ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,072
- 17,454
Vijana wenye fujo watachafua barabaraISO M.CodD next week napandisha Kili najua barabara itachafuka sana ila sisi mwendo wetu wa wastaafu.
Vijana wenye fujo watachafua barabaraISO M.CodD next week napandisha Kili najua barabara itachafuka sana ila sisi mwendo wetu wa wastaafu.
Safari njema mkuu, kila la heriJ4 naliamsha moshi to moro,Natulia pale town kesho yake naunga kilombero niko na kiberiti changu Toyota ist cc 1290
Shukran mkuuSafari njema mkuu, kila la heri
Nilikauza haka kadude, roho inaniuma mpaka kesho aiseeeJ4 naliamsha moshi to moro,Natulia pale town kesho yake naunga kilombero niko na kiberiti changu Toyota ist cc 1290
Kwanini mkuu?Nilikauza haka kadude, roho inaniuma mpaka kesho aiseee
Kwa nn mkuu Mbn nainjoy nako sana hasa kwenye swala la mafutaNilikauza haka kadude, roho inaniuma mpaka kesho aiseee
Kwanini mkuu
Kwa nn mkuu Mbn nainjoy nako sana hasa kwenye swala la mafuta
Aaah bac tuu kaka, ujana na kuigana…
Niliitunza sn hii gari, oil mpya kila kilometer chache, coolant ya uhakika, gear box oil genuine, mziki mkubwa, unyunyu wa kwenda, rim sport kali.
Mafuta ilikuwa inanusa tuu, haikuwai nisumbua kwa chochote kile… sema kila ninavyowasha tv 📺 nasikia kelele za IST, IST, IST.
Mara huyu kashinda mchezo super, yule kapewa na vodacom. mara hawa comedian uchwara waiponde… nikienda kwny harusi mc hachekeshi mpaka aitaje IST. Nikisimama Kwenye mataa nitapigiwa horn hadi na bajaji.
Now nimehamia kwny subaru, maintenance yake inanitoa roho.
inshort I miss my IST
Daaah!!! Hv mzee kipind hicho ulikuwa n familia kweli?Brevis imefanya kazi kweli kweli (at 5K revs.)View attachment 2852086
Kama jamaa anatembea 150 inamaana bus la mbele yake atakuwa ngapiDaaah!!! Hv mzee kipind hicho ulikuwa n familia kweli?
Speed yng mwisho 120 km/h
kama utasafir usiku uwe makini zaid maana barabara imejaa mashimo haswaa..Wadau wa Road trip, kwa mliosafiri hivi karibuni barabara ya Dar to Mtwara naomba kujua hali ya barabara maana upande huo kipindi cha masika hapa karibuni kulikuwa hovyo...
kama utasafir usiku uwe makini zaid maana barabara imejaa mashimo haswaa..
Wadau wa Road trip, kwa mliosafiri hivi karibuni barabara ya Dar to Mtwara naomba kujua hali ya barabara maana upande huo kipindi cha masika hapa karibuni kulikuwa hovyo...
Location wapRoad trip imekamilika, barabara ina sehemu nyingi hatarishi kwa sababu kuna vipande vimetolewa lami, kuna maeneo ujenzi wa madaraja unaendelea ni mengi kiasi, kuna maeneo barabara ina vidimbwi hatari...
View attachment 3410701
View attachment 3410702
View attachment 3410709
Location wap
Hatari SanNairobi enroute Mauritius...
View attachment 3428884
Wakati huo hapo ilikuwa ni kipande toka Kibiti kuelekea Somanga...