wewe ni extremist sababu hakuna dalili zozote kwamba unaweza ukakubaliana na mtu yeyote anayehofu kwamba zanzibar kuna tatizo la kiusalama katikati ya mauaji na hujuma zinazoendelea.
hapa tayari umekwishaniclassify kwamba na mimi ni mmoja ya watu ambao wamekwisha conclude nani wamehusika na mauaji ya askofu aliyeuwawa jumapili, wakati katika issue hii mimi na wewe tumeshindwa kukubaliana kwenye swala la security monitoring inayofanywa na wageni wetu hapa nchini, hakuna sehemu tumezungumzia mauji sasa wewe haya unayotoa wapi?
you are all out to defend kila kitu ambacho watu wanaona hakiko sawa, this is just too much, looks like you are out of your mind.
Zanzibar kuna tatizo, kukataa hakumsaidii mtu yeyote yule, hata ninapata wasiwasi kama uko nchini wewe, kuna uwezekano tofauti yako na mwanakijiji ni positions tu.[/QUO
Tatizo sio kuuwawa kwa padri bali ni kuuliwa na UAMSHO.