Watu wote wanaoishi maeneo ya mbali pembezoni mwa Jiji la Dar es Salaam kimsingi ni kama wako mikoani tu

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,429
11,096
Kuna watu DSM wanaishi kijijini kuliko watu wa mikoani, wana maisha magumu, barabara na huduma zingine sifuri hmna zahanati, hawana vituo vya police, hawana maji safi na salama, vyoo vya shimo.

Hivi mtu unaishi Madale, Mbopo, Mabwepande, Pugu, Kitunda, mbagala maporini, Chanika, Chamazi unasema uko town DSM acheni hizo. Hao watu wa maeneo hayo wana maisha magumu kama wakimbizi.

Barabara mbovu kuliko hata za mikoani, vidaraja fake na vibovu utaambiwa Billion 27, billion 80, billion 200, hovyo kabisa.

DSM kuna idadi kubwa ya vichaa na watu wenye magonjwa mengine ya akili, masaa ya kulala ni 2-3 sasa hao so ni zaidi ya vichaa.

Kwa jina la ukweli DSM wanaoishi Dar ni wachache sana ila kijiografia ndio kuna nyomi wengi wengi wako vijijini huko DSM wakiteseka na maisha.

Kuna DSM jina na DSM yenyewe.

Ukibisha hujazunguka DSM na kujionea maisha ya magumu ya wanajiografia wa DSM.

Kuna vijiji vya DSM havina huduma yoyote bora hata ya wafungwa wa magerezani.

Ni hayo tu kuna dsm ya kuishi kimaneno na DSM yenye maisha na uwepo wa watu Duniani.

Wadiz
 
Kuna watu DSM wanaishi kijijini kuliko watu wa mikoani, wana maisha magumu, barabara na huduma zingine sifuri hmna zahanati, hawana vituo vya police, hawana maji safi na salama, vyoo vya shimo.

Hivi mtu unaishi Madale, Mbopo, Mabwepande, Pugu, Kitunda, mbagala maporini, Chanika, Chamazi unasema uko town DSM acheni hizo. Hao watu wa maeneo hayo wana maisha magumu kama wakimbizi.

Barabara mbovu kuliko hata za mikoani, vidaraja fake na vibovu utaambiwa Billion 27, billion 80, billion 200, hovyo kabisa.

DSM kuna idadi kubwa ya vichaa na watu wenye magonjwa mengine ya akili, masaa ya kulala ni 2-3 sasa hao so ni zaidi ya vichaa.

Kwa jina la ukweli DSM wanaoishi Dar ni wachache sana ila kijiografia ndio kuna nyomi wengi wengi wako vijijini huko DSM wakiteseka na maisha.

Kuna DSM jina na DSM yenyewe.

Ukibisha hujazunguka DSM na kujionea maisha ya magumu ya wanajiografia wa DSM.

Kuna vijiji vya DSM havina huduma yoyote bora hata ya wafungwa wa magerezani.

Ni hayo tu kuna dsm ya kuishi kimaneno na DSM yenye maisha na uwepo wa watu Duniani.

Wadiz

.
 
Kuna watu DSM wanaishi kijijini kuliko watu wa mikoani, wana maisha magumu, barabara na huduma zingine sifuri hmna zahanati, hawana vituo vya police, hawana maji safi na salama, vyoo vya shimo.

Hivi mtu unaishi Madale, Mbopo, Mabwepande, Pugu, Kitunda, mbagala maporini, Chanika, Chamazi unasema uko town DSM acheni hizo. Hao watu wa maeneo hayo wana maisha magumu kama wakimbizi.

Barabara mbovu kuliko hata za mikoani, vidaraja fake na vibovu utaambiwa Billion 27, billion 80, billion 200, hovyo kabisa.

DSM kuna idadi kubwa ya vichaa na watu wenye magonjwa mengine ya akili, masaa ya kulala ni 2-3 sasa hao so ni zaidi ya vichaa.

Kwa jina la ukweli DSM wanaoishi Dar ni wachache sana ila kijiografia ndio kuna nyomi wengi wengi wako vijijini huko DSM wakiteseka na maisha.

Kuna DSM jina na DSM yenyewe.

Ukibisha hujazunguka DSM na kujionea maisha ya magumu ya wanajiografia wa DSM.

Kuna vijiji vya DSM havina huduma yoyote bora hata ya wafungwa wa magerezani.

Ni hayo tu kuna dsm ya kuishi kimaneno na DSM yenye maisha na uwepo wa watu Duniani.

Wadiz
Kwa Tanzania hii kuna sehemu gani ya kujivunia maana kila kitu kibovu!!...acha kujidanganya kuwa we ulipo ni bora luliko kwengine, lakini pia hata tukitembelea upeo wako wa kilimbukeni...amini kuwa uwepo wa maeneo hayo ndio yanayofanya mkoa huo uitwe jina dsm au vyovyote utakavyouita.
 
Kuna watu DSM wanaishi kijijini kuliko watu wa mikoani, wana maisha magumu, barabara na huduma zingine sifuri hmna zahanati, hawana vituo vya police, hawana maji safi na salama, vyoo vya shimo.

Hivi mtu unaishi Madale, Mbopo, Mabwepande, Pugu, Kitunda, mbagala maporini, Chanika, Chamazi unasema uko town DSM acheni hizo. Hao watu wa maeneo hayo wana maisha magumu kama wakimbizi.

Barabara mbovu kuliko hata za mikoani, vidaraja fake na vibovu utaambiwa Billion 27, billion 80, billion 200, hovyo kabisa.

DSM kuna idadi kubwa ya vichaa na watu wenye magonjwa mengine ya akili, masaa ya kulala ni 2-3 sasa hao so ni zaidi ya vichaa.

Kwa jina la ukweli DSM wanaoishi Dar ni wachache sana ila kijiografia ndio kuna nyomi wengi wengi wako vijijini huko DSM wakiteseka na maisha.

Kuna DSM jina na DSM yenyewe.

Ukibisha hujazunguka DSM na kujionea maisha ya magumu ya wanajiografia wa DSM.

Kuna vijiji vya DSM havina huduma yoyote bora hata ya wafungwa wa magerezani.

Ni hayo tu kuna dsm ya kuishi kimaneno na DSM yenye maisha na uwepo wa watu Duniani.

Wadiz
Ninatumai ww sio mzaliwa wa dar, wenzio hawapo huko, wanaangalia ili nifike kariakoo ninapanda gari ngapi??
Mtu anaekaa homboza mkoa wa pwani kufika kariakoo anapanda gari moja tena nakuli ni sh 1000,, kuna fitu vya msingi watu wanaangali,

Balabala mbovu na balabala nzuli yenye msongamano wa magali foleni nusu saa haitembei bora nn??

Tupo hapa kukutanua kimawazo ,
 
Bila Shaka mtoa post hujawahi kusafiri nje ya inchi na kujuwa watu wanaishije.


Duniani kote matajiri wanaishi inje ya mji na sio Katikati ya mji..mfano kkoo/Posta.
--usalama zero.
--utulivu zero.

Faida za kuishi nje ya mji.
--utulivu,
--mazingira Safi.
Nk.
 
Kuna watu DSM wanaishi kijijini kuliko watu wa mikoani, wana maisha magumu, barabara na huduma zingine sifuri hmna zahanati, hawana vituo vya police, hawana maji safi na salama, vyoo vya shimo.

Hivi mtu unaishi Madale, Mbopo, Mabwepande, Pugu, Kitunda, mbagala maporini, Chanika, Chamazi unasema uko town DSM acheni hizo. Hao watu wa maeneo hayo wana maisha magumu kama wakimbizi.

Barabara mbovu kuliko hata za mikoani, vidaraja fake na vibovu utaambiwa Billion 27, billion 80, billion 200, hovyo kabisa.

DSM kuna idadi kubwa ya vichaa na watu wenye magonjwa mengine ya akili, masaa ya kulala ni 2-3 sasa hao so ni zaidi ya vichaa.

Kwa jina la ukweli DSM wanaoishi Dar ni wachache sana ila kijiografia ndio kuna nyomi wengi wengi wako vijijini huko DSM wakiteseka na maisha.

Kuna DSM jina na DSM yenyewe.

Ukibisha hujazunguka DSM na kujionea maisha ya magumu ya wanajiografia wa DSM.

Kuna vijiji vya DSM havina huduma yoyote bora hata ya wafungwa wa magerezani.

Ni hayo tu kuna dsm ya kuishi kimaneno na DSM yenye maisha na uwepo wa watu Duniani.

Wadiz
Aloo chamazi ni kijijini haswaaaa ni kubaya watu wa chamazi wanaishi kama wapo njombe kijijini hukoo
 
Kuna watu DSM wanaishi kijijini kuliko watu wa mikoani, wana maisha magumu, barabara na huduma zingine sifuri hmna zahanati, hawana vituo vya police, hawana maji safi na salama, vyoo vya shimo.

Hivi mtu unaishi Madale, Mbopo, Mabwepande, Pugu, Kitunda, mbagala maporini, Chanika, Chamazi unasema uko town DSM acheni hizo. Hao watu wa maeneo hayo wana maisha magumu kama wakimbizi.

Barabara mbovu kuliko hata za mikoani, vidaraja fake na vibovu utaambiwa Billion 27, billion 80, billion 200, hovyo kabisa.

DSM kuna idadi kubwa ya vichaa na watu wenye magonjwa mengine ya akili, masaa ya kulala ni 2-3 sasa hao so ni zaidi ya vichaa.

Kwa jina la ukweli DSM wanaoishi Dar ni wachache sana ila kijiografia ndio kuna nyomi wengi wengi wako vijijini huko DSM wakiteseka na maisha.

Kuna DSM jina na DSM yenyewe.

Ukibisha hujazunguka DSM na kujionea maisha ya magumu ya wanajiografia wa DSM.

Kuna vijiji vya DSM havina huduma yoyote bora hata ya wafungwa wa magerezani.

Ni hayo tu kuna dsm ya kuishi kimaneno na DSM yenye maisha na uwepo wa watu Duniani.

Wadiz
Siyo kweli, hayo maeneo uliyotaja, baadhi wamejenga majumba ya kifahali na wana pesa.
 
Kuna watu DSM wanaishi kijijini kuliko watu wa mikoani, wana maisha magumu, barabara na huduma zingine sifuri hmna zahanati, hawana vituo vya police, hawana maji safi na salama, vyoo vya shimo.

Hivi mtu unaishi Madale, Mbopo, Mabwepande, Pugu, Kitunda, mbagala maporini, Chanika, Chamazi unasema uko town DSM acheni hizo. Hao watu wa maeneo hayo wana maisha magumu kama wakimbizi.

Barabara mbovu kuliko hata za mikoani, vidaraja fake na vibovu utaambiwa Billion 27, billion 80, billion 200, hovyo kabisa.

DSM kuna idadi kubwa ya vichaa na watu wenye magonjwa mengine ya akili, masaa ya kulala ni 2-3 sasa hao so ni zaidi ya vichaa.

Kwa jina la ukweli DSM wanaoishi Dar ni wachache sana ila kijiografia ndio kuna nyomi wengi wengi wako vijijini huko DSM wakiteseka na maisha.

Kuna DSM jina na DSM yenyewe.

Ukibisha hujazunguka DSM na kujionea maisha ya magumu ya wanajiografia wa DSM.

Kuna vijiji vya DSM havina huduma yoyote bora hata ya wafungwa wa magerezani.

Ni hayo tu kuna dsm ya kuishi kimaneno na DSM yenye maisha na uwepo wa watu Duniani.

Wadiz
mbona unataja sehemu ambazo zinakuwa mjini kwa kasi kuliko huko mnakoona mjini kwenyewe?. huko pembezoni ndio ambako nyumba za kisasa zinajengwa, route mpya za usafiri na mandhari mpya. halafu watu wa huku, mjini tunafuata ajira tu ila kila kitu kipo huku, mfano mtu wa madale, posta anaenda kama anafanya kazi huko ila kila anachokitaka kuanzia nguo, simu, hadi mashine anazipata Goba, tegeta, mbezi mwisho, mlimani city, mbezi beach yani anakotaka yeye.
halafu hata mjini kwenyewe kulikuwa shamba huko zamani watu wakahamia na kuanzisha makazi ndio maana manapaona mjini, hii madale, mbopo, kitunda kushakuwa mjini, miaka michache ijayo tutasahau kama kuliwahinkuwa shamba
 
Back
Top Bottom