Duh hii ni hatari sana afu jumatano nataka kupita mitaa hiyoKama unaelekea Moahi kuwa makini kipande cha Mombo-Same. Mvua kubwa imeleta takataka na magogo barabrani ni hatari sana.
Mkuu nimeenda na kurudi na gari moja ya kinyoonge. Nineteseka sana😀😀😀😀. Yaani unajikongoja halafu zinakuja Ford ranger, LC200 na Crown zinapita shwaaaah sekunde 10 zinetoweka kabisa. Ninachowafanyia watu ndio kimenikutqKwanzia wamechukua iphone yangu kutoka mfukoni pale kili marathon sina hamu napo tena.
Nilikuwa milimani Disemba though. From there nikapiga Arusha > Dodoma > Mbeya > Njombe > Moro > Dar. Trip zinaendelea japo nimepunguza kukimbia kwakweli. Nazeeka I think
Kuendesha gari ya kichovu highway ni kipaji maalum. Pole mkuu kwa kulazimika kuvumilia. Ungekuwa na jiko ungejipa moyo kuwa 'you could if you wanted to'Mkuu nimeenda na kurudi na gari moja ya kinyoonge. Nineteseka sana😀😀😀😀. Yaani unajikongoja halafu zinakuja Ford ranger, LC200 na Crown zinapita shwaaaah sekunde 10 zinetoweka kabisa. Ninachowafanyia watu ndio kimenikutq
Ni kipaji kwa kweli. Yaani hata semi trailer likiwa empty kulipita inabidi ufanye timing 😀😀😀😀Kuendesha gari ya kichovu highway ni kipaji maalum. Pole mkuu kwa kulazimika kuvumilia. Ungekuwa na jiko ungejipa moyo kuwa 'you could if you wanted to'
Na kukaza tako 🤣🤣Ni kipaji kwa kweli. Yaani hata semi trailer likiwa empty kulipita inabidi ufanye timing 😀😀😀😀
Ha ha ha jana natoka Moshi niliona moja Isuzu D-Max mpya kabisa jamaa anaenda mwendo wa konokono nikamwambia mwenzangu huyu ana speed limit 80kph gari za kampuni. Hapo hata akikamua engine kidogo taarifa inafika kwa boss. Jamaa aksema haya ndio mateso bila chuki.Kuna shirika fulani lilikua lina simamia mradi mkubwa. Sasa nikapata kibarua huko nikapewa chuma zero km lakini masharti ya mradi top speed ni 80km/h na lina kiingamuzi. Week ya Kwanza tu nilikula warning letter 3. Yani unapitwa mpaka roho inauma. Alafu kwa siku ni 400km tu safari ya Dar Bukoba siku 4. Kiusalama ni nzuri ila inatesa sana.
Aisee Dar Mwanza uendeshe 80kph inahitaji moyoOthers tunaenjoy tu kwenye 80-100km/hr, japo tunaendesha Old cars.
cha msingi umefika sehumu unabeba kambale, umefika magugu unacheki manzari na kuchukua mchele kidogo, babati unasalimia jamaa na marafiki.
Morogoro Lushoto unapita njia gani?Target: Dar morogoro , Morogoro Lushoto - Lushoto DarView attachment 3567773
Turiani pale ukipandisha kuna boda unaibuka Lushoto mjini kabisa.Morogoro Lushoto unapita njia gani?