Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mkuu bado unaishi na Fuga ?
Mwili umechoka sana kuanza roadtrip, ingawa roho inatamani sana nizianze mwezi wa tatu mwishoni ila mwili unagoma nikiwaza SGR inavyofanya maisha kuwa mepesi
Nnayo mkuu - ndoa katoliki hii. SGR nimepanda mara mbili tatu ila naona ntaendelea kutumia gari tu
 
Juzi niliona barabara kati ya Moro-Dom mvua imeleta mafuriko yamekata mawasiliano kabisa.
Moro-Dom karibia kila mwaka mvua ikinyesha ya maana huwa inatokea hiyo hali, kuanzia maeneo ya gairo kwenda kibaigwa lile eneo ni kama lina mkondo wa maji
 
Ukiangalia factors zifuatazo SGR vs self drive
1.Cost
2.Safety/Risk
3.Time
Unaachana na gari.
Yes but kuna
1. Convenience
2. Transport in destination city
3. Flexibility
Especially ukisafiri kikazi. Kazi zetu ziko nje ya mji, hazieleweki zitachukua how long and sometimes zinahitaji kuunganisha safari.

Niliachwa na prebooked ordinary ya Dom - Moro 1700 kwasababu nilifika stesheni 1657 milango ishafungwa. So I had to wait and pay for the next EMU- 70k hit. Then kesho yake I had a booking from Moro to Dar jioni ndio treni likapata ajali so I didn't bother kwenda stesheni nikapanda bus.

Did the math: the cost ya hizo tickets plus transport to & fro ilikuwa kubwa kuliko ningedrive.

Safety? Train is safe but to get to and from the stesheni napanda boda. Safety factor just dropped big time. Nipande taxi? Hello Cost? Na kumbuka naliwahi treni...

NIkikuambia nina dilemma on what to choose next week, I mean it.
 
Kazi kazi safari ipo hapa.
20260304_151625.jpg
 
Back
Top Bottom