Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hio hali ya Masika ndio nimeendesha nayo jana usiku kucha. Kuanzia Bagamoyo hadi naingia mkoa wa Kilimanjaro.
Wewe jamaa bado unahusika na gari kaka ?
Nimemuuza mnyama wangu corolla alianza mazoea mabaya na mimi ntamani nipate second hand car aisee ila kikibwa iweze kuhomili rough road maana naishi kijijini huku
 
Mkuu hivi ile corolla inaweza road trip Dar-Mbeya?
Nafurahia kujua kuwa kaka mkubwa unajua nilikuwa namiliki mnyama corolla.

Kiukweli Dar alikuwa hawezi kutoboa ila Njombe ameenda sana ,Dar nilikuwa naogopa naona kama nitamuoverdose
Nimemtoa mwezi mmoja nyuma kaka alianza mambo mapya nikajua hakuna kirefu kisicho na ncha ,sasa nataka kuingia ulimwengu mpya niachane na vya urithi kaka
 
Duh sasa itakuwaje mnyama umemuachia?
Roho inauma si kidogo ila kama mwanaume ilinibidi nikubali kuwa wakati ukuta na wakati wake umeisha maana kuna muda nilikuwa nikiikimbiza nasikia kama inagonga sana chini ,pelekq kwa fundi zaidi ya mara mbili tena garage zenye mafundi walau tunaowqamini mbeya ila bado hakuacha kulia zaidi ya kupumzika .

Ilinipa sonona siku nzima kukubali kuwa sasa naachana naye
 
Roho inauma si kidogo ila kama mwanaume ilinibidi nikubali kuwa wakati ukuta na wakati wake umeisha maana kuna muda nilikuwa nikiikimbiza nasikia kama inagonga sana chini ,pelekq kwa fundi zaidi ya mara mbili tena garage zenye mafundi walau tunaowqamini mbeya ila bado hakuacha kulia zaidi ya kupumzika .

Ilinipa sonona siku nzima kukubali kuwa sasa naachana naye
Kweli kila kitu kina mwisho.
 
Mwisho wa mwaka huu ndio ushafika. Wengine huwa tunapambana mwaka mzima siku za mwisho kama hizi ndio tunapumzika. Wale wa road trips ndio wakati wetu huu kupiga masafa mafupi, marefu na ya Kati. Mwaka huu napiga mikoa ya kaskazini Tanga, Kili na Arusha. Je mwenzangu road trips zako wapi?

Raha ya road trip inabidi uwe na
1. Kampani nzuri (pisi Kali itapendeza)
2. Gari yenye uwezo.
3. Mfuko uwe na afya kidogo

All in all drive safe and take care
mng'ato
Boeing 747
View attachment 1652044
Safari na mke wako acha umalaya
 
Back
Top Bottom