OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 419
- 670
Inawezekana ni kukosa hela au sababu nyingine suala linalofanya wazazi wawapeleke watoto shule wakiwa na miaka mitano ili wakiwa na miaka sita waingia Darasa la kwanza. Hii ni sababu ambayo nimeitoa mimi kwa kuwa Shule za awali nyingi zinamilikiwa na serikali, i.e katika shule 18,554 zilizosajiliwa 89.48% zinamilikiwa na serikali. Hivyo sababu inaweza kuwa kweli wazazi wanapenda kukaa na watoto wao au hawataki kuwapeleka shule mapema ili wapate muda wa kuishi nao nyumbani
Hii sio kusema kuwa walio chini ya miaka mitano au zaidi hawaandikishwi shule ya awali angalia graph hii
Kwa Idadi hiyo utaona watoto wanaoandikishwa zaidi ni wenye miaka 5, ambao hukaa mwaka mmoja na kuingia darasa la kwanza wakiwa na miaka 6 wazazi wanaopeleka watoto wakiwa na miaka 3 ni wachache sana, huku wengine wengi wakiwapeleka watoto shule za awali wakiwa wamechelewa
Data zilizotumika ni kutoka TAMISEMI
Hii sio kusema kuwa walio chini ya miaka mitano au zaidi hawaandikishwi shule ya awali angalia graph hii
Kwa Idadi hiyo utaona watoto wanaoandikishwa zaidi ni wenye miaka 5, ambao hukaa mwaka mmoja na kuingia darasa la kwanza wakiwa na miaka 6 wazazi wanaopeleka watoto wakiwa na miaka 3 ni wachache sana, huku wengine wengi wakiwapeleka watoto shule za awali wakiwa wamechelewa
Data zilizotumika ni kutoka TAMISEMI