........... Imagine Internet explorer sasa ipo version ya 9 lakini bado wapo wanatumia version ya 6 na wanaona is perfectly fine. Kiutaalamu wanasema watu wenye IQ ndogo hawapendi mabadiliko. Kwa hiyo utafiti umejaribu ku extend hii hypothesis kwenye software japokuwa wamesema utafiti zaidi unatakiwa.
kwa spidi za internet hapa Afrika mashariki IE ni poa zaidi.Hizo nyingine utakesha una refresh.
I just want to make it clear that the report released by my company did not suggest that if you use IE that means you have a low IQ, but what it really says is that if you have a low IQ then there are high chances that you use Internet Explorer,
<br />Mi natumia FF na mara chache