Wazee wa Madrassa wampiku Mama Samia Suluhu?

Leo nimezikuta habari za Mzee wa Madrassatul Abraar ambae pia ni member wa JF kwenye group la kuwezeshana ujenzi zilizonifurahisha sana na nikajiuliza, hawa wazee wa Madrassa wamempiku hatua moja Mama Samia Suluhu?..
Wale waalimu wa madrasa walio kuwa wanatembea na wasichana wadogo wameshakamatwa?wamimu wa madrasa noma ndo mana mjomba wangu anafundishia watoto wake home

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Marhaba.

Wa Aleykum salaam.

Hiyo Madrasaatul Abraar inabidi ipongezwe kitaifa kwa mpango wao wanaouita Abraar Nyumba kwa Wote. Wanatamba kuwa kupitia kwao unaweza kuanza ujenzi kwa Shillingi 2,500 tu. Inashangaza.

Wana uzi wao humu JF unaongelea hilo la kuwezeshana ujenzi. Binafsi nawapa pongezi sana tena na naahidi kuwatembelea ntapokuwa huko.

Sio kuwatembelea tu wawezesha kifedha ,umekaa kanada miaka yote unashindwa hata kuwapa usd 140 =Bilioni laki 3 na 24 point 4?

 
Leo nimezikuta habari za Mzee wa Madrassatul Abraar ambae pia ni member wa JF kwenye group la kuwezeshana ujenzi zilizonifurahisha sana na nikajiuliza, hawa wazee wa Madrassa wamempiku hatua moja Mama Samia Suluhu?.....
Hii issue Kenya walishaanza kufanya kitambo....
 
Kwa clips za audio na video na maelezo wanayotoa hao wazee kwenye group lao na hata humu JF wana uzi wao, wanaonesha wanafanya kweli. Mliopo karibu kwanini hamuwatembelei na mkawapa na hayo mawazo mnapoona hawaelekei?...
Mbona umeshadadia sana hili swala.

wakati unaju fika hizo nyumba zitakuwa za akina juma tu.
 
Wale waalimu wa madrasa walio kuwa wanatembea na wasichana wadogo wameshakamatwa?wamimu wa madrasa noma ndo mana mjomba wangu anafundishia watoto wake home

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app

Matukio kama hayo yanatokea kwa wingi sana zanzibar kwa tanzania bara yanatokea ila si sana kivile kwa sababu sheria kidogo inafanya kazi,Visiwani kule tatizo lake kubwa ni kulindana bado wanaishi na ile mifumo ya kizamani, yaani mtu akifanya kosa mfano kabaka unakuta suala linafikishwa polisi baadae wahusika wanaelewa huko mtaani mfano kama ni mtoto aliyebakwa unakuta mzazi wa mshitakiwa na mzazi wa mshitaki wanaelewana kama kesi ilitakiwa iende mbele zaidi sasa hata polisi wanashindwa kuifuatilia kutokana ns kukosa ushirikiano na upande stahiki, Au utakuta bado wana yale huyu ni mtoto wa fulani,mzazi wake tunamjua muache tutaongea na mzazi wake.

Sasa ndiyo maana matukio yanakuwa hayaishi sana.Kwa tanzania bara hasa wazazi wakiuwasha moto hilo unalo kweli kama kwenda ndani utakwenda tu.Ukiacha matukio ya ajabu ajabu kama ya huko mikoani na imani za ushirikina ila kwa bara kesi hizo zimepungua mno.Na hilo la ushirikina ni ukosefu wa elimu stahiki tu kama itafika huko mauji yakishirikina yatapungua kiasi fulani japo itakuwa ngumu kuyamaliza kabisa.
 
Leo nimezikuta habari za Mzee wa Madrassatul Abraar ambae pia ni member wa JF kwenye group la kuwezeshana ujenzi zilizonifurahisha sana na nikajiuliza, hawa wazee wa Madrassa wamempiku hatua moja Mama Samia Suluhu?...
Itabidi awawezeshe pia wapate exposures za uongozi kama Rais alivyofanya kwa mawaziri, CEOs, RCs, RASs nk. ie wasiishie kwenye level hiyo tu waende mbali hata ualimu wa madrasa nk
 
Sasa ikiwa Manji karudi, mimi ningoje nini kurudi jamvini?
Your mostry wellcomed,
Hapo ndiyo utajua shuleni tulienda kusomea nini

Anyway karibu tena jamvini. Japo uadui wetu bado uko palepale.
 
Matukio kama hayo yanatokea kwa wingi sana zanzibar kwa tanzania bara yanatokea ila si sana kivile kwa sababu sheria kidogo inafanya kazi,Visiwani kule tatizo lake kubwa ni kulindana bado wanaishi na ile mifumo ya kizamani, yaani mtu akifanya kosa mfano kabaka unakuta suala linafikishwa polisi baadae wahusika wanaelewa huko mtaani mfano kama ni mtoto aliyebakwa unakuta mzazi wa mshitakiwa na mzazi wa mshitaki wanaelewana kama kesi ilitakiwa iende mbele zaidi sasa hata polisi wanashindwa kuifuatilia kutokana ns kukosa ushirikiano na upande stahiki,Au utakuta bado wana yale huyu ni mtoto wa fulani,mzazi wake tunamjua muache tutaongea na mzazi wake.Sasa ndiyo maana matukio yanakuwa hayaishi sana.Kwa tanzania bara hasa wazazi wakiuwasha moto hilo unalo kweli kama kwenda ndani utakwenda tu.Ukiacha matukio ya ajabu ajabu kama ya huko mikoani na imani za ushirikina ila kwa bara kesi hizo zimepungua mno.Na hilo la ushirikina ni ukosefu wa elimu stahiki tu kama itafika huko mauji yakishirikina yatapungua kiasi fulani japo itakuwa ngumu kuyamaliza kabisa.
Huwa inanishangaza hivi kama mwalimu wa dini anabaka content ya anachokifundisha kinajustfy nini ?wabakaji wengi wa madrasa nu wale wavaa vipedo, anko wangu alimkamata mmoja akamfumua marinda yote 32

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
As-salamu alaykum mkongwe!! Furaha iliyoje kuona umerejea kundini. Tuliku- miss sana kitambo.... Tuko tayari kusikia nyimbo zako tena..... Karib' tafadhal' 😁
 
Huwa inanishangaza hivi kama mwalimu wa dini anabaka content ya anachokifundisha kinajustfy nini ?wabakaji wengi wa madrasa nu wale wavaa vipedo, anko wangu alimkamata mmoja akamfumua marinda yote 32

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app

Ni kuendekeza tu ujinga ila wakifanya kweli mtu akale nondo gerezani miaka 30 matukio kama hayo na yakatangazwa fulani kahukumiwa miaka 30 kwa kosa fulani itakuwa ni somo kwa wengine.ukiona sheria inavunjwa na wengi kuna udhaifu sehemu fulani,vinginevyo itafuatwa vyema ni kama yalivyo madawa ya kulevya baadhi ya nchi inafahamika ukiyapeleka adhabu zake huko ni kubwa pale mimi au wewe tunalijua hilo ukajitoa mhanga inamaana upo tayari maisha yako yawe hatarini.

Sasa ukiambiwa miaka 30 ndani ukiwa hai ukitoka huko career yako kwishaa.Kwa mtu mwenye kazi zake haswaa akiwekwa ndani mwezi tu mambo yake huharibika sikuambii miaka 10 au 30. kama wewe ni mwalimu wa dini hasa ya uislam dini yako imekuruhusu kuoa kuanzia mmoja mwisho wanne, sasa ukabake inamaana umeshindwa vyoote kuoa mmoja akusitiri au wawili.Kwa mfano dar suala kama hili la ubakaji hasa walimu kuwabaka wanafunzi wao limepungua asilimia kama 70% kwa sababu karibu wanaokuja dar washajua ni sehemu ya kutafuta maisha ukifuata masuala ya kupelekana mahakamani inamaana wewe ushashindwa ba maisha na umejikatia tamaa na kwa hizi serikali zetu masuala kama haya ukute sheria inasema miaka 20 au 30 ila kabla hujahukumiwa hapo utasota ndani hata miaka 4 au 5.

Watu wapo makini mno kwa sasa.kule visiwani sasa hakuna hayo utakaa polisi week kadhaa utaachiwa unarudi uraiani na utasikia mwengine tena kafanya tukio kama lako au zaidi unajua atatolewa kama wewe.Matukio yanaendelea watu watalalamika na serikali.Masuala mengine pia kama maadili yao pia yanachangia ubakaji mfano wao wana utamaduni huu wa kuwaachia watoto wa aina zoote waende nyumba hadi nyumba kuomba pesa za sikukuu ya idi.

Sasa watoto ukute wapo wawili na kuendelea wanaenda nyumba wanakutana na mtu ambaye ni fisadi wa mambo hayo unategemea itakuwaje,na ulimwengu tuliokuwa nao siyo ule wa zamani watu waliishi kiundugu, mtu leo hii kumuachia jirani au ndugu yako mtoto wako tu unaogopa.Ikiwa unasikia baba kambaka binti yake sasa utegemee umuachie jirani mtoto wako wa kike wa miaka nane au tusa?.Huko tunapokwenda kunatisha.
 
Kila rais mwislamu anapokuwa ikulu, siasa kali huanza chokochoko zao. Mihadhara ya kukashifu imeshaanza mitaani na redioni. Huu ni udhaifu kubwa
 
Back
Top Bottom