Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,367
Kelele nyingi, output ziro. Anakuja mjerumani anakuchinja kimyakimya.
Nusu ya gari ni bonnet? Lina inline 6 ama kwanini engine bay kubwa hivyo?
V8 twin turbo hybrid with electric motor.Nusu ya gari ni bonnet? Lina inline 6 ama kwanini engine bay kubwa hivyo?
Mkubwa mpishe apiteV8 twin turbo hybrid with electric motor.
750hp and 1000nm of torque.
Kuna jamaa wa TRA aliwahi kuniambua kwamba unaweza kupewa tax assessment kwa gari ambalo halimo kwenye ‘calculator’ yao, kwa kupiga hesabu kutokana na gharama halisi ulizonunulia gari. Ila itabidi uwe na ushahidi wa tangazo halisi la hilo gari (kwenye mtandao) na bei yake. Sijawahi kufanya hivi lakini. Sijui kama ni kweli!!Wangemmaliza, mwisho wa siku wakaipiga gari mnada.. TRA washenzi sana
Mara zote huwa wana maneno mazuri sana ila lete hio gari na ushahidi wako watakwambia sio sahihi na kukupa assessment Yao.Kuna jamaa wa TRA aliwahi kuniambua kwamba unaweza kupewa tax assessment kwa gari ambalo halimo kwenye ‘calculator’ yao, kwa kupiga hesabu kutokana na gharama halisi ulizonunulia gari. Ila itabidi uwe na ushahidi wa tangazo halisi la hilo gari (kwenye mtandao) na bei yake. Sijawahi kufanya hivi lakini. Sijui kama ni kweli!!
TRA acha tu, bado wana mambo ya kijima sana. Hata ma ushuru wanayo toza sasa hivi ni kama wana dublicate, nchi haiwezi kwenda bila kodi katika mifumo inayo balance, ila wao wanaondoka kabisa balance yani wanakua wanaumiza watuKuna jamaa wa TRA aliwahi kuniambua kwamba unaweza kupewa tax assessment kwa gari ambalo halimo kwenye ‘calculator’ yao, kwa kupiga hesabu kutokana na gharama halisi ulizonunulia gari. Ila itabidi uwe na ushahidi wa tangazo halisi la hilo gari (kwenye mtandao) na bei yake. Sijawahi kufanya hivi lakini. Sijui kama ni kweli!!
Kuna shida mahala, ila acha tupambane tu. Hata ushuru wa baadhi ya gari sio sahihi.. bora tungekuwa na kiwanda ndani ingekuwa sawa, kufanya ushuru juu.. ili kutubana tununue ya ndaniMara zote huwa wana maneno mazuri sana ila lete hio gari na ushahidi wako watakwambia sio sahihi na kukupa assessment Yao.
😀😀😀 Toyota anarudi V6 majamaaa yanakamua tu, wajapan hawajisikii vizuri kabisaV8 twin turbo hybrid with electric motor.
750hp and 1000nm of torque.
Kuna jamaa yangu kaisha anza nunu vitu, engine ilikufa sasa ameagiza engine ingine.. alichukua gari kutoka singaporeChukua A4 ila kaa mbali na gari zenye hio number plate aka Singapore product. Usithubutu.
Singapore wanatabia kama za Kinondoni,Sinza na Magomeni hata ukinunua Toyota unakuwa mashakani, Kuna mtu alichukua Toyota Hiace Quantum yenye injini ya 1KD, injini ikaanza na tatizo la cylinder head.Kuna jamaa yangu kaisha anza nunu vitu, engine ilikufa sasa ameagiza engine ingine.. alichukua gari kutoka singapore
Nafikiri huwa wanatoa vitu vizima wana weka vibovu, maana unakuta chuma imesimama kishenzi kumbe washachomoa engine na gear box.. wanakuwekea vya mtego mtego. Ila watu nao washtuke.. wanaonywa sana kuhusu SingaporeSingapore wanatabia kama za Kinondoni,Sinza na Magomeni hata ukinunua Toyota unakuwa mashakani, Kuna mtu alichukua Toyota Hiace Quantum yenye injini ya 1KD, injini ikaanza na tatizo la cylinder head.
Kuna wawili nawajua walichukua harrier chogo walijuta.Singapore wanatabia kama za Kinondoni,Sinza na Magomeni hata ukinunua Toyota unakuwa mashakani, Kuna mtu alichukua Toyota Hiace Quantum yenye injini ya 1KD, injini ikaanza na tatizo la cylinder head.
That's what they do.Nafikiri huwa wanatoa vitu vizima wana weka vibovu, maana unakuta chuma imesimama kishenzi kumbe washachomoa engine na gear box.. wanakuwekea vya mtego mtego. Ila watu nao washtuke.. wanaonywa sana kuhusu Singapore
Masoko kama middle east, russia, US, bado wanahitaji hizo gas guzzlers.😀😀😀 Toyota anarudi V6 majamaaa yanakamua tu, wajapan hawajisikii vizuri kab
Ajali ni kitu cha ajabu.....tukio la ajali huwa halidumu zaidi ya sekunde mbili, tatu at most..Ndiyo nilikuwa nimetoka zangu kumaliza driving school kujifunza manual then kesho yake nikachukua automatic nikaingia barabarani. Nikaenda na akili zangu za kimanual manual kwenye automatic nikajikuta nishaiva.
Sema wakati wa kuenda nilienda vizuri tu ila wakati wa kurudi sasa ndiyo nikatoa boko. Ilikuwa ni mitaa ya home tu nikiwa narudi ndiyo nataka nitoke kwenye lami nikunje kona niingie kushoto kwenye barabara ya vumbi inayoenda home.
Tulikokuwa tunaishi baadhi ya sehemu kuna ng'ombe na punda wengi wenyeji wanawatumiaga kubeba mizigo yao. Na huwa wanawachunga na kutembea nao barabarani hovyo tu hivyo kupishana nao kila siku ni jambo la kawaida.
Sasa wakati narudi ili nikaingie kwenye ile kona nilikuwa spidi nikajisahau kupunguza hivyo badala ya kukunja kona nikaenda nikagonga kile kizingiti cha kwenye kona. Vile ambavyo vinawekwaga kwenye kona pande zote mbili.
Vile vinajengwaga kwa zege na nondo halafu kwa chini kulikuwa na kamtaro kanapita. Kwahiyo nikagonga kile kikapinda kikawa kama kinataka kuingia kwenye mtaro then tairi ya upande wangu ikaingia kidogo kwenye mtaro.
Sasa pale kwenye kona karibu kabisa na ule mtaro palikuwa na ng'ombe anakula vimajani pale na mtu anayemchunga alikuwa pembeni yake. Yule mtu alipoona nimepoteza uelekeo akaruka akamuacha ng'ombe wake pale.
Sasa alipokuwa amesimama yule ng'ombe ndipo gari ilipoenda kugota kwahiyo ikampush yule ng'ombe akaanguka then number plate ikamkata kidogo kwenye mkuu. Sikuumia na gari ilitoka nzima ila tu bumper la mbele liliachia kidogo.
Jana nilipita maeneo yako ya kujidai, sema sikua huru ila nilishangaa shangaa sikukuona hata.Mengi yasiwe mambo nisije kufa njaa.
Nazungusha barafu hapa Kimara.
Tamuuuh ni kukanyaga gia tyuuh aaaah.
ila mommah bhana, aaaaahHahaaa wengi niliowasimulia walikuwa wanacheka. Wengine baada ya siku kadhaa wakawa wananiuliza kiutani eti vipi ng'ombe wetu anaendeleaje.
Ninachoshukuru mtu aliyekuwa amemshikilia yule ng'ombe alipoona nimepoteza muelekeo akaruka pembeni akamuacha ng'ombe wake. Vinginevyo yangekuwa mengine.
Hapo ndo nimetoka zangu driving school kujifunza Manual kama leo then kesho yake nikachukua Automatic nikaingia barabarani. Nikajikuta Michael Schumacher huyu hapa hihiiiii.