Watumishi wanaitishana 'roll call' Zanzibar...

Watumishi wanaitishana 'roll call' Zanzibar...

Status
Not open for further replies.
Pakazieni dunia nzima ya kwamba z'br kuna magaidi,lakini mkae mkijua target ya wazenji ipo palepale,jamhuri ya
Watu wa z'br kwanza chokochoko hazina nafasi.
 
Mkuu Naibili sio tetesi, ni vipeperushi pamoja na vitisho vya maneno vilivyotamalaki visiwani. Hii kitu iliripotiwa jana kufuatia tukio la kupigwa risasi padre. Kwamba polisi wanaelewa wazi kuwapo tishio hilo, lakini haikuchukua hatua yoyote. Mwaka huu hakuna sikukuu yoyote ya kikristu itafanyika kwa amani visiwani zbar. Ujumbe ndio huo.

Hivi si sahihi sasa angalau kumtaka Kamishina wa Polisi Zanzibar kuachia ngazi kwani alipopigwa risasi Padri Mkenda alidai ni kwa kuwa alikuwa mwema hazina wa kanisa wakati akijua kuwa huu si ujambazi wa kawaida Bali ugaidi - amethjibitisha Leo katika kauli yake! Wakati wote Polisi waliyajua haya na vipeperushi vya uchochezi vilikuwepo.
 
Last edited by a moderator:
Lakini Wazanzibar wengi wamechukizwa sana na kitendo hicho (cha Mauaji ya Fr. Mushi), maana jana niliongea na watu kadhaa wa huko Zanj na walisema Zanj ilikuwa imepoa sana siku nzima na majority hawakupendezwa kabisa na walikuwa wanalaani hiyo hali

i can imagine sauti za busara is on na hayo matukio!
 
Taarifa inahitaji tafakari pana......... Mimi sijasikia kabisa kitu hiki.
 
Nilienda Zanzibar mwakajana, nikafanya mapumziko huko lakini kama wasemavyo wengi leo hii hata kwa malipo siwezi kwenda. Sitaenda kwa sababu ya kuogopa kuuawa tu lakini naona kuwa miongoni mwa Wazanzibari wapo wengi ambao ustaarabu wa binadamu hawana, maana matendo ya kushabikia kuuawa binadamu mwenzako hata kama si wa dini yako, ni unyama uliopitiliza. Ningefurahi sana kama hata viongozi wao wangepigwa marufuku kwenda mataifa mengine maana huko wanakoenda wanapokelewa na watu wastaarabu ambao licha ya kuwa na imani tofauti na zao lakini wanawaheshimu.

Viongozi wa Zanzibar na polisi wa Zanzibar wengi wao, wanaunga mkono na kufurahia mauaji ya wakristo, hiyo siyo siri. Ukizungumza na wakristo wa Zanzibar wanasema wazi kabisa kuwa kuna watu wengi ndani ya SMZ, ndani ya polisi, ndani ya taasisi za serikali pamoja na hospitali wanafurahia wakristo kunyanyaswa, huku ndugu zao wamejazana huku bara wakifurahia maisha ya kistaarabu.

Tatizo la udini kwa huku bara linaweza kumalizwa kiurahisi sana CCM ikiondoka madarakani lakini itakuwa kazi sana kuliondoa Zanzibar maana limetengenezewa mizizi.

Pakazieni dunia nzima ya kwamba z'br kuna magaidi,lakini mkae mkijua target ya wazenji ipo palepale,jamhuri ya
Watu wa z'br kwanza chokochoko hazina nafasi.
 
Hivi si sahihi sasa angalau kumtaka Kamishina wa Polisi Zanzibar kuachia ngazi kwani alipopigwa risasi Padri Mkenda alidai ni kwa kuwa alikuwa mwema hazina wa kanisa wakati akijua kuwa huu si ujambazi wa kawaida Bali ugaidi - amethjibitisha Leo katika kauli yake! Wakati wote Polisi waliyajua haya na vipeperushi vya uchochezi vilikuwepo.

Mkuu naona huyu kamishna mwenyewe ni kituko! Wamemwonesha ITV akipingana na bosi wake kwa kudai ni mapema mno kusema chanzo cha mauaji kama ni siasa, ujambazi wa kawaida, visasi, dini, n.k. Ila tu ni kwamba wamekamata watu kadhaa kuhusiana na tukio hilo ingawa hajui ni wangapi!! Askofu wa Katoliki Zanzibar amedai kuwa hana imani na jeshi la polisi Zanzibar. Mambo hayo
 
Ugaidi unazidi kuongezeka,na itafika mahali zanzibar haitakalika tena!

.
Shein nae baada ya kuona hawezi kupigana na uamsho, amechukua suluhisho la kuungana nao.
.
 
yote ni kwa sababu ya serikali dhaifu tunakoelekea sijui itakuwaje.Ila ICC pia iangalie udhalimu wa serikali ya JK
 
Mkuu naona huyu kamishna mwenyewe ni kituko! Wamemwonesha ITV akipingana na bosi wake kwa kudai ni mapema mno kusema chanzo cha mauaji kama ni siasa, ujambazi wa kawaida, visasi, dini, n.k. Ila tu ni kwamba wamekamata watu kadhaa kuhusiana na tukio hilo ingawa hajui ni wangapi!! Askofu wa Katoliki Zanzibar amedai kuwa hana imani na jeshi la polisi Zanzibar. Mambo hayo

Huyu ni tatizo, kwa maoni yangu anapaswa kuondoka. Makanisa yalichomwa, Mapadri wawili wamepigwa risasi mmoja Kafa mwingine kanusurika bado unaeleza uarifu wa kawaida! Tuna sababu gani ya kuwa na Imani naye.
 
Mkuu naona huyu kamishna mwenyewe ni kituko! Wamemwonesha ITV akipingana na bosi wake kwa kudai ni mapema mno kusema chanzo cha mauaji kama ni siasa, ujambazi wa kawaida, visasi, dini, n.k. Ila tu ni kwamba wamekamata watu kadhaa kuhusiana na tukio hilo ingawa hajui ni wangapi!! Askofu wa Katoliki Zanzibar amedai kuwa hana imani na jeshi la polisi Zanzibar. Mambo hayo

Huyu ni tatizo, kwa maoni yangu anapaswa kuondoka. Makanisa yalichomwa, Mapadri wawili wamepigwa risasi mmoja Kafa mwingine kanusurika bado unaeleza uarifu wa kawaida! Tuna sababu gani ya kuwa na Imani naye.
 
Nategemea kuona utalii pia Zanzibar unapungua kwa kiasi cha ajabu na kupoteza msisimuko wake kwa watalii,Watu watapoteza kazi sana..Rafiki zangu watano wakigeni wamefuta safari zao kwenda zanzibar.

Wachukue kwenu basi wakatalii
 
Hakuna shaka yeyote, ataondolewa hivi karibuni. Makamanda karibu wote waliopo Zanzibar wataondolewa, baadhi watapelekwa Rukwa, wengine Mbeya, wengine Kigoma. Subirini, hii ni wizara ya mwungano.
 
Nimezungumza na mmoja wa watumishi wa mashirika ya kimataifa (one of UN agencies) huko Zanzibar jana usiku na kitu kimoja cha kunishtua kuwa alikuwa anasubiria "roll call'. Nilipomdadisi akasema kuwa siku hiizi baadhi ya mashirika ya kimataifa na hata ya ndani yameanza kuwataka wafanyakazi wao kutembea na radio call na ikifika majira ya jioni basi wanatakiwa ku 'call in' kucheck kuwa wapo salama... na pia mkubwa wao kuita radios za watumishi kuhakikisha wanajibu.. mfanyakazi ambaye katika muda husika hawezi kupatikana kwenye radio call yake husababisha msako...

Kweli Zanzibar imefika hapo...? Kuna wengine wenye experiences kama hii au ni one of the 'isolated cases" hizi?
JK akili yake kwa sasa anawaza ataitoaje GAS Mtwara to Bagamoyo ,hana habari na hizi habari za uisilamu na ukristo ama ugaidi unaofanywa Zenj
 
Dini imeifanya ZNZ KUWA SI SALAMA TENA KWA WAKTISTO NA WAGENI . Full stop

Nimezungumza na mmoja wa watumishi wa mashirika ya kimataifa (one of UN agencies) huko Zanzibar jana usiku na kitu kimoja cha kunishtua kuwa alikuwa anasubiria "roll call'. Nilipomdadisi akasema kuwa siku hiizi baadhi ya mashirika ya kimataifa na hata ya ndani yameanza kuwataka wafanyakazi wao kutembea na radio call na ikifika majira ya jioni basi wanatakiwa ku 'call in' kucheck kuwa wapo salama... na pia mkubwa wao kuita radios za watumishi kuhakikisha wanajibu.. mfanyakazi ambaye katika muda husika hawezi kupatikana kwenye radio call yake husababisha msako...

Kweli Zanzibar imefika hapo...? Kuna wengine wenye experiences kama hii au ni one of the 'isolated cases" hizi?
 
Mkuu kwa case ya Zanzibar inaweza kuwa si jambo la kawaida especially kama hapo awali hao wafanyakazi wa UN walikuwa hawafanyi hivyo. Kwa nchi zingine kama vile Somalia,Sudan, Pakistan, Afghanistan etc hii ni hali ya kawaida kabisa kwa wafanya kazi was UN hasa international staff kufanya Radio call kila jioni au katika muda maalum uliopangwa kulingana na hali ya usalama ya nchi husika. Kwa hali iliyoko Zanzibar kwa sasa UN inaweza pia kubadilisha security level yake (from 0 to 1 or from 1 to 2 or 2 to 3 etc) kadri level inavyoongezeka maana yake ni kwamba hali ya usalama ni hatarishi na madhara yake ni makubwa maana hakuna mtalii atakaetia timu huko Zanzibar. Ngoja tuone itakavyokuwa.
 
hawa watu hawataki muungano na ukristo, sasa kama muungano utakufa, hapo zbar patakalika ikiwa sasa ndio hivi? Kwa sababu inavyoonyesha srekali ya muungano ndiyo inayosababisha zbar ionekane tulivu


Huo ndo ukweli, linapofika suala la kuvunjwa muungano, hakuna ZNZ, CCM ZNZ, CUF wala uamusho, wote Lao moja. Lkn Kama kutetea muungano ni Pamoja na kuua watu wa dini moja, ni bora uvunjwe
 
Nimezungumza na mmoja wa watumishi wa mashirika ya kimataifa (one of UN agencies) huko Zanzibar jana usiku na kitu kimoja cha kunishtua kuwa alikuwa anasubiria "roll call'. Nilipomdadisi akasema kuwa siku hiizi baadhi ya mashirika ya kimataifa na hata ya ndani yameanza kuwataka wafanyakazi wao kutembea na radio call na ikifika majira ya jioni basi wanatakiwa ku 'call in' kucheck kuwa wapo salama... na pia mkubwa wao kuita radios za watumishi kuhakikisha wanajibu.. mfanyakazi ambaye katika muda husika hawezi kupatikana kwenye radio call yake husababisha msako...

Kweli Zanzibar imefika hapo...? Kuna wengine wenye experiences kama hii au ni one of the 'isolated cases" hizi?

Vipi Geita hawatembei na R call?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom