Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kwanzia wamechukua iphone yangu kutoka mfukoni pale kili marathon sina hamu napo tena.

Nilikuwa milimani Disemba though. From there nikapiga Arusha > Dodoma > Mbeya > Njombe > Moro > Dar. Trip zinaendelea japo nimepunguza kukimbia kwakweli. Nazeeka I think
Mkuu nimeenda na kurudi na gari moja ya kinyoonge. Nineteseka sana😀😀😀😀. Yaani unajikongoja halafu zinakuja Ford ranger, LC200 na Crown zinapita shwaaaah sekunde 10 zinetoweka kabisa. Ninachowafanyia watu ndio kimenikutq
 
Mkuu nimeenda na kurudi na gari moja ya kinyoonge. Nineteseka sana😀😀😀😀. Yaani unajikongoja halafu zinakuja Ford ranger, LC200 na Crown zinapita shwaaaah sekunde 10 zinetoweka kabisa. Ninachowafanyia watu ndio kimenikutq
Kuendesha gari ya kichovu highway ni kipaji maalum. Pole mkuu kwa kulazimika kuvumilia. Ungekuwa na jiko ungejipa moyo kuwa 'you could if you wanted to'
 
Back
Top Bottom