Wazamiaji wa miaka ya 90

Wazamiaji wa miaka ya 90

Mambele Safi sana manjonjo kama yote hata ukiuwawa unafurahia kaburini mizungu inascream kitaa "black lives matter"

Hapa usengeni misala kama yote, ukikosa ukimwi basi utalogwa, ajira hakuna, no mitaji, depression kama zote!

What the fu.ck!
 
Nakumbuka kitambo kile mabaharia wengi waliwekeza kwenye biashara ya macoster
Kubeba Abiria tena wakati ule coaster inanunuliwa mpyaaa 0 km..... Sasa Soma machata nyuma ya gari
Kile kilichokuwa kinaandikwa ndy walikuwa wanakiwakilisha
Eg.... Time will tell, survival, mv Saratoga, Italy trans, Jimmy to london

R. I. P BOZEN, PERADI, VASCODAGAMA, MGIRIKI MWEUSI
E bana eeh, kumbe zile coaster zilikuwaga ni mpya zero mileage ???

Wananunua ki mini-bus kipya kwa cash Ulaya, wanapandisha kwenye meli, wanalipa ushuru ikifika Kurasini? Walikuwa wanafanya kazi gani hizo Ulaya ????

Aisee, basi kizazi changu mimi tulikuja kuwa mayai sana....nimeishi uzunguni mvua za kumwaga sijawahi kuona mbongo ananunua kigari kidogo, never mind COASTER ya biashara, hata ki Corolla chakavu anatuma Bongo....

ITALY TRANS, TIME WILL TELL, njia ya Manzese-Faya, umenirudisha mbali sana, kazi yetu ilikuwa vita madenti na makonda ... R.I.P. Generali Puza Fala.
 
Mkuu Mimi nilikaa kama miezi sita... ,,,pesa yao inaitwa milioni,,,ni strong kama ilivyo dola,,,ukiwa na dola moja,,sawa na milion moja,,,hazipishani sana,,,
duuh, mjomba, hela ya Turkey inaitwa LIRA.
Pia dola moja ni Lira saba, haziko sawa kwa sawa na haiitwi "milioni."
Umefika kweli Uturuki?
 
Kuna mshkaji wangu anaishi na kufanya kazi Dubai, alikuwa ananishawishi sana kwenda kule kutafuta maisha. Sijajua changamoto za ajira kwa kule, tatizo lingine nina passport ya watumishi wa serikali na mshua kashapiga ban kutoka nje ya nchi bila ya kibali chake
 
Mambele Safi sana manjonjo kama yote hata ukiuwawa unafurahia kaburini mizungu inascream kitaa "black lives matter"

Hapa usengeni misala kama yote, ukikosa ukimwi basi utalogwa, ajira hakuna, no mitaji, depression kama zote!

What the fu.ck!
Kama hujui maisha ya ulaya na marekani yana stress na depression za hali ya juu, stress za bongo zikasome
 
Aisee wale wakwenda Mayyote mmefikia wapi natafuta marafiki wa Mayyote ili nipate hata mualiko naona no wagumu kichizi, vipi Kuna watu tuliahid kwenda huko kisiwani Cha ufaransa kilicho Africa Yan karibu kabisa na mtwara vepee
 
Umeona au umehadithiwa? Tuanzie hapo kwanza
Tunawasihi watanzania kufuata sheria, kutofanya fujo wala kuharibu mali. Tuwe watulivu muda wote huku tukisimamia haki zetu. Tupige na kulinda kura zetu bila hofu wala woga wowote hii ni Haki zetu kisheria. Ukipiga kura kaa umbali wa mita 200 kutoka kituo cha kura. TUTASHINDA!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunawasihi watanzania kufuata sheria, kutofanya fujo wala kuharibu mali. Tuwe watulivu muda wote huku tukisimamia haki zetu. Tupige na kulinda kura zetu bila hofu wala woga wowote hii ni Haki zetu kisheria. Ukipiga kura kaa umbali wa mita 200 kutoka kituo cha kura. TUTASHINDA!

Sent using Jamii Forums mobile app
Heeeeeh mbona majibu tofauti na mada tena,
 
Enzi hizo 80% wanafunzi wa secondary tulikua na hizo ndoto nikiwemo! Ile spirit ilikufa rasmi 2003! Sijawahi tamani tena! Dah ukute ningekuwa na uraia mambele huko!😉
Kuzamia mbele ilikua raha sana kipindi cha kabla ya 9/11 baada ya hapo maisha yalibadilika sana

Hata safari tu za ughaibuni zimekua sio

Vipi we ulitaka kuzamia kwenda wapi? Kwa bibi au maandishi(isomeke herufi) tatu au Scandinavia
 
Aisee wale wakwenda Mayyote mmefikia wapi natafuta marafiki wa Mayyote ili nipate hata mualiko naona no wagumu kichizi, vipi Kuna watu tuliahid kwenda huko kisiwani Cha ufaransa kilicho Africa Yan karibu kabisa na mtwara vepee
a
Bado,hicho kiwanja nakitamani sana,one day yes,
 
Back
Top Bottom