RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,723
- 129,408
- Thread starter
- #22,041
ISO M.CodD vipi Kili tunaenda mwezi ujao? Hii SGR imenifanya nimepunguza road trip pia parasite wangu washaanza kuchoka mzuka wa kusafiri nao unaisha.
Duh umepotea sana. You know what? Kila nikiona Mbweni imetajwa nakukumbuka.Desert Safari
View attachment 3549218
Nipo ndugu yangu tunapishana tu, naingia mara moja moja sana, karibu sana mbweniDuh umepotea sana. You know what? Kila nikiona Mbweni imetajwa nakukumbuka.
Hahaha hatari yaani gari wanazotamba nazo watu bongo kule wanazikimbiza jangwani tena brand new kabisaHio ndio sehemu ambayo nimeona LC nyingi kuliko IST.
Kwanzia wamechukua iphone yangu kutoka mfukoni pale kili marathon sina hamu napo tena.ISO M.CodD vipi Kili tunaenda mwezi ujao? Hii SGR imenifanya nimepunguza road trip pia parasite wangu washaanza kuchoka mzuka wa kusafiri nao unaisha.
Duh pole sana. Vijana walikuingiza mjini Moshi. Mwaka huu Kili imesogea hadi March lwasababu ya mfungo.Kwanzia wamechukua iphone yangu kutoka mfukoni pale kili marathon sina hamu napo tena.
Nilikuwa milimani Disemba though. From there nikapiga Arusha > Dodoma > Mbeya > Njombe > Moro > Dar. Trip zinaendelea japo nimepunguza kukimbia kwakweli. Nazeeka I think
Maisha yanakwenda kasi sana mkuu,taratibu mwili unakuwa unakataa hekahekaTushazeeka hata kupiga road trip imekuwa kazi ngumu