RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,712
- 129,380
- Thread starter
- #22,081
Unakuja nalo Tz?Kazi kazi safari ipo hapa.
View attachment 3552498
Unakuja nalo Tz?Kazi kazi safari ipo hapa.
View attachment 3552498
Hiyo inaleta matunda mimi naleta za wateja nakuja na hizi..Unakuja nalo Tz?
Safi sana.Hiyo inaleta matunda mimi naleta za wateja nakuja na hizi..View attachment 3552720
Mambo ya Kill marathon ehee😋 nitakuja kukimbia km1 😂😂 au hamna?Next week nitakuwa huko North
Safii, wacha nianze mazoezi mdo mdo..Ipo 5km. Njoo ukichoka nitakubeba
Unakuja Tz?View attachment 3560093View attachment 3560094
Botswana hapo Border ni kama 20km mpaka Gaborone mjini..
Ndio Faza karibu Chuga..Unakuja Tz?
Ok sawa karibu nakupa bei ya dukani mimi ni msafirishaji nakuchaji gharama ya kusafisha tu kitu parts za magari na Service kit ya magari ya kutoka huku au Ulaya maana huko bei ni kubwa na oil wameichezea..Asante mkuu. Kuna muda utafika nitakuagiza vitu fulani from SA.
Pokea gari sasa .Dah! Wazee ngoja nitafute mpunga tu ninunue gari.
Kuna ile hali upo road kwenye gari kimvua kina nyesha kwa mbali, masika imetaradadi miti na nyasi za kijani na kibaridi cha mbali,, oya hii huwa ni zaid ya advanture .
Miaka mi3 mbele na mimi ntaleta ushuhuda hapa ntapiga picha dashboard .
Hio hali ya Masika ndio nimeendesha nayo jana usiku kucha. Kuanzia Bagamoyo hadi naingia mkoa wa Kilimanjaro.Dah! Wazee ngoja nitafute mpunga tu ninunue gari.
Kuna ile hali upo road kwenye gari kimvua kina nyesha kwa mbali, masika imetaradadi miti na nyasi za kijani na kibaridi cha mbali,, oya hii huwa ni zaid ya advanture .
Miaka mi3 mbele na mimi ntaleta ushuhuda hapa ntapiga picha dashboard .