Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ukipita pale turiani Kuna boda pale pori tu unaibuka lushoto,mbele handeni
Lushoto iko juu ya milima usambara unapandia Mombo. Hio boda kutoka Turiani ina flyover inayoruka Mombo?
Hata ukipita Turiani utapita Handeni na lazima upite Korogwe halafu Mombo ndio uende Lushoto. Hio boda iko wapi?
Screenshot_20260407_065427_Maps.jpg
 
Hata ukipita Turiani utapita Handeni na lazima upite Korogwe halafu Mombo ndio uende Lushoto. Hio boda iko wapi?
View attachment 3568699
Huko kwingine kabisa mwana mi nilienda na Leyland Bus nilipandia Turiani,mara ya pili na baiskeli maana Bus ni once kwa wiki kadhaa.
Ni Chedikwe sijui ila ni Turiani-Handeni hapo porini katikati
 
Kesho Sunday napiga hii: Dar - Kilwa Masoko - Lindi - Mtwara - Dar.

2 Nights, 3 Days. Just joyride sina any plan.
IMG_7855.jpeg


-Njia ikoje sijawahi pita hii njia nadhani miaka 4+,
-Kwenye ivyo vituo nikazurure wapi? Nikalale wapi? Nikale wapi? Minimal budget.

Nataka niondoke Ubungo 6am, nikwepe jam ya Mbagala.
 
Kesho Sunday napiga hii: Dar - Kilwa Masoko - Lindi - Mtwara - Dar.

2 Nights, 3 Days. Just joyride sina any plan.
View attachment 3578998

-Njia ikoje sijawahi pita hii njia nadhani miaka 4+,
-Kwenye ivyo vituo nikazurure wapi? Nikalale wapi? Nikale wapi? Minimal budget.

Nataka niondoke Ubungo 6am, nikwepe jam ya Mbagala.
Uko vizuri. Nimesoma feedback yako. Njia ya kusini mbovu sana.
 
Back
Top Bottom