jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,092
- 35,888
Usitake wote tuwe na mawazo sawa.Umeandika nini sasa?
Uzwazwa + ukhanithi=andiko lako
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitake wote tuwe na mawazo sawa.Umeandika nini sasa?
Uzwazwa + ukhanithi=andiko lako
Sala hiyo utaitoa kwa Mungu yupi, kupitia dini ipi? Kwa sababu umesema kuwa dini za Ukristo na Uislamu ni za uongo, tuambie mkuu, huenda kuna Mungu mwingine mbali na tumuombaye na tuliyemzoea, ambaye wewe unamfahamu na anastahili kufanyiwa sala. Tuambie tafadhali!Vile vitu ambavyo dini zenu zinawadanganya kuwa ni vibaya ndio wanavyotumia na kuishi miaka mingi yenye mafanikio makubwa
1. Unjwaji wa pombe
2. Unywaji wa damu za wanyama
3. Ulaji wa nyama bora zaidi kuliko zote duniani nyama ya NGURUWE
4.Kufanya kazi masaa yote ni zaidi ya mazoezi ya wale wa DAR wanaokimbia na headphone au kwenye mashine gym badala ya kutumia nguvu hizo kwenye uzalishaji
5.SALA huo ndio msingi mkubwa sana
Serious. Hii ni week ya 3 nina covid 19 na majibu ninayo. Sahivi angalau ninapumua, week 2 zilizopita sikuwa napumua vizuriAcha masikhara mkuu?
Hivi mada umeielewa kweli mkuu?Wanakufa kwa sababu ya ulaji wa kitimoto na mapombe..watu wa huko wanasifa hiyo kubwa hivyo magojwa kama kisukari..hypertension ni kawiada kwao..hivyo korona ikiingia ni dakk zero wamekwenda na maji.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaa!!! Mwalimu wako ulimmiza sana!!! Kama hiyo article rahisi hivyo hujaelewa sipati picha mwalimu wako wa physical geo alitesekaje!!!Wanakufa kwa sababu ya ulaji wa kitimoto na mapombe..watu wa huko wanasifa hiyo kubwa hivyo magojwa kama kisukari..hypertension ni kawiada kwao..hivyo korona ikiingia ni dakk zero wamekwenda na maji.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaaa sana kumbe nawe umeonaSomeni hoja ya mtoa mada ndipo mchangie
Halafu watu kama wao ni phd holdersKhaaaaaa umeelewa mada Kweli
Yan kuna jamaaa moja alikuwa anasoma japn nilishangaa akija tz alikuwa anazoa dagaa nyama hata debe akasema kule ni mali sana nilishangaaJapan wanakula Sana samaki, dried food, kazi sana, seafoods Zina content nzuri ya kuongeza life
Si ungekufwa tu!Serious. Hii ni week ya 3 nina covid 19 na majibu ninayo. Sahivi angalau ninapumua, week 2 zilizopita sikuwa napumua vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Dagaa Japan ni Kama chakula Cha heshima sana, hasa kwenye festival zao.Yan kuna jamaaa moja alikuwa anasoma japn nilishangaa akija tz alikuwa anazoa dagaa nyama hata debe akasema kule ni mali sana nilishangaa
Nyama ni bei ghari sana, nyingi Wana import toka USA, AustraliaYan kuna jamaaa moja alikuwa anasoma japn nilishangaa akija tz alikuwa anazoa dagaa nyama hata debe akasema kule ni mali sana nilishangaa
Vile vitu ambavyo dini zenu zinawadanganya kuwa ni vibaya ndio wanavyotumia na kuishi miaka mingi yenye mafanikio makubwa
1. Unjwaji wa pombe
2. Unywaji wa damu za wanyama
3. Ulaji wa nyama bora zaidi kuliko zote duniani nyama ya NGURUWE
4.Kufanya kazi masaa yote ni zaidi ya mazoezi ya wale wa DAR wanaokimbia na headphone au kwenye mashine gym badala ya kutumia nguvu hizo kwenye uzalishaji
5.SALA huo ndio msingi mkubwa sana
Mkuu wewe ulikaririshwa kuwa dini ni uislamu na ukristo tu eti?Sala hiyo utaitoa kwa Mungu yupi, kupitia dini ipi? Kwa sababu umesema kuwa dini za Ukristo na Uislamu ni za uongo, tuambie mkuu, huenda kuna Mungu mwingine mbali na tumuombaye na tuliyemzoea, ambaye wewe unamfahamu na anastahili kufanyiwa sala. Tuambie tafadhali!
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Yan kuna jamaaa moja alikuwa anasoma japn nilishangaa akija tz alikuwa anazoa dagaa nyama hata debe akasema kule ni mali sana nilishangaa
Halafu ukute huyu naye ni DED mteule!Khaaaaaa umeelewa mada Kweli
HahahahahahahahaHalafu ukute huyu naye ni DED mteule!
Babu yangu mzaa baba mwakani anatimiza miaka 100Hakika wazee wetu wamebarikiwa sana na si katika hili la umri tu hata siha njema bibi mzaa baba ana miaka 98 na hapo ni kwa mujibu wa cheti chake cha ubatizo 98.
Nadhani hujamuelewa mleta madaWanakufa kwa sababu ya ulaji wa kitimoto na mapombe..watu wa huko wanasifa hiyo kubwa hivyo magojwa kama kisukari..hypertension ni kawiada kwao..hivyo korona ikiingia ni dakk zero wamekwenda na maji.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app