Heshima mbele wana JF na mapumziko marefu ya weekend and eid el fitr,naomba kuongeza upeo tu kupenda kujua kwa wapendanao au walio ndoa kwa jinsia zote utajuaje kama mwenza wako ametoka nje ya ndoa kwa siku hiyo?au hata kesho yake kama inawezekana?Nimewahi sikia wanawake wanaweza kujua performance ya mwenza wake:sina hakina na hilo pia kwa wanaume je?
kwani kwa mwanaume utajua??
Sasa ukigundua si utamuacha..
Kiufupi ni ngumu kujua kama mwenzako kakucheat..
Kwa sababu cheaters wengi they are so clever..
Kwani married people wana-cheat?
:wacko::eek2:
:baby::baby:
Heshima mbele wana JF na mapumziko marefu ya weekend and eid el fitr,naomba kuongeza upeo tu kupenda kujua kwa wapendanao au walio ndoa kwa jinsia zote utajuaje kama mwenza wako ametoka nje ya ndoa kwa siku hiyo?au hata kesho yake kama inawezekana?Nimewahi sikia wanawake wanaweza kujua performance ya mwenza wake:sina hakina na hilo pia kwa wanaume je?
Kwani married people wana-cheat?
:wacko::eek2:
:baby::baby:
mmmh, ukijua unamwacha??
Au unatafuta nyumba ndogo au kidumu?
Ndo maana tutaendelea kuwakumbusha kwamba, kuna vitu ile kuviwaza tu, unathibitisha kuwa umetoka nje ya msitari wa mwanamume wa kweli wa Kiafrika!! Kwa sababu, mwanamume wa kweli anaamini kuwa mke wake hawezi kugawa hazina yake kwa mtu mwingine...FULL STOP!!Babu DC!!
kwa sisi wataalamu tunagundua nikimuangalia tu hivi najua. ila inatakiwa uwe na uzoefu wa kutosha na hawa watu.
Kwa hiyo ukiamini kuwa mkeo hagawi hazina yake kwa mtu mwingine wakati uhalisia wa mambo unakinzana na imani yako, huoni kwamba hap utaendelea kushikilia imani potofu?
Eid njema na wewe kamanda wangu...
Hivi ile AK47 uliitupa wapi King'asti?
I really miss it so much!!
Babu DC!!
Iliibiwa babu. Ila nna suspects wawili, Kongosho na Nyani Ngabu.
nangojea december nikienda kwa mababu niwaulize. Nna gobore ila halina leseni, so nalificha, nikiona cheater namlipua
Which is better?
Kuwa na imani potofu kwamba mke wangu hagawi uroda nje; na hapo hapo nikajipa peace in mind na kuendelea kuwa safe huku nikidunda mzingo na kujiendeleza au kujiweka roho juu kuhangaika kutafuta watu wanaocheat na mke wangu??
Nimesema mara nyingi hapa hapa jamvini kwamba ndoa inahitaji imani...Kama huna hiyo imani kwa mwenzio bora ukajaribu utowashi....Tutakuzika tu baada ya siku kidogo kwani BP haiwezi kukupa nafasi!!
Better is to know the truth!!!
Utakuwaje na peace of mind ambayo msingi wake ni imani potofu? Peace of mind comes upon knowing the truth.
Na huwezi kuwa safe kwa kuwa na false peace of mind. Au wewe unazungumzia safety in what sense? Mkeo acheat huko nje huku wewe unajipa imani potofu kuwa hacheat...kuna safety gani hapo?
Imani ambayo msingi wake ni ukweli na uaminifu hiyo nakubali. Lakini imani ya upofu, kijinga, na kipumbavu ambayo msingi wake ni uoga wa kukabiliana na ukweli mwisho wake ni maziko yako wewe mwenye kuishikilia.