Kuna watu wamekuwa wakiwadanganya watu kwamba wao ndio wenyeji na wengine ni wageni, ukweli ni huu;
Hapa chuoni kuna historia nzuri sana ya nchi ya Zanzibar. Hakuna mtu mwenye asili ya Zanzibar; kuna Watwana na Mabwana.
Watwana ni watumwa kutoka Kongo wanaitwa Wamanyema na Mabwana ni waarabu kutoka Omani hao ndio wazanzibar, kwa maneno mengine zanzibar ni ya Wakongo, watumwa na waarabu wakoloni.
Siku moja nitaweka historia yote hapa. Nipo hapa ICC University Illinois, USA.
Wewe katika watu wajinga basi ni mmoja wao.. kwa maelezo yako unamaanisha historia ya Zanzibar imeanza baada ya kuja waoman 1698. Sasa kabla ya hapo hakuna mtu katika kisiwa cha Zanzibar. kwa sababu biashara ya utumwa ilikuwaja baada ya waoman kutwala Zanzibar.. kabla ya kuandika kwanza soma na sifikirii kama upo kweli ICC university kama kweli umeweza kuingia hapo hiyo university must be joke..
History of Zanzibar - Wikipedia, the free encyclopedia
People have lived in
Zanzibar for 20,000 years.
History proper starts when the islands became a base for traders voyaging between the
African Great Lakes, the
Arabian peninsula, and the
Indian subcontinent.
Unguja offered a protected and defensible harbor, so although the archipelago had few products of value,
Omanis and
Yemenis settled in what became
Zanzibar City (Stone Town) as a convenient point from which to trade with towns on the
Swahili Coast. They established garrisons on the islands and built the first
mosques in the African Great Lakes.
During the
Age of Exploration, the
Portuguese Empire was the first European power to gain control of Zanzibar, and kept it for nearly 200 years. In 1698, Zanzibar fell under the control of the
Sultanate of Oman, which developed an economy of trade and
cash crops, with a ruling
Arab elite and a
Bantu general population. Plantations were developed to grow spices; hence, the moniker of the
Spice Islands (a name also used of
Dutch colony the
Moluccas, now part of
Indonesia). Another major trade good was
ivory, the tusks of elephants that were killed on the
Tanganyika mainland - a practice that is still in place to this day. The third pillar of the economy was slaves, which gave Zanzibar an important place in the
Arab slave trade, the
Indian Ocean equivalent of the better-known
Triangular Trade. The Omani
Sultan of Zanzibar controlled a substantial portion of the African Great Lakes coast, known as
Zanj, as well as extensive inland trading routes.
Sometimes gradually, sometimes by fits and starts, control of Zanzibar came into the hands of the
British Empire. Part of the political impetus for this was the movement for the
abolition of the slave trade. In 1890, Zanzibar became a British
protectorate. The death of one sultan and the succession of another of whom the British did not approve later led to the
Anglo-Zanzibar War, also known as the shortest war in history.