Mkuu nina ndugu yangu mmoja alipata scholarship ulaya,,ivi anaweza nichongea mchongo gani nitoboe uko ata kubeba box mzee
Wewe Fanya makeke hapa upate viza,,,ukifika huko,,unajilipua,,,lakini Fanya mipango hapa hapa,, upate viza zinatoka,,,uzuri wa ulaya sasa hivi tofauti na zamani,,sasa unaweza ukapata viza ya inchi Fulani,,,ukaenda unapopataka,,mfano kuna balozi Fulani zinakuwa tight sana kutoa viza,,na zipo zingine ni nyepesi,,,so unakwenda zile inchi nyepesi unaomba viza ya ulaya,,halafu unakwenda unapopataka,,,lakini zamani ilikua kama unataka kwenda inchi husika basi lazima upate viza husika,,so now ni rahisi kupata viza ulaya mkuu,,,unaweza ukapata viza ya Poland,,ukaenda ulaya yeyote ya shengen,,, au ukapata viza yeyote ya inchi ya shengen halafu unakwenda unapokusudia...usiogope mkuu,,