Punguza makasiriko, kunywa maji, Tafuta helaBasi hilo nakusamehe....
Haya wewe teacher wa English... Nipe forms za Verb 'be' ..
Wapumbavu nyinyi mnakula hela zetu kichwani weupe.. failures..
Sina mtoto.Je! Wanao watoa majibu gani!??
Jitathmini wewe ulikuaje ulipokua shule, mtathmini mkeo.Sijui.. labda...
Mkoa unaoanza kwenye nini, ukubwa, umaarufu, wingi wa viwanda au kwenye alphabeti.Embu fikiria mtoto wako wa std six hajui Mkoa gani huanza kabla ya kufika Dar...!?? Geography.
Au hajui Verb forms za Verb 'be'.. English.
Wazee..! Kuna ujinga na tunapigwa. Nilitaka wasafirisha wanangu waende holidays ila nimekuta weupe. Naingia nao Class. I'm a teacher...
Walimu Wao ntakutana nao January.
Mtoto mwenyeweKigezo ni nini?
Dar inapakana na Mkoa mmoja tu wa Pwani, uwe umetokea Kaskazini, Kusini au Magharibi. Mashariki tu ndio inapakana na Nchi ya Zanzibar.Tatizo ni wanao na wewe mwenyewe...
Sasa hilo swali lako hata mimi sijui..
Mkoa kabla ya Dar..
Kutokea wap?
Kwa kutumia usafiri gani?
Duu! Hii kiboko. Mwanafunzi wa Chuo Kikuu anasomea Siasa hamjui Sam Nujoma. Elimu yetu iko taabani. Kumbe ndio maana wakija huku makazini wengi wao uwezo wao ni mdogo sana. Unabaki unajiuliza ina maana hizi Shahada zao wanapewa tu?Mkuu
Kuna kipindi EATV kinaitwa skonga
Kuna segment ya kuuliza maswali
Ukisikiliza majibu ya watoto wale kama wewe ni mwalimu unaweza chapa shule nzima watoto ni weupee
Yaani hamna kitu
Achana na hao nenda chuo kikuu ndio utachoka
Kuna wanafunzi wa UDSM wanaosoma maswala ya siasa
Waliulizwa swali hili
"Barabara ya mwenge kwenda ubungo inaitwa Sam Nujoma Road, je huyu Sam Nujoma ni nani?
Hakuna mwanafunzi alipata hili swali
Nilisikitika sana, kuona mwanafunzi wa UDSM anasoma Mambo ya siasa afu hajui swali dogo kama hilo
Oya mzazi nifundishe kutengeneza wadudu kwa mbolea basi maana sielewi ila natamani .Badilisha namna ya kupima uwezo wa watoto wako...
Hii likizo wafundishe stadi tofauti za maisha...acha kuwachosha
Jinsi ya kutengeneza funza kwa kutumia kinyesi cha ng'ombe
Jinsi ya kupanda mbogamboga kwenye magunia
Jinsi ya kutengeneza kiti cha mbao
N.k n.k..
Una uhakika maji ya pwani yanaguswa na chombo kutoka zenji?Tunaangalia je chombo hicho cha usafiri kimegusa maji ya mkoa gn
NdioUna uhakika maji ya pwani yanaguswa na chombo kutoka zenji?
Siyo kweli. Nikitoka Zanzibar au Ushelisheli Kwa meli pia napitia Pwani???Mkoa wa Pwani.
Pwani ndio mkoa ambao ukitaka kuja Dar kwa njia zote unazojua wewe n lazima upite kwenye huu mkoa.
Hii lugha gani ndugu katibu 😃So!? What's ur stand!?
Inaelekea tatizo ni kubwa kwa wazazi, na si walimu wala watoto. Sasa kumjua Sam Nujoma ni suala la siasa?Kuna wanafunzi wa UDSM wanaosoma maswala ya siasa
Waliulizwa swali hili
"Barabara ya mwenge kwenda ubungo inaitwa Sam Nujoma Road, je huyu Sam Nujoma ni nani?
kuna yale mashindano ya AIRTEL vyuo vikuu africa,ilikutana tanzania,kenya,nigeria na south africaDuu! Hii kiboko. Mwanafunzi wa Chuo Kikuu anasomea Siasa hamjui Sam Nujoma. Elimu yetu iko taabani. Kumbe ndio maana wakija huku makazini wengi wao uwezo wao ni mdogo sana. Unabaki unajiuliza ina maana hizi Shahada zao wanapewa tu?
Swali la kipuuzi sana 😂😂😂😂Tatizo ni wanao na wewe mwenyewe...
Sasa hilo swali lako hata mimi sijui..
Mkoa kabla ya Dar..
Kutokea wap?
Kwa kutumia usafiri gani?
Rudi ukasome vizuriNdio
Inasikitisha sana!kuna yale mashindano ya AIRTEL vyuo vikuu africa,ilikutana tanzania,kenya,nigeria na south africa
wajinga wa kwanza tulikua sisi kila tukielekezewa mpaka kengere inalia jibu halijapatikana.
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Hivi yale mashindano bado yapo..?kuna yale mashindano ya AIRTEL vyuo vikuu africa,ilikutana tanzania,kenya,nigeria na south africa
wajinga wa kwanza tulikua sisi kila tukielekezewa mpaka kengere inalia jibu halijapatikana.
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app