2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Ukifuatilia taarifa nyingi watu wengi wenye umri mkubwa naskia tu Moshi, wengi wao hujulikana baada ya kufa.
Ajuza afariki Moshi akiwa na miaka 106 | Mwananchi
Je mikoa mingine hautangazwi au hakuna wenye umri huo? Baada ya kufa wanafanyiwa sherehe.
Milardayo, BBC Swahili na gazeti la mwananchi ndio hutangaza sana
Ajuza afariki Moshi akiwa na miaka 106 | Mwananchi
Je mikoa mingine hautangazwi au hakuna wenye umri huo? Baada ya kufa wanafanyiwa sherehe.
Milardayo, BBC Swahili na gazeti la mwananchi ndio hutangaza sana