wauza mapenzi wakamatwa

wauza mapenzi wakamatwa

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,104
Wauza ngono Mwananyamala almaarufu kwa wahaya yamefungwa baada ya operesheni polisi jumla ya wauzaji wa penzi 32 wamekamatwa
 
Wawaache bana. Kwani kuna ubaya gani mtu akiamua kuuza penzi lake?

Brasil biashara ya penzi ni ajira tena yenye mafao kabisa kama ajira zingine.

Muda umefika watawala waache kuwasumbua hao watu na badala yake wawasaidie kuihalalisha.
 
Mkuu tatizo wanakwepa kodi mpaka bibi mwenye nyuma ana miaka 70 kadakwa
 
wanaenda kuwatumia huko post, kuna ugeni.
 
sasa tutaenda kununua wap tena jaman? maana hapo ilikuwa unachukua haina haja ya kujuana majina wala kuuliza unataoka wap na ikishafika kesho yake hakuna kuombana vocha wala mizinga isiyokuwa na akiri. Kila mmoja anashika njia yake akiwa mwepesiiiiiiiiiiiiiiii
 
Jamani wansheria emu nisaidien muraaaaaaaaaa ni kifungu gani cha sheria kinazuia ukahaba. na utajuaeje kuwa huyu anafanya ukahaba maana mwingine anaweza kuwa anafanya mapenzi hata mara 4 kwa siku japo hana mahali maalum.Je huyo ni kahaba,inabidi akamatwa? Mi nadhani muraa kisheria hawafungiki hawa.Poleni wateja wao.
 
sasa tutaenda kununua wap tena jaman? maana hapo ilikuwa unachukua haina haja ya kujuana majina wala kuuliza unataoka wap na ikishafika kesho yake hakuna kuombana vocha wala mizinga isiyokuwa na akiri. Kila mmoja anashika njia yake akiwa mwepesiiiiiiiiiiiiiiii

Mume wa mke wako....wat a joke!
 
afu kuna mmoja namdai chenji yangu, ayaah itabidi polisi wanirudishie
 
Hao wanakamatwa kirahisi ila wanaouza madawa ya kulevya ambayo yanaharibu vijana wao hawakamatwi
 
Wawaache bana. Kwani kuna ubaya gani mtu akiamua kuuza penzi lake?

Brasil biashara ya penzi ni ajira tena yenye mafao kabisa kama ajira zingine.

Muda umefika watawala waache kuwasumbua hao watu na badala yake wawasaidie kuihalalisha.

Kwenye RUSHWA, mtoaji na mpokeaji wote waharifu, ila kwenye biashara ya ngono, mtoaji tu ndo mwenye makosa, hii si haki, kama serikali inataka kuzuia hii biashara, wawakamate na wanaouziwa hiyo bidhaa, si ajabu baadhi yao ni migogo, oops!! nilitaka kusema vigogo nikahisi vitakuwa vidogo!!
 
waende na kule ubungo bondeni, buguruni, Temeke Wailes, Tandika Sokoni, Kinondoni makaburini, leaders, masaki chole!!
 
bila kusahau kule jangwani, lumumba, gongolamboto majoe, mbagala rangitatu kwa masakuu, kigamboni mjimwema, cocobeach!!
 
Tunawatengenezea utaratibu wa kulipa kodi tra. Tatizo ni kuwa hawanufaishi taifa afu wanaenda kuchukua arv ambazo hawajazichangia kabisaa.
Wawaache bana. Kwani kuna ubaya gani mtu akiamua kuuza penzi lake?

Brasil biashara ya penzi ni ajira tena yenye mafao kabisa kama ajira zingine.

Muda umefika watawala waache kuwasumbua hao watu na badala yake wawasaidie kuihalalisha.
 
Alafu Nyunzo niku sahihishe banah!! sio "wauza mapenz", sema wauza Nyapu!! mapenz hayauzwi banah!! love is not for sale!
 
Wameshindwa kuelewana nao malipo tu,Polisi ndiyo TRA wa wanaojiuza karibu sehemu nyingi hapa mjini.
 
u can't buy love, wanauza papuchi,!! love don't cost a thing!! A price of love is your heart!!
 
Kama hawajawakamata na wateja, wataithibitishiaje mahakama kwamba hao wanawake walikuwa wanafanya biashara? Nadhani shahidi muhimu katika kesi hii ni mteja ndiye anatakiwa kuthibitsha kwamba alikuwa anauziwa hiyo bidhaa. Vinginevyo wanawasumbua tu na kuwachelewesha kwenye biashara zao.
 
Back
Top Bottom