KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Mkuu Mzee Mwanakijiji huu ni upepo tu utapita. Watanzania ni wasahaulifu sana. Hapa watawala wanaomba chochote kitokee ili hii issue isahaulike kwa sasa.
Nakumbuka mauaji ya kamanda Barlow yalitikisa vibaya, hata kabla hajazikwa, kikatokea kitu gani sikumbuki, watanzania wakasahau kwamba kuna Afande kauwawa kinyama.
Nakuakikishia mfano Jumatano mabomu ya Mbagala yakilipuka tena, hakuna atakayejadili hili na itakua salama kwa Ilunga na Serikali.
Nakumbuka mauaji ya kamanda Barlow yalitikisa vibaya, hata kabla hajazikwa, kikatokea kitu gani sikumbuki, watanzania wakasahau kwamba kuna Afande kauwawa kinyama.
Nakuakikishia mfano Jumatano mabomu ya Mbagala yakilipuka tena, hakuna atakayejadili hili na itakua salama kwa Ilunga na Serikali.
Last edited by a moderator: