Nikimaanisha mkoa wa Tanga ni mkoa wa pwani kama ilivyo mikoa yote ilioko eastern seaboard ya Tanzania.Lkn siyo Tanga yote ni Pwani kama Jiografia yangu iko sawa, nafikiri ni Tanga City tu labda ndiyo wana haki ya kuwaita wengine watoka Bara!
Nikimaanisha mkoa wa Tanga ni mkoa wa pwani kama ilivyo mikoa yote ilioko eastern seaboard ya Tanzania.Lkn siyo Tanga yote ni Pwani kama Jiografia yangu iko sawa, nafikiri ni Tanga City tu labda ndiyo wana haki ya kuwaita wengine watoka Bara!
Kwa huu uandishi we kweli ni wa tanga.. 'twenda'..Hata Pemba twenda na boti
Ngaz ngaz kwa sasi kona.. hahahaMitaa mitaa ya zamani nguvumali buchaaa, mwamboni. Nimeikumbuka Gofu Juu miaka ya 90
Oyooooooo naja jamanTanga oyooooooooooooooooooooo,,,,,maramba
kumbe aunt umetokea Ta?Tupoooooo
OyooooooooooooooTanga oyyoòoooooo
HayakuhusuHv kwa nini mnapenda umbea, na mambo yenu slow motion sana, yaani legelege
Mmmh na wasiwasi na wewtupogoooo
Hahah tanga moja hii ankokumbe aunt umetokea Ta?
aisee una wasi wasi na mimi kweliiii ebu Bonny ukuje unijibieMmmh na wasiwasi na wew
Nitahamia tuwe majiraniDonge moja hiiyooooo jaman anaekaa mzingan nani
aisee una wasi wasi na mimi kweliiii ebu Bonny ukuje unijibie
kweli Tanga kuna warembo wa kutajikaaaaa...na Shunie pia ni mtanga?tupogoooo