Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

RRONDO 9.8ms squared Extrovert Karma Bavaria Buyengwa mtongwe Watu8
VW Amarok hii itazinduliwa karibuni Kwa Mandela

Wakuu hivi VW Teramont/Atlas mbona naona kama siyo famous na hazina soko sana huku Bongo shida nini siyo nzuri ama? Maana Rwanda hapo wana plant ya kuassemble magari ya VW na naona kama Teramont kwao kidogo ni famous na zina soko na hata Kagame mwenyewe kuna picha niliwahi muona nalo moja!
 
Wakuu hivi VW Teramont/Atlas mbona naona kama siyo famous na hazina soko sana huku Bongo shida nini siyo nzuri ama? Maana Rwanda hapo wana plant ya kuassemble magari ya VW na naona kama Teramont kwao kidogo ni famous na zina soko na hata Kagame mwenyewe kuna picha niliwahi muona nalo moja!
Soko lipi? Hili la magari ya miaka 15 iliopita? Soko la magari mapya Tz bado dogo sana.
 
Wakuu hivi VW Teramont/Atlas mbona naona kama siyo famous na hazina soko sana huku Bongo shida nini siyo nzuri ama? Maana Rwanda hapo wana plant ya kuassemble magari ya VW na naona kama Teramont kwao kidogo ni famous na zina soko na hata Kagame mwenyewe kuna picha niliwahi muona nalo moja!
Hii gari ya miaka ya karibuni wanunuzi ni Mashirika, taasisi au Watu wachache wenye High income.

Na Kwa Taarifa mbaya haipo kwenye kikokotoo Cha watoza ushuru sije mtu akaagiza Chuma unakuja kupewa Quotation ya Kodi ambayo ni gharama ya kuzinunua hizo gari 2.
 
Soko lipi? Hili la magari ya miaka 15 iliopita? Soko la magari mapya Tz bado dogo sana.
Hahaaa bado tunapambana na magari yenye mileage kama mshahara wa mtu. Hizi zinaonekana ziko Vizuri sana sema tusubiri hadi 2030 huko ndiyo tutaona bongo watu wanaanza kujikongoja nazo maana ndiyo kwanza zimezaliwa 2017 sijui ila Rwanda tu hapo tayari wanazo na wanaziassemble kabisa.
 
Back
Top Bottom