WATUHUMIWA katika mauaji ya Swetu Fundikira wahukumiwa kifo!

Katika kesi hii inasemekana kulikuwa na kihoja cha aina yake; Inabidi mfumo wetu wa sheria uangalie upya suala zima la kuwatumia wazee wa baraza kama hawa, ambao hali zao tu zinaonyesha wako katika mazingira rahisi mno ya kuhongwa na kupindisha ukweli.

Na ikiwa hakimu mwishowe hazingatii ushauri wao, kuna haja gani ya kuwa na wazee wa baraza?

Jana katika mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam wazee wa baraza katika kesi ya Swetu Fundikira waliushangaza umma uliohudhuria kesi hiyo (nafikiri hata na ndugu wa washtakiwa hawakutegemea kile walichosikia) baada ya wote watatu kudai kuwa washtakiwa waachiwe huru kwa kuwa hakuna ushahidi kuwa wao walimuua Swetu Fundikira. Aliyetoa kali kabisa ni Mzee Raha Saidi aliyedai polisi wamewabambikia kesi washtakiwa ki ujanja ujanja. Mzee mwingine Ali Kampea alidai kifo cha marehemu ni ajali tu kwani alianguka ndipo akaumia kichwani na kupeleka kifo chake. Bibi Johari yeye alidai kuwa yeye haoni kama washtakiwa walikuwa na nia mbaya na hatimaye kumuua Swetu Fundikira bali washtakiwa ni watu wazuri na nia yao ilikuwa ni kumpeleka polisi tu na si vinginevyo hivyo yeye anaona hawana hatia.
SAM_3574.JPG



Hawa lazima wawe kafu tu!
 
WATUHUMIWA katika mauaji ya Swetu Fundikira, MTM 1900 Sajenti Roda Robert (42) wa kikosi cha JKT - Mbweni na MT 75854 Koplo Ally Ngumbe (37) wa JWTZ-Kunduchi leo wamehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. HABARI NA PICHA ZAIDI KUWAJIA HIVI PUNDE!

Mbona hawa hawakutoroka kama wa arusha? au aliyeuwawa Arusha sio binadamu? sina imani na mahakana na serikari yenyewe
 
katika kesi hii inasemekana kulikuwa na kihoja cha aina yake; inabidi mfumo wetu wa sheria uangalie upya suala zima la kuwatumia wazee wa baraza kama hawa, ambao hali zao tu zinaonyesha wako katika mazingira rahisi mno ya kuhongwa na kupindisha ukweli.

Na ikiwa hakimu mwishowe hazingatii ushauri wao, kuna haja gani ya kuwa na wazee wa baraza?

jana katika mahakama kuu kanda ya dar es salaam wazee wa baraza katika kesi ya swetu fundikira waliushangaza umma uliohudhuria kesi hiyo (nafikiri hata na ndugu wa washtakiwa hawakutegemea kile walichosikia) baada ya wote watatu kudai kuwa washtakiwa waachiwe huru kwa kuwa hakuna ushahidi kuwa wao walimuua swetu fundikira. Aliyetoa kali kabisa ni mzee raha saidi aliyedai polisi wamewabambikia kesi washtakiwa ki ujanja ujanja. Mzee mwingine ali kampea alidai kifo cha marehemu ni ajali tu kwani alianguka ndipo akaumia kichwani na kupeleka kifo chake. bibi johari yeye alidai kuwa yeye haoni kama washtakiwa walikuwa na nia mbaya na hatimaye kumuua swetu fundikira bali washtakiwa ni watu wazuri na nia yao ilikuwa ni kumpeleka polisi tu na si vinginevyo hivyo yeye anaona hawana hatia.
sam_3574.jpg




naomba kuuliza hao wazee wa baraza nao wanaingia kwenye payroll au mshahara ndio vile tena kashata na kahawa??
Besides jk anaweza weka sahihi kubariki hukumu hiyo ili hao jamaa watiwe vitanzi??
Jk hana ubavu huo,labda 2015 dr slaa akiingia madarakani
 
Zombe naye atanyongwa lini jamni?
Mkuu.., Zombe naye ajiandae kwani sheria haichi asili ya mkondo wake...

hata ukijalibu kuipindisha..kwani wakina zombe walishinda ile kesi kimizengwe tu.

Damu iliyomwagika ya wale vijana bado inamuita..tusubiri rufaa ya serikali mwenzi ujao.
 
Last edited by a moderator:
Katika kesi hii inasemekana kulikuwa na kihoja cha aina yake; Inabidi mfumo wetu wa sheria uangalie upya suala zima la kuwatumia wazee wa baraza kama hawa, ambao hali zao tu zinaonyesha wako katika mazingira rahisi mno ya kuhongwa na kupindisha ukweli.

Na ikiwa hakimu mwishowe hazingatii ushauri wao, kuna haja gani ya kuwa na wazee wa baraza?

Jana katika mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam wazee wa baraza katika kesi ya Swetu Fundikira waliushangaza umma uliohudhuria kesi hiyo (nafikiri hata na ndugu wa washtakiwa hawakutegemea kile walichosikia) baada ya wote watatu kudai kuwa washtakiwa waachiwe huru kwa kuwa hakuna ushahidi kuwa wao walimuua Swetu Fundikira. Aliyetoa kali kabisa ni Mzee Raha Saidi aliyedai polisi wamewabambikia kesi washtakiwa ki ujanja ujanja. Mzee mwingine Ali Kampea alidai kifo cha marehemu ni ajali tu kwani alianguka ndipo akaumia kichwani na kupeleka kifo chake. Bibi Johari yeye alidai kuwa yeye haoni kama washtakiwa walikuwa na nia mbaya na hatimaye kumuua Swetu Fundikira bali washtakiwa ni watu wazuri na nia yao ilikuwa ni kumpeleka polisi tu na si vinginevyo hivyo yeye anaona hawana hatia.
SAM_3574.JPG


Jamani jamani, hivi ni lini Tanzania tutakuwa serious japo kidogo tu kwa mambo nyeti?
Yaani hao wazee ukiwaangalia tu sura zao, ukaja kwenye majina yao..... naomba nisitie neno.
 
Hukumu ipo ila hakuna rais anayesign hyo issue wengi hawataki kuna prezdent nadhani nkapa ashawahi sign ila brotherman ajasign hata moja nahisi watakula mvua za maisha tu!


Rais wa mwisho kunyonga ni A.H Mwinyi mwaka 1987 baada ya hapo hii hukumu haijawahi kutekelezwa tena
 
Jamani jamani, hivi ni lini Tanzania tutakuwa serious japo kidogo tu kwa mambo nyeti?
Yaani hao wazee ukiwaangalia tu sura zao, ukaja kwenye majina yao..... naomba nisitie neno.

Raha saidi..bi Johari na ally kampea..haha= Uamsho!
 
SAM_3574.JPG


Hi hawa wazee sio wale waliokua wastaafu wa iliyokua jumuia ya EAST AFRICA au nawafananisha?
 
Hi kuna aliye na wasifu wa Swetu Fundikira? Niliwahi cheza mpira na Swetu Fundikira huko Tabora miaka ya 80, akiwa anasoma Kazima kama sikosei, na sijui kama huyu ndiye huyo niliyemfahamu. Naona wanafanana.

Synthesizer atakuwa ndio huyo nimeona post ya edo kumwembe facebook amesema alkuwa ni mcheza mpira na rafiki yake
 
Last edited by a moderator:
Jamani jamani, hivi ni lini Tanzania tutakuwa serious japo kidogo tu kwa mambo nyeti?
Yaani hao wazee ukiwaangalia tu sura zao, ukaja kwenye majina yao..... naomba nisitie neno.

si ndio rafiki zake kikwete hao a.k.a wazee wa dar
 
Katika kesi hii inasemekana kulikuwa na kihoja cha aina yake; Inabidi mfumo wetu wa sheria uangalie upya suala zima la kuwatumia wazee wa baraza kama hawa, ambao hali zao tu zinaonyesha wako katika mazingira rahisi mno ya kuhongwa na kupindisha ukweli.

Na ikiwa hakimu mwishowe hazingatii ushauri wao, kuna haja gani ya kuwa na wazee wa baraza?

Jana katika mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam wazee wa baraza katika kesi ya Swetu Fundikira waliushangaza umma uliohudhuria kesi hiyo (nafikiri hata na ndugu wa washtakiwa hawakutegemea kile walichosikia) baada ya wote watatu kudai kuwa washtakiwa waachiwe huru kwa kuwa hakuna ushahidi kuwa wao walimuua Swetu Fundikira. Aliyetoa kali kabisa ni Mzee Raha Saidi aliyedai polisi wamewabambikia kesi washtakiwa ki ujanja ujanja. Mzee mwingine Ali Kampea alidai kifo cha marehemu ni ajali tu kwani alianguka ndipo akaumia kichwani na kupeleka kifo chake. Bibi Johari yeye alidai kuwa yeye haoni kama washtakiwa walikuwa na nia mbaya na hatimaye kumuua Swetu Fundikira bali washtakiwa ni watu wazuri na nia yao ilikuwa ni kumpeleka polisi tu na si vinginevyo hivyo yeye anaona hawana hatia.
SAM_3574.JPG


Mkuu umesema kweli kuhusu wazee wa baraza. Je hawa wazee hupatikana vipi? Wanaandaliwa vipi kielimu ili kuhimili majukumu yao?
 
Katika kesi hii inasemekana kulikuwa na kihoja cha aina yake; Inabidi mfumo wetu wa sheria uangalie upya suala zima la kuwatumia wazee wa baraza kama hawa, ambao hali zao tu zinaonyesha wako katika mazingira rahisi mno ya kuhongwa na kupindisha ukweli.

Na ikiwa hakimu mwishowe hazingatii ushauri wao, kuna haja gani ya kuwa na wazee wa baraza?

Jana katika mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam wazee wa baraza katika kesi ya Swetu Fundikira waliushangaza umma uliohudhuria kesi hiyo (nafikiri hata na ndugu wa washtakiwa hawakutegemea kile walichosikia) baada ya wote watatu kudai kuwa washtakiwa waachiwe huru kwa kuwa hakuna ushahidi kuwa wao walimuua Swetu Fundikira. Aliyetoa kali kabisa ni Mzee Raha Saidi aliyedai polisi wamewabambikia kesi washtakiwa ki ujanja ujanja. Mzee mwingine Ali Kampea alidai kifo cha marehemu ni ajali tu kwani alianguka ndipo akaumia kichwani na kupeleka kifo chake. Bibi Johari yeye alidai kuwa yeye haoni kama washtakiwa walikuwa na nia mbaya na hatimaye kumuua Swetu Fundikira bali washtakiwa ni watu wazuri na nia yao ilikuwa ni kumpeleka polisi tu na si vinginevyo hivyo yeye anaona hawana hatia.
SAM_3574.JPG


Hawa wazee watakuwa wamepewa buku tano tano tu, cheki walivyolegea.
 
-Wazee wa mahakama
-Wazee wa Dar es Salaam
- Wazee wa Yanga

Hivi kwa nini huwa wanakuwa na vibagarashia?
 
Watu bwana!
Oooh mhakama ya magamba!
Si haki inaonekana kutendeka sasa?
Sheria msumeno.

Kama issue magamba hawana maslahi nayo au kama hakuna wakubwa au wenye pesa wenye maslahi kwenye kesi fulani angalau mahakama huwa fair na hasa akipatikana jaji makini.

Tatizo la vyombo vyetu vya utoaji haki ni affiliation na SIASA au VIGOGO au RUSHWA au (kwa uchache) MAJAJI VIHIYO or some combination thereof.

Kesi yoyote ikitiliwa shaka tegemea angalau mojawapo ya sababu hizo imeingilia mwenendo mzima wa utoaji haki.
 
Hi kuna aliye na wasifu wa Swetu Fundikira? Niliwahi cheza mpira na Swetu Fundikira huko Tabora miaka ya 80, akiwa anasoma Kazima kama sikosei, na sijui kama huyu ndiye huyo niliyemfahamu. Naona wanafanana.

pole kwa kumpoteza rafikiyo.
 
-Wazee wa mahakama
-Wazee wa Dar es Salaam
- Wazee wa Yanga

Hivi kwa nini huwa wanakuwa na vibagarashia?

Hapa panahitaji uchunguzi mpana:
  • Wazee wa CHADEMA
  • Wazee wa kanisa
  • Baraza la Walei
  • Wazee wa Moshi
Hawafanyi kazi mpaka bakuli la mbege liwe karibu!
 
Back
Top Bottom