TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Msamaha wa raisi hawezi kutoa msamaha kwa makosa ya mauaji ,ujambazi wa kutumia silaha na kesi za uhujumu uchumi!sheria za nchi zinakataza!Yaani bado kusubiri hadi ikifika maana wanaweza kata rufaa wakitaka, then raisi anaweza wasamehe etc si unajua nchi yetu hii