Bilioni laki tatu milioni 24 point 4 unaijua? Hii Ni sawa na Dola milioni 140Ninasoma komenti, ni vile sikuelewa mie STD VIIB
Dah halafu mwanzo ulianza kumsifu ujue mwendazake.Ila yote kwa yote karibu tena tuendeleze tulipoishia kazi na iendeleee na Mama Samia.Hakuna siri, ukweli ni kuwa Tanzania ilikuwa ya vitisho sana awamu iliyotutoka.
Ukienda huku Makonda, ukienda kule Sabaya ukirudi unatumbuliwa hata kama hauna jipiu. Mara una kesi za uhujumu uchumi mara una kesi za kutakatisha fedha, ohoooooo.
Ikabidi wengine turudi zetu kwenye kwenye barafu tupoe kidogo.
Mama Samia katutoa hofu. In shaa Allah aishi kama jina lake "msikivu".
Marhaba.
Wa Aleykum salaam.
Hiyo Madrasaatul Abraar inabidi ipongezwe kitaifa kwa mpango wao wanaouita Abraar Nyumba kwa Wote. Wanatamba kuwa kupitia kwao unaweza kuanza ujenzi kwa Shillingi 2,500 tu. Inashangaza.
Wana uzi wao humu JF unaongelea hilo la kuwezeshana ujenzi. Binafsi nawapa pongezi sana tena na naahidi kuwatembelea ntapokuwa huko.
Alikuwa anamsifu tu MaguKipindi cha Magufuli aliufyata kimyaaa..
Ziko wapi ?Bilioni laki tatu milioni 24 point 4 unaijua? Hii Ni sawa na Dola milioni 140
Hakuna "elimu dunia" iliyo bora zaidi ya Qur'an. Ni vile hujijui tu ndiyo maana unahororoja bila mpango.
Hakuna kosa la Lam na Ree hapo. Unajisumbua tu. Hayo makosa ya typo ni kawaida sana kwa mtu anae type faster kama mimi, ulifikiri mimi ni robot sikosei?
Kwa Mara ya kwanza umeandika objectivelyHakuna siri, ukweli ni kuwa Tanzania ilikuwa ya vitisho sana awamu iliyotutoka.
Ukienda huku Makonda, ukienda kule Sabaya ukirudi unatumbuliwa hata kama hauna jipu. Mara una kesi za uhujumu uchumi mara una kesi za kutakatisha fedha, ohoooooo.
Ikabidi wengine turudi zetu kwenye kwenye barafu tupoe kidogo.
Mama Samia katutoa hofu. In shaa Allah aishi kama jina lake "msikivu".