Duh hii ni hatari sana afu jumatano nataka kupita mitaa hiyoKama unaelekea Moahi kuwa makini kipande cha Mombo-Same. Mvua kubwa imeleta takataka na magogo barabrani ni hatari sana.
Mkuu nimeenda na kurudi na gari moja ya kinyoonge. Nineteseka sana😀😀😀😀. Yaani unajikongoja halafu zinakuja Ford ranger, LC200 na Crown zinapita shwaaaah sekunde 10 zinetoweka kabisa. Ninachowafanyia watu ndio kimenikutqKwanzia wamechukua iphone yangu kutoka mfukoni pale kili marathon sina hamu napo tena.
Nilikuwa milimani Disemba though. From there nikapiga Arusha > Dodoma > Mbeya > Njombe > Moro > Dar. Trip zinaendelea japo nimepunguza kukimbia kwakweli. Nazeeka I think
Kuendesha gari ya kichovu highway ni kipaji maalum. Pole mkuu kwa kulazimika kuvumilia. Ungekuwa na jiko ungejipa moyo kuwa 'you could if you wanted to'Mkuu nimeenda na kurudi na gari moja ya kinyoonge. Nineteseka sana😀😀😀😀. Yaani unajikongoja halafu zinakuja Ford ranger, LC200 na Crown zinapita shwaaaah sekunde 10 zinetoweka kabisa. Ninachowafanyia watu ndio kimenikutq
Ni kipaji kwa kweli. Yaani hata semi trailer likiwa empty kulipita inabidi ufanye timing 😀😀😀😀Kuendesha gari ya kichovu highway ni kipaji maalum. Pole mkuu kwa kulazimika kuvumilia. Ungekuwa na jiko ungejipa moyo kuwa 'you could if you wanted to'
Na kukaza tako 🤣🤣Ni kipaji kwa kweli. Yaani hata semi trailer likiwa empty kulipita inabidi ufanye timing 😀😀😀😀