Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 4,966
- 12,575
Toyota Supra "The Legendary"
Toyota Supra "The Legendary"
😁😁😁 kama imepigwa risasiiToyota Supra "The Legendary"
Mambo ya Flame thrower na Antilag, haya makelele yanawatia watu mzuka + uchizi.😁😁😁 kama imepigwa risasii
Hizi imekuwa mchezo wao nchi nzima, hilo liko Mafinga. Bora uumize shockup kwa kupanda hayo mabaki maana ukiliweka kati unaacha sumpBaada ya Wami! Wanatakiwa waje wajazie tena kifusi iwe tuta au wakwangue kusiwe na tuta ila kama kawaida yetu hamna anaejali. Hapo ili uwe salama kila tairi likanyage hayo mabaki.
Ha ha haGari ni dereva wala sio ishu ya Amarok ama sijui TDi! Huyo mwenye Amarok ukiwa jasiri unamsomesha namba tu chap hela ya kujazia tank iwepo tu maana tutachakazana kwa 7rpm kila dakika hamna rangi ataacha kuiona huyo bwege! Plus matumizi ya O/D on and off atafanywa mboga tu mbona
Soon tutaziona hapo CFAORRONDO 9.8ms squared Extrovert Karma Bavaria Buyengwa mtongwe Watu8
VW Amarok hii itazinduliwa karibuni Kwa Mandela
New Volkswagen Amarok global launch to take place in South Africa
Volkswagen has confirmed that the world premiere of the new Amarok will take place in South Africa:www.iol.co.za
Kila gari Lina balaa lake
😊😊😊 kanifurahisha tu chief, hana pressure na dancing yakeKila gari Lina balaa lake
Wakuu hivi VW Teramont/Atlas mbona naona kama siyo famous na hazina soko sana huku Bongo shida nini siyo nzuri ama? Maana Rwanda hapo wana plant ya kuassemble magari ya VW na naona kama Teramont kwao kidogo ni famous na zina soko na hata Kagame mwenyewe kuna picha niliwahi muona nalo moja!RRONDO 9.8ms squared Extrovert Karma Bavaria Buyengwa mtongwe Watu8
VW Amarok hii itazinduliwa karibuni Kwa Mandela
New Volkswagen Amarok global launch to take place in South Africa
Volkswagen has confirmed that the world premiere of the new Amarok will take place in South Africa:www.iol.co.za
Soko lipi? Hili la magari ya miaka 15 iliopita? Soko la magari mapya Tz bado dogo sana.Wakuu hivi VW Teramont/Atlas mbona naona kama siyo famous na hazina soko sana huku Bongo shida nini siyo nzuri ama? Maana Rwanda hapo wana plant ya kuassemble magari ya VW na naona kama Teramont kwao kidogo ni famous na zina soko na hata Kagame mwenyewe kuna picha niliwahi muona nalo moja!
Hii gari ya miaka ya karibuni wanunuzi ni Mashirika, taasisi au Watu wachache wenye High income.Wakuu hivi VW Teramont/Atlas mbona naona kama siyo famous na hazina soko sana huku Bongo shida nini siyo nzuri ama? Maana Rwanda hapo wana plant ya kuassemble magari ya VW na naona kama Teramont kwao kidogo ni famous na zina soko na hata Kagame mwenyewe kuna picha niliwahi muona nalo moja!
Gari mpya + TRA maumivu ya kichwa 😎Soko lipi? Hili la magari ya miaka 15 iliopita? Soko la magari mapya Tz bado dogo sana.
Makatili sana wale ma zakayooHii gari ya miaka ya karibuni wanunuzi ni Mashirika, taasisi au Watu wachache wenye High income.
Na Kwa Taarifa mbaya haipo kwenye kikokotoo Cha watoza ushuru sije mtu akaagiza Chuma unakuja kupewa Quotation ya Kodi ambayo ni gharama ya kuzinunua hizo gari 2.
Hahaaa bado tunapambana na magari yenye mileage kama mshahara wa mtu. Hizi zinaonekana ziko Vizuri sana sema tusubiri hadi 2030 huko ndiyo tutaona bongo watu wanaanza kujikongoja nazo maana ndiyo kwanza zimezaliwa 2017 sijui ila Rwanda tu hapo tayari wanazo na wanaziassemble kabisa.Soko lipi? Hili la magari ya miaka 15 iliopita? Soko la magari mapya Tz bado dogo sana.
Haha si ndiyo zao Wazee wa Tax = Price × 2Hii gari ya miaka ya karibuni wanunuzi ni Mashirika, taasisi au Watu wachache wenye High income.
Na Kwa Taarifa mbaya haipo kwenye kikokotoo Cha watoza ushuru sije mtu akaagiza Chuma unakuja kupewa Quotation ya Kodi ambayo ni gharama ya kuzinunua hizo gari 2.
Kuna jamaa yangu Baharia alikuwa German alipokuja Bongo Hiyo VW Atlas ilikuwa kwenye mpango wake baada ya kufatilia sana, akachukua zake Discovery 4 kupunguza mambo kuwa mengi.Makatili sana wale ma zakayoo
Wangemmaliza, mwisho wa siku wakaipiga gari mnada.. TRA washenzi sanaKuna jamaa yangu Baharia alikuwa German alipokuja Bongo Hiyo VW Atlas ilikuwa kwenye mpango wake baada ya kufatilia sana, akachukua zake Discovery 4 kupunguza mambo kuwa mengi.