- Thread starter
- #21
KAKA YANGU SIKUWA NAJIBU COMMENT YAKO BALI YA ALIYEANDIKA KABLA YAKO ANASHINDWA KUCHANGIA MADA ANATOA LUGHA CHAFU
I AM VERY SORRY IF I HAVE OFFENDED YOU BUT I DIDN'T INTEND KUKUJIBU WEWE
kuna Wazanzibari ambao asili yao ni kutoka Kenya,Ushelisheli n.k.
ukisoma makaratasi fanya na utafiti.
Eti hapo na wewe umeandika kwa Kiingereza. Kwani lazima?DON'T READ WITHOUT MEDITATING THE TOPIC...
Asante kwa ushauri next time nikitaka kuchangia nitakuja kwako kwa ushauri na ruhusaView attachment 317134
Ni kweli watu wana majibu.ha ha haaa jamani watu mna majibuu....
NDIO MAANA NIMESEMA WAZANZIBAR WOTE NI WAGENI MAANA UKISEMA WAMETOKA USHELISHELI WAMETOKA NJE YA ZANZIBAR MAANA USHELISHELI SIYO Z.BAR
Pasco huko sahihi! ni kweli visiwa huamiwa na wageni kwanza wale wa maeneo ya karibu kutokana na shughuli za kiuchumi, mfano kwa case ya Zanzibar kuna wangazija, wazaramo, wandengereko, wamatumbi! Hawa ndio wakazi wa kwanza wavuvi waliofika visiwani just ktk shughuli za kiuchumi kabla ya kuhamia rasmi kisiwani hapo! Bagamoyo na unguja ni less than 60km kwa wavuvi wa bahari kuu ni karibu sana, wapemba na watu wa Tanga na Mombasa ni karibu mno! Kiasili hata ukiangalia mfanano wa watu wa Pemba na watanga na Mombasa ni mkubwa mno, wakati unguja na wazaramo, wangazija na jamii nyingine za pwani ya Tanganyika ni mkubwa! Kimantiki Hawa wote ni wahamiaji, lkn hata watanganyika pia nao ni wahamiaji wa maeneo mengine kama tunaanza kurudi nyuma miaka 600-800 huko utaona Bantu wa tz ni wachache sana, makabila mengi ni wahamiaji!Kama bandiko la mtu wa chuo kikuu cha Ilinois ndio hili, basi kazi tunayo!. Kwa kukusaidia tuu hao Waarabu wa Omani walipokuja visiwa vya Zanzibar, waliwakuta wenyeji wa visiwa hivyo, Wahadimu, Watumbatu, Wangazija, na vikabila vingine vidogo vidogo. Hata hao watumwa hawakuwa wa kutoka Congo pekee!.
Pasco
Wengine ni masalia ya watumwa. Walitoka unyamwezini,matumbi, Kigoma, Kongo, Burundi. Biashara ya watumwa ilikomeshewa Zanzibar wakabaki huko Na kuzaliana. Kuna mama wa kiongozi Fulani ni hizbu chotora. Waliruhusiwa kuona. Siyo bongo wahindi hawaoi mbantu vice versaKuna wamakonde nao wapo kwenye historia ya Zanzibar utafiti niliofanya Zanzibar ni ya watanzania haina mtu maalum...
OK OK thanksKAKA YANGU SIKUWA NAJIBU COMMENT YAKO BALI YA ALIYEANDIKA KABLA YAKO ANASHINDWA KUCHANGIA MADA ANATOA LUGHA CHAFU
I AM VERY SORRY IF I HAVE OFFENDED YOU BUT I DIDN'T INTEND KUKUJIBU WEWE
KUNA WATU WAMEKUWA WAKIWADANGANYA WATU KWAMBA WAO NDIO WENYEJI NA WENGINE NI WAGENI UKWELI NI HUU
HAPA CHUONI KUNA HISTORIA NZURI SANA YA NCHI YA ZANZIBAR
HAKUNA MTU MWENYE ASILI YA ZANZIBAR KUNA WATWANA NA MABWANA
WATWANA NI WATUMWA KUTOKA KONGO WANAITWA WAMANYEMA NA MABWANA NI WAARABU KUTONA OMANI HAO NDIO WAZANZIBAR KWA MANENO MENGINE ZANZIBAR NI YA WAKONGO WATUMWA NA WAARABU WAKOLONI. SIKU MOJA NITAWEKA HISTORIA YOTE HAPA NIPO HAPA ICC UNIVERSITY ILLINOIS USA
Kwa style hii Kiswahili hakitakua milele bali kiswanglish ndicho kitakua zaidi. Ni kweli Zanzibar kila mmoja ni mgeni pale hususani Unguja ambapo kuna wangazija wengi ambao Asili yao ni comoro na kuna wanamwezi wengi ambao asili yao ni Tabora kuna mchanganyiko wa makabila mengi kutokana na Utumwa wa kiaarabu kukusanya watumwa wengi kigoma na Tabora na mikoa mingine kuja nao hadi Bagamoyo wakaletwa Zanzibar huku wengine wakipelekwa sehemu zingine Duniani. Kuna waarabu wachache pemba ambao walitangulia kufika toka Oman na hawa ndiyo walitumika kusambaza Dini ya kiislam na me la na desturi za kiaraabu kwa watumwa wote waliotoka bara Congo, Burundi nk.DON'T READ WITHOUT MEDITATING THE TOPIC AND START COMMENTING
YOU SHOULD GET THE IDEA OF THE WRITER FIRST AND THEN COMMENT.THE HEADING INASEMA WAZANZIBAR WOTE NI WAGENI
UNABISHA THEN UNAKUBALI KWANI UNAPOSEMA WANGAZIJA UNAMAANISHA SIYO WAGENI BALI NDIO WENYEJI WA ZANZABAR? JUST GO DEEPER AND DEEPER
Waarabu walikusanya watumwa kigoma wakaweka kambi Tabora hivyo uwezekano wa kuwa na wakongo, warundi na wanyarwanda ni mkubwa zaidi kuliko mataifa mengine, ikumbukwe kuwa mpaka leo kule Zanzibar wageni wengi huitwa wanyamwezi ina maana kuwa idadi kubwa ya watumwa waliojazwa Zanzibar wale kuwa wanyamwezi japo kuna makabila mengine mengi.Zanzibar yote tangu 997 AD walikuwa wamechangamana na waasia, waarabu na waafrika waliotoka Kenya, Kongo, Rwanda, Msumbiji na Zambia sasa wanapokataa Machotara watuambie asili ya Bibi kizaa Baba yao ni wapi?