Watu wenye umri mkubwa wanataokea Moshi, mikoa mingine hawatangazwi au hakuna?

Vile vitu ambavyo dini zenu zinawadanganya kuwa ni vibaya ndio wanavyotumia na kuishi miaka mingi yenye mafanikio makubwa

1. Unjwaji wa pombe

2. Unywaji wa damu za wanyama

3. Ulaji wa nyama bora zaidi kuliko zote duniani nyama ya NGURUWE

4.Kufanya kazi masaa yote ni zaidi ya mazoezi ya wale wa DAR wanaokimbia na headphone au kwenye mashine gym badala ya kutumia nguvu hizo kwenye uzalishaji

5.SALA huo ndio msingi mkubwa sana
Sala hiyo utaitoa kwa Mungu yupi, kupitia dini ipi? Kwa sababu umesema kuwa dini za Ukristo na Uislamu ni za uongo, tuambie mkuu, huenda kuna Mungu mwingine mbali na tumuombaye na tuliyemzoea, ambaye wewe unamfahamu na anastahili kufanyiwa sala. Tuambie tafadhali!

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Hakika wazee wetu wamebarikiwa sana na si katika hili la umri tu hata siha njema bibi mzaa baba ana miaka 98 na hapo ni kwa mujibu wa cheti chake cha ubatizo 98.
 
Wanakufa kwa sababu ya ulaji wa kitimoto na mapombe..watu wa huko wanasifa hiyo kubwa hivyo magojwa kama kisukari..hypertension ni kawiada kwao..hivyo korona ikiingia ni dakk zero wamekwenda na maji.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaa!!! Mwalimu wako ulimmiza sana!!! Kama hiyo article rahisi hivyo hujaelewa sipati picha mwalimu wako wa physical geo alitesekaje!!!
 
Japan wanakula Sana samaki, dried food, kazi sana, seafoods Zina content nzuri ya kuongeza life
Yan kuna jamaaa moja alikuwa anasoma japn nilishangaa akija tz alikuwa anazoa dagaa nyama hata debe akasema kule ni mali sana nilishangaa
 
Yan kuna jamaaa moja alikuwa anasoma japn nilishangaa akija tz alikuwa anazoa dagaa nyama hata debe akasema kule ni mali sana nilishangaa
Dagaa Japan ni Kama chakula Cha heshima sana, hasa kwenye festival zao.
 
Vile vitu ambavyo dini zenu zinawadanganya kuwa ni vibaya ndio wanavyotumia na kuishi miaka mingi yenye mafanikio makubwa

1. Unjwaji wa pombe

2. Unywaji wa damu za wanyama

3. Ulaji wa nyama bora zaidi kuliko zote duniani nyama ya NGURUWE

4.Kufanya kazi masaa yote ni zaidi ya mazoezi ya wale wa DAR wanaokimbia na headphone au kwenye mashine gym badala ya kutumia nguvu hizo kwenye uzalishaji

5.SALA huo ndio msingi mkubwa sana


Asee chukua pande mbili na bia nne kwa mallya ntalipia.
 
Sala hiyo utaitoa kwa Mungu yupi, kupitia dini ipi? Kwa sababu umesema kuwa dini za Ukristo na Uislamu ni za uongo, tuambie mkuu, huenda kuna Mungu mwingine mbali na tumuombaye na tuliyemzoea, ambaye wewe unamfahamu na anastahili kufanyiwa sala. Tuambie tafadhali!

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Mkuu wewe ulikaririshwa kuwa dini ni uislamu na ukristo tu eti?
 
Yan kuna jamaaa moja alikuwa anasoma japn nilishangaa akija tz alikuwa anazoa dagaa nyama hata debe akasema kule ni mali sana nilishangaa

Screenshot_20210803-141714.png
 
Back
Top Bottom