Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 19,164
- 41,772
Ww jamaa bhana 😂Nimetokea Unguja na ndege...
Nitajie kijiji cha pwani angani uko
Utapita anga la Unguja, utapita anga la pwani na utamalizia kwenye anga la Dar
Ww jamaa bhana 😂Nimetokea Unguja na ndege...
Nitajie kijiji cha pwani angani uko
Huku ni kuwachosha watoto...Ww jamaa bhana 😂
Utapita anga la Unguja, utapita anga la pwani na utamalizia kwenye anga la Dar
Ndo elimu yetu hyHuku ni kuwachosha watoto...
Mkuu
Kuna kipindi EATV kinaitwa skonga
Kuna segment ya kuuliza maswali
Ukisikiliza majibu ya watoto wale kama wewe ni mwalimu unaweza chapa shule nzima watoto ni weupee
Yaani hamna kitu
Achana na hao nenda chuo kikuu ndio utachoka
Kuna wanafunzi wa UDSM wanaosoma maswala ya siasa
Waliulizwa swali hili
"Barabara ya mwenge kwenda ubungo inaitwa Sam Nujoma Road, je huyu Sam Nujoma ni nani?
Hakuna mwanafunzi alipata hili swali
Nilisikitika sana, kuona mwanafunzi wa UDSM anasoma Mambo ya siasa afu hajui swali dogo kama hilo
Kama ndo fikra zenye ndo hzi basi wana haki hao watoto kuwa weupe kichwani pambana nao tu hii holiday.Alafu wewe MwAlimu unafanya kazi gani...
Kama tunagawana majukumu ya kazi mbona ukichukua mshahara hungawii!??
Una akili!??
Ukitokea zanzibar jeMkoa wa Pwani.
Pwani ndio mkoa ambao ukitaka kuja Dar kwa njia zote unazojua wewe n lazima upite kwenye huu mkoa.
Una hakika na unachosema?Mkoa wa Pwani.
Pwani ndio mkoa ambao ukitaka kuja Dar kwa njia zote unazojua wewe n lazima upite kwenye huu mkoa.
Tatizo ni wanao na wewe mwenyewe...
Sasa hilo swali lako hata mimi sijui..
Mkoa kabla ya Dar..
Kutokea wap?
Kwa kutumia usafiri gani?
Kwani aliulizwa mwalimu ama watoto wake? Si hamtaki watoto wachawe shuleni! Basi tulieni dawa iwaingie past tense nyieHizo waalimu wengi ni vibwengo tupu, English zero, sasa verb to 'be' nyepesi , 'do' ma auxiliary verb (helping verbs), the simplest subject ni English, form four failure wanaajiriwa kama waalimu
Hvy hvy pia. Kwa njia ya anga atapita anga la Zanzibar, atapita anga la Tanga (kama sijakosea), atapita anga la pwani atamalizia na anga la Dar.Ukitokea zanzibar je
Em nirekebishe mkuuUna hakika na unachosema?
Unabweka au unabwaka?Kwani aliulizwa mwalimu ama watoto wake? Si hamtaki watoto wachawe shuleni! Basi tulieni dawa iwaingie past tense nyie
Kama Zanzibar Channel ina upana wa km 53+ na maritime ya bagamoyo ni 12 nautical miles inawezekana vipi mtu atokee Zanzibar Kwa ferry apite mkoa wa pwani?Hvy hvy pia. Kwa njia ya anga atapita anga la Zanzibar, atapita anga la Tanga (kama sijakosea), atapita anga la pwani atamalizia na anga la Dar.
Kwa njia ya maji atapita bahari miliki ya Zanzibar, bahari miliki ya Tanga, bahari miliki ya pwani, atamalizia na bahari miliki ya Dar
Em nirekebishe mkuu
Jibu swali we bataUnabweka au unabwaka?
Tunaangalia je chombo hicho cha usafiri kimegusa maji ya mkoa gnKama Zanzibar Channel ina upana wa km 53+ na maritime ya bagamoyo ni 12 nautical miles inawezekana vipi mtu atokee Zanzibar Kwa ferry apite mkoa wa pwani?