babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,958
- 20,281
Ukipita pale turiani Kuna boda pale pori tu unaibuka lushoto,mbele handeniMkuu Lushoto iko mlimani unapandia Mombo hio boda ni ipi? Au una maanisha Handeni?
Ukipita pale turiani Kuna boda pale pori tu unaibuka lushoto,mbele handeniMkuu Lushoto iko mlimani unapandia Mombo hio boda ni ipi? Au una maanisha Handeni?
Ukipita pale turiani Kuna boda pale pori tu unaibuka lushoto,mbele handeni
Hata ukipita Turiani utapita Handeni na lazima upite Korogwe halafu Mombo ndio uende Lushoto. Hio boda iko wapi?Lushoto iko juu ya milima usambara unapandia Mombo. Hio boda kutoka Turiani ina flyover inayoruka Mombo?
Huko kwingine kabisa mwana mi nilienda na Leyland Bus nilipandia Turiani,mara ya pili na baiskeli maana Bus ni once kwa wiki kadhaa.Hata ukipita Turiani utapita Handeni na lazima upite Korogwe halafu Mombo ndio uende Lushoto. Hio boda iko wapi?
View attachment 3568699
Main road tu, morogoro road, kisha chalinze msata ,, sichukuagi option za njia za vumbi zina cost sana miguuMorogoro Lushoto unapita njia gani?