 5 November 2023.
Zamani gani unayoongelea Mkuu? Umesahau ni mwaka jana tu hapo April 16 walitufunga 2-0 na tulikuwa na hadi Mayele ndani? Ni kwamba tuombe tu kheri wasituotee mapema tena.
 
Ndugu wana SSC, kama mnavyojua timu yetu pendwa imeshapoteana na mpaka sasa haijulikani mkwamo upo wapi.

Kuna changamoto kuu 4 hazina majibu !

1. Career development ya timu haipo, kama mnavoona focus ya timu ipo kwenye matangazo na branding, na sio ubora wa timu

2. Binafsi, natamani Mo atolewe SSC, ili timu ijulikane haina muwekezaji and the right one will come, tupo kwenye comfort zone ya Mo , ndio inawatesa wana SSC. Binafsi uwekezaji wa mwamedi ninauona wa mchongo sana

3. SIMBA SSC Haina kamati ya Usajili, inakwenda kucheza na yanga iliyobora na imefuzu nusu fainal klabu bingwa lakini wakadhulumiwa.

Kwangu mimi Mamelody alitolewa and yanga has proven to be the best club in Africa. Best team na I am sure kama tukirudia game na mamelody , atafungwa bila wasi. Kwa sasa Yanga ndio timu kubwa Africa. Na kama Yanga angepangiwa na Al ahly basi leo hii Yanga ingekuwa ipo final . Kama sio Yanga kufanyiwa fitna, nina hakika 95% Yanga angechukua Kombe la Africa at the first opportunity.

4. Sijawahi kuwa na imani na uongozi wa wazee, hivyo Salim na mwenzie wakae pembeni, inawezekana tatizo lipo hapa pia

Anyway, my point ni SSC isiingize timu tar 20 , tutashuhudia aibu ya mwaka, this time zitapigwa 12 , Hasira zote za Dar Young Africans za kudhulumiwa goli halali la Stephan Aziz K watazishushia kwa SSC. Ninaona Benchika akitimuliwa kama kafara , lakini tatzo sio kocha, kila mtu anajua shda nini.
Duu mbona uko ktkt, social inference tells me you're yanga SC die hard
 
Mkuu, mechi za kariakoo haziamuliwi na ubora wa kikosi. Mimi niliamini hilo Yanga iliyokuwa bora kabisa tukafungwa 2-0 na Simba iliyokuwa inachechemea pale kwa Mkapa tena tukiponea chupuchupu kuongezwa! Kiufupi tulinyanyasika.

Nifah, hayo ni mambo ya kizamani achana nayo hayapo.

Sio mbali ni tar 20 , SSC goli za chini atachezea tatu

Ni rahisi Yanga kufungwa na Ihefu au Azam lakini sio SSC hii ya mchongo chini ya con artist Mo
 
Back
Top Bottom