Watumishi wanaitishana 'roll call' Zanzibar...

Watumishi wanaitishana 'roll call' Zanzibar...

Status
Not open for further replies.
Nimezungumza na mmoja wa watumishi wa mashirika ya kimataifa (one of UN agencies) huko Zanzibar jana usiku na kitu kimoja cha kunishtua kuwa alikuwa anasubiria "roll call'. Nilipomdadisi akasema kuwa siku hiizi baadhi ya mashirika ya kimataifa na hata ya ndani yameanza kuwataka wafanyakazi wao kutembea na radio call na ikifika majira ya jioni basi wanatakiwa ku 'call in' kucheck kuwa wapo salama... na pia mkubwa wao kuita radios za watumishi kuhakikisha wanajibu.. mfanyakazi ambaye katika muda husika hawezi kupatikana kwenye radio call yake husababisha msako...

Kweli Zanzibar imefika hapo...? Kuna wengine wenye experiences kama hii au ni one of the 'isolated cases" hizi?

Sijui sehemu nyingine lakini kwa hao jamaa wa UN Zanzibar huo ni utaratibu wao. Lazima wajaribu kama Radiocall zao zinafanya kazi vizuri ili hata kama kuna dharura imetokea na simu za mkononi hazifanyi kazi, wanaweza kuwasiliana kikamilifu na kwa uhakika. Lengo hapo ni kuhakikisha ufanisi wa mawasiliano.
 
"Rafiki yangu na familia yake wanataka waje Zanzibar mwezi March..kaniuliza hivi," I had heard that you killing each other, is that true? Tell me my friend if is safe to come or to cancel the tour, I know you miss us but We will meet even if We do not come..."

Nimeshikwa na kigugumizi..naiangalia e-mail siku ya tatu sasa nashindwa nijibu nini? Maana mwenyewe naogo."

Ujumbe huu nimeupata kutoka kwa rafiki yangu aliyeko ZNZ, je tumefikia hapa?
 
Kwa kweli kama wanataka nchi yao na wachukue wafurahi na sisi tufurahi kuwa wamefurahi

Zanzibar hairudi kwa Sultani hata siku moja, tena nashauri Watanzania wote tutake SMZ iingizwe kwenye serikali Kuu Tanzania, tukumbuke Uamsho wana ajenda ya kutuingiza kwenye vita isiyoisha kwani wana mpango wa kudai Pwani yote ya Tanganyika eti kwa kuwa iliwahi tawaliwa na Zanzibar
 
UN agencies wana utaratibu wao kwenye maeneo ambayo hayana usalama wa kutosha. Inawezekana Zanzibar nayo imeingizwa kwenye maeneo ambayo ni insecure (UN huwa wanapanga madaraja) kwa nchi zote ambazo usalama wake ni wa mashaka.

Hivyo huo ni utaratibu wa kawaida kabisa kwa UN katika system zao za security. Hii ni kuhakikisha kwamba wafanyakazi wao wanahakikishiwa usalama muda wote. Kama hali ya usalama itaendelea kuwa hivyo (mauaji yasiyotarajiwa/holela) tegemea kuona misafara ya wafanyakazi wa UN wakipewa police escort kila watakakokuwa wakienda. Wafanyakazi wa UN wanachukuliwa kama mabalozi popote walipo.

Hata Kigoma tulikuwa tunatakiwa kuitikia miito ya "radio call". Kila ilipofika saa 11 jioni tulitakiwa kuita radio room ya moja ya UN agancies (UNHCR, WFP, UNICEF, IOM) ambayo ilikuwa zamu. Kama hili sasa linatokea Zanzibar usalama wake umeshatiliwa mashaka na UN. Hii ni kitu ya kawaida sana kwa UN agencies!!

Nadhani wafanyakazi wa UN wapo bara na Zanzibar, sasa mtu aniambie kama wafanya kazi wa UN Bara wanafanya radio call cheki. Ila kuhusu zanzibar Wafanyakazi wa UN wote namaanisha local na international Wanafanya radio call cheki.

CC zomba
Maganya Nyango
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli kama wanataka nchi yao na wachukue wafurahi na sisi tufurahi kuwa wamefurahi

baada ya kupata info fulani fulani,nachelea kukubali kirahisi suala la znz kujitenga.tusikubali kirahisi watz kwa sababu msukumo wa znz kujitenga unatoka nje ya znz na unaendeshwa na watu wachache wanaojua the REAL AGENDA.wananchi wengi wa znz wamerubuniwa na kukubali kusapoti ishu hii kwa AJENDA ZA NJE lakini AJENDA ZA NDANI NA SABABU ZAKE ni wachache wanajua.Znz inataka kutumika kama ngome ya kuingilia bara.mlengwa ni east africa nzima na kuna mtandao mzito unaotaka kujengwa znz,mombasa na somalia.kuna kitu hapa!waungwana hatuwezi kukisema tu hapa barabarani!
 
Nadhani wafanyakazi wa UN wapo bara na Zanzibar, sasa mtu aniambie kama wafanya kazi wa UN Bara wanafanya radio call cheki. Ila kuhusu zanzibar Wafanyakazi wa UN wote namaanisha local na international Wanafanya radio call cheki.

CC zomba
Maganya Nyango

Ulitaka wasifanye?

Wewe unaongelea wafanyakazi wa UN? Tanzania bara kuna sehemu nyingi tu hata Watanzania wa kawaida hawawezi kukatiza bila police au armed escort. Hivi hamuyajui hayo au basi ili mradi mtetee ubaguzi wa ujinga?
 
Nimezungumza na mmoja wa watumishi wa mashirika ya kimataifa (one of UN agencies) huko Zanzibar jana usiku na kitu kimoja cha kunishtua kuwa alikuwa anasubiria "roll call'. Nilipomdadisi akasema kuwa siku hiizi baadhi ya mashirika ya kimataifa na hata ya ndani yameanza kuwataka wafanyakazi wao kutembea na radio call na ikifika majira ya jioni basi wanatakiwa ku 'call in' kucheck kuwa wapo salama... na pia mkubwa wao kuita radios za watumishi kuhakikisha wanajibu.. mfanyakazi ambaye katika muda husika hawezi kupatikana kwenye radio call yake husababisha msako...

Kweli Zanzibar imefika hapo...? Kuna wengine wenye experiences kama hii au ni one of the 'isolated cases" hizi?

wacha unafiki wewe! hivi unapata faida gani mtu mzima kusema uongo?
Si juzi tu mliweka uzi hapa unaonyesha barua eti iliyoandikwa na UAMSHO ambayo inayohamasisha waislamu kuwadhuru wakristo wakati barua yenyewe mliyandika wenyewe.
Wacheni kusema uongo Watanganyika!
Zanzibar ni salama na shughuli zote za kila siku zinaendelea kama kawaida.
 
wacha unafiki wewe! hivi unapata faida gani mtu mzima kusema uongo?
Si juzi tu mliweka uzi hapa unaonyesha barua eti iliyoandikwa na UAMSHO ambayo inayohamasisha waislamu kuwadhuru wakristo wakati barua yenyewe mliyandika wenyewe.
Wacheni kusema uongo Watanganyika!
Zanzibar ni salama na shughuli zote za kila siku zinaendelea kama kawaida.

Tushukuru sana JF kwa kuwaanika wanafiki kama hawa. Angalia post zote za Mwanakijiji kuhusu ZNZ utathibitisha hana positive hata moja . Halafu kwenye ajenda ya kukandamiza ZNZ wanashirikiana bila kujali vyama kwa chuki waliyokuwa nayo
 
That is well known mzee mwanakijiji, islamic extremism is a threat to world peace, and now for Zanzibar it is advancing, this is more dangerous.
Ni afadhali ktk sehemu ambazo tayari wameshakuwa magaidi tayari, kuliko sehemu ambazo ndio wanajifunza kuwa magaidi kama Zanzibar maana watahitaji kufanya mauaji zaidi ili wajulikane kwa wenzao. Nashauri Zanzibar itangazwe kuwa ni sehemu hatari ya kuishi binadamu.

kijisehemu kenyewe ni kadogo tu, Zanzibar ,wenyewe wazanzibari wanabanana sasa hawa ndugu zangu wadanganyika wanaenda kufanya nini huko?

Wadanganyika tunapenda kujitafutia matatizo halafu tunalalama.

Nimeona picha mitandaoni, sikuamini macho yangu. Kelele tunazopiga wadanganyika kuwa kinchi kenyewe ni kadogo tu lakini wadanganyika wanaacha mapande ya ardhi huku Tanganyika na kwenda kufanya msongamano huko Zenj. Mimi sielewi ni nini wadanganyika wanafata huko. Ardhi hakuna,hakuna biashara, ajira hakuna. Hivi haya sio matatizo na changamoto za kujitakia kwa wadanganyika kujipeleka huko?

Kuna haja ya serikali ya muungano kuiga mfumo wa uhamiaji baina ya China na Hong Kong. Zanzibar haiwezi kubeba wahamiaji wengi wakati Tanganyika inaweza kubeba wakaazi wate wa Zanzibar 1.5.milioni na bado tukawa na nafasi kwa ajili ya wakenya,wanyarwanda kama 5 milioni wanaohitaji ardhi yetu.


Hapa isifahamike kuwa nasema ,tuwapatie wahamiaji ardhi yetu, hapa namaanisha kuwa tuna eneo kubwa la kukaribisha watu,wageni,wahamiaji kulinganisha na eneo la kisiwa cha Zanzibar ambalo hata wenyewe tu haliwatoshi..


Lakini mimi bado naamini haya matukio ni matukio yanayopangwa na wanasiasa na sio ugaidi au migogoro ya kidini.

Kuna mdau amesema hapo juu umasikini na amani havikai pamoja.
 
Nimezungumza na mmoja wa watumishi wa mashirika ya kimataifa (one of UN agencies) huko Zanzibar jana usiku na kitu kimoja cha kunishtua kuwa alikuwa anasubiria "roll call'. Nilipomdadisi akasema kuwa siku hiizi baadhi ya mashirika ya kimataifa na hata ya ndani yameanza kuwataka wafanyakazi wao kutembea na radio call na ikifika majira ya jioni basi wanatakiwa ku 'call in' kucheck kuwa wapo salama... na pia mkubwa wao kuita radios za watumishi kuhakikisha wanajibu.. mfanyakazi ambaye katika muda husika hawezi kupatikana kwenye radio call yake husababisha msako...

Kweli Zanzibar imefika hapo...? Kuna wengine wenye experiences kama hii au ni one of the 'isolated cases" hizi?
Mkuu MKJJ nimesimuliwa kuwa Vyuo vingi vya Zanzibar vimeanza kukosa wanafunzi toka Bara kutokana na ubaguzi uliokithiri na wasi wasi mkubwa uliotanda visiwani hivi sasa.
Mwishoni mwa mwaka jana mlinzi wa Chuo cha Mwalimu Nyerere tawi la Zanzibar aliuwawa na watu wasiojulikana na akazikwa hapa Dar esalaam.
Kwa vile yeye alikuwa mtu mdogo hata magazeti haya kuripoti habari hii.
 
Mtu ukiwa na ajenda iliyojificha ni lazima ikupe shida kuieleza kwa sababu unataka ijulikane na hapohapo unataka kuificha, matokeo yake utaishia kupindapinda maneno. Unasema kuwa zanzibar ni ndogo na kwa hiyo unaowaita wadanganyika yakiwakuta yakuwakuta kule watakuwa wamejitakia, sijaelewa unachojaribu kuhalalisha hata ni mauaji ya hao wadanganyika au ni nini. Kinachoeleweka haba ni ubaguzi tu kwamba wasiende kule eti zanzibar ni ndogo, Lakini mwisho umelaumu wanasiasa pia, Kifupi hujaeleweka ​Nonda.
kijisehemu kenyewe ni kadogo tu, Zanzibar ,wenyewe wazanzibari wanabanana sasa hawa ndugu zangu wadanganyika wanaenda kufanya nini huko?

Wadanganyika tunapenda kujitafutia matatizo halafu tunalalama.

Nimeona picha mitandaoni, sikuamini macho yangu. Kelele tunazopiga wadanganyika kuwa kinchi kenyewe ni kadogo tu lakini wadanganyika wanaacha mapande ya ardhi huku Tanganyika na kwenda kufanya msongamano huko Zenj. Mimi sielewi ni nini wadanganyika wanafata huko. Ardhi hakuna,hakuna biashara, ajira hakuna. Hivi haya sio matatizo na changamoto za kujitakia kwa wadanganyika kujipeleka huko?

Kuna haja ya serikali ya muungano kuiga mfumo wa uhamiaji baina ya China na Hong Kong. Zanzibar haiwezi kubeba wahamiaji wengi wakati Tanganyika inaweza kubeba wakaazi wate wa Zanzibar 1.5.milioni na bado tukawa na nafasi kwa ajili ya wakenya,wanyarwanda kama 5 milioni wanaohitaji ardhi yetu.


Hapa isifahamike kuwa nasema ,tuwapatie wahamiaji ardhi yetu, hapa namaanisha kuwa tuna eneo kubwa la kukaribisha watu,wageni,wahamiaji kulinganisha na eneo la kisiwa cha Zanzibar ambalo hata wenyewe tu haliwatoshi..


Lakini mimi bado naamini haya matukio ni matukio yanayopangwa na wanasiasa na sio ugaidi au migogoro ya kidini.

Kuna mdau amesema hapo juu umasikini na amani havikai pamoja.
 
Tushukuru sana JF kwa kuwaanika wanafiki kama hawa. Angalia post zote za Mwanakijiji kuhusu ZNZ utathibitisha hana positive hata moja . Halafu kwenye ajenda ya kukandamiza ZNZ wanashirikiana bila kujali vyama kwa chuki waliyokuwa nayo
We bwana usijifanye hujui, Zanzibar sasa hivi ni kichefuchefu na si mahali salama kuishi.
 
Nimezungumza na mmoja wa watumishi wa mashirika ya kimataifa (one of UN agencies) huko Zanzibar jana usiku na kitu kimoja cha kunishtua kuwa alikuwa anasubiria "roll call'. Nilipomdadisi akasema kuwa siku hiizi baadhi ya mashirika ya kimataifa na hata ya ndani yameanza kuwataka wafanyakazi wao kutembea na radio call na ikifika majira ya jioni basi wanatakiwa ku 'call in' kucheck kuwa wapo salama... na pia mkubwa wao kuita radios za watumishi kuhakikisha wanajibu.. mfanyakazi ambaye katika muda husika hawezi kupatikana kwenye radio call yake husababisha msako...

Kweli Zanzibar imefika hapo...? Kuna wengine wenye experiences kama hii au ni one of the 'isolated cases" hizi?

Mzee mwanakijiji wewe ni mnafik na mzandiki tena na mdini wa kutupwa haya ni watu gani hao wanao report kila mara mm nipo znz kikazi uzuri nimekutana na watu tofauti tofauti na nikawauliza kuhusu kuitishwa everytym alichonijibu kwa sisi hapa dfp hakuna kitu kama hichho ngoja nimulize anamtaja jina yy yuopo unesco akampigia na kumuuliza hakuna kitu kama hicho nikamwoneshahii thread yako akacheka sana akaniuliza huyu yuko fiti kichwani
 
Nimezungumza na mmoja wa watumishi wa mashirika ya kimataifa (one of UN agencies) huko Zanzibar jana usiku na kitu kimoja cha kunishtua kuwa alikuwa anasubiria "roll call'. Nilipomdadisi akasema kuwa siku hiizi baadhi ya mashirika ya kimataifa na hata ya ndani yameanza kuwataka wafanyakazi wao kutembea na radio call na ikifika majira ya jioni basi wanatakiwa ku 'call in' kucheck kuwa wapo salama... na pia mkubwa wao kuita radios za watumishi kuhakikisha wanajibu.. mfanyakazi ambaye katika muda husika hawezi kupatikana kwenye radio call yake husababisha msako...

Kweli Zanzibar imefika hapo...? Kuna wengine wenye experiences kama hii au ni one of the 'isolated cases" hizi?

Hizo roll call ni utaratibu wa kawaida kwa watumishi wa UN, na sio kwamba wameanza baada ya hali kuwa mbaya.
 
Mtu ukiwa na ajenda iliyojificha ni lazima ikupe shida kuieleza kwa sababu unataka ijulikane na hapohapo unataka kuificha, matokeo yake utaishia kupindapinda maneno. Unasema kuwa zanzibar ni ndogo na kwa hiyo unaowaita wadanganyika yakiwakuta yakuwakuta kule watakuwa wamejitakia, sijaelewa unachojaribu kuhalalisha hata ni mauaji ya hao wadanganyika au ni nini. Kinachoeleweka haba ni ubaguzi tu kwamba wasiende kule eti zanzibar ni ndogo, Lakini mwisho umelaumu wanasiasa pia, Kifupi hujaeleweka ​Nonda.

Soma hii utaelewa.
KUUAWA KWA PADRI MUSHI HAKUTOKANI NA ITIKADI ZA KIDINI-ASKOFU SHAYO.


ASKOFU wa kanisa katoliki jimbo la Zanzibar,Augostino Shao... Alisema matukio ya uhalifu yanayoendelea kujitokeza nchini hasa kwa waumini na viongozi wa kanisa hilo hayahusiani na itikadi za kidini bali yanafanywa na watu wachache wasioitakia mema Zanzibar.
Hayo yamesemwa na Askofu wa kanisa hilo Augustino Shao wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kanisa la MinaraMiwili Shangani, mjini Zanzibar.
Alisema, kuongezeka kwa matukio ya uhalifu nchini, kunatokana na kutowajibika kwa watendaji wa vyombo hivyo.

Imeopolewa hapa https://www.facebook.com/voiceofzan...5685512.-2207520000.1361478096&type=3&theater


Lugha unayotaka nitumie ni ugaidi,udini. Angalia Askofu Shayo anasemaje?

Uhalifu na wanaofanya uhalifu huo sio kwa udini lakini hawaitakii mema Zanzibar.
Umeelewa?

Wapi nimepongeza kuuawa kwa raia asiye na hatia? Au wapi nimepindisha maneno?

Au ungefurahi kama ningesema wanatuua sisi wakristo, au waislamu hawatupendi?

Acha aliyosema Nonda, tafakari aliyosema Askofu Shayo.

Magazeti yanayopenda uchochezi wa kidini hayakutoa habari ya Askofu Shayo alipokutana na vyombo vya habari. Unafikiri ni kwa nini?
 
Na wewe soma tena post yangu utaelewa NB; hakuna sehemu nimetaja udini.
Soma hii utaelewa.
KUUAWA KWA PADRI MUSHI HAKUTOKANI NA ITIKADI ZA KIDINI-ASKOFU SHAYO.


ASKOFU wa kanisa katoliki jimbo la Zanzibar,Augostino Shao... Alisema matukio ya uhalifu yanayoendelea kujitokeza nchini hasa kwa waumini na viongozi wa kanisa hilo hayahusiani na itikadi za kidini bali yanafanywa na watu wachache wasioitakia mema Zanzibar.
Hayo yamesemwa na Askofu wa kanisa hilo Augustino Shao wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kanisa la MinaraMiwili Shangani, mjini Zanzibar.
Alisema, kuongezeka kwa matukio ya uhalifu nchini, kunatokana na kutowajibika kwa watendaji wa vyombo hivyo.

Imeopolewa hapa https://www.facebook.com/voiceofzan...5685512.-2207520000.1361478096&type=3&theater


Lugha unayotaka nitumie ni ugaidi,udini. Angalia Askofu Shayo anasemaje?

Uhalifu na wanaofanya uhalifu huo sio kwa udini lakini hawaitakii mema Zanzibar.
Umeelewa?

Wapi nimepongeza kuuawa kwa raia asiye na hatia? Au wapi nimepindisha maneno?

Au ungefurahi kama ningesema wanatuua sisi wakristo, au waislamu hawatupendi?

Acha aliyosema Nonda, tafakari aliyosema Askofu Shayo.

Magazeti yanayopenda uchochezi wa kidini hayakutoa habari ya Askofu Shayo alipokutana na vyombo vya habari. Unafikiri ni kwa nini?
 
Sio sahihi kwamba hata Mkirsto anatakiwa kumuita Muislamu kafiri, hakuna maelekezo ya namna hiyo kwenye Biblia. wakati pekee neno hili lilitumika dhidi ya binaadamu wengine ni kabla ya kuja kwa Yesu Kiristo, na lilitumiwa na waisrael dhidi ya Jamii zingine zote ikiwamo mimi na wewe, baada ya Yesu kurejea alikotoka alimcommission Paul kuanzisha mchakato wa kuhakikisha kwamba binaadamu wa jamii zote duniani bila ubaguzi wa aina yoyote anapashwa habari ya opportunity iliyojitokeza kwa binaadamu wote ya kuwa treated equally mbele za Mungu (hasa katika msingi wa kuwa na opportunity ya kushiriki kwenye imani ya kikristo) baada ya yeye kuridhia na kuuwawa na kufanyika sadaka kwa Mungu Baba.

Hivyo uishie hapo hapo na hizo fikra zako kwamba hata wakiristo huita binaadamu wenzao makafiri, lakini uendelee kujipima kama unalo lolote lile la kukufanya kujiunua ni kujiona bora kuliko binaadamu wenzako ambao kama wanavyokufa wao na wewe vivyo hivyo hufa na kurejea mavumbi kama iwatokeavyo ng'ombe na kondoo.

Ni makosa ya kiuandishi? Au hizi Mungu zipo ngapi?
 
Ni makosa ya kiuandishi? Au hizi Mungu zipo ngapi?

sijakuelewa? lakini kwa swala la namba, mungu ni wengi sana. hii ni expert comment lakini, hakikisha kwamba na wewe ni expert katika haya mambo kabla ya kukubaliana na mimi.
 
Nadhani wafanyakazi wa UN wapo bara na Zanzibar, sasa mtu aniambie kama wafanya kazi wa UN Bara wanafanya radio call cheki. Ila kuhusu zanzibar Wafanyakazi wa UN wote namaanisha local na international Wanafanya radio call cheki.

CC zomba
Maganya Nyango

Mkuu, unamaanisha kwamba NI KWELI RADIO CALL CHECKS INAFANYIKA ZANZIBAR??
Lakini tishio lililopo zanzibar ni dhidi ya wakristo labda na kwa kiasi fulani dhidi ya watanganyika, sasa nini kinawatia hofu UN au ndio wanataka kuanzisha propaganda kwamba Zanzibar is insecure in every aspect?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom