stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,841
- 22,958
Good,wapite mpaka maeneo ya Makorora kulikokuwa na lami miaka ile...mimi niko huku kikazi na ndio nyumbani....barabara zinajengwa kwa kiwango cha lami kuanzia njia panda ya msambweni mpaka sahare....karibuni Tanga wakuu