National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
hakika S 22 Ultra ni msumali wa moto sanaSamsung 22 ultra ndio uchawi wote.
hakika S 22 Ultra ni msumali wa moto sanaSamsung 22 ultra ndio uchawi wote.
Last year Dec, I bought Iphone 14 Pro Max, Space Black 512 GB, 6 RAM hii simu iacheni jamani..Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari
BAADA YA KUJUA SASA
Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli.
RAHA ZILIZOPO IPHONE
Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android
Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo
Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline
Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)
Vingine tuongezee
Kumiliki iPhone Ni Kama kua na mke mwenye matackle makubwa. Kila MTU atakua anakuonea wivu.




shekhe hii umepiga ndoige kabisaHardware and image processing pixel is far better than any iphone
Hamna iPhone au Sumsung original inauzwa Tanzania hizo zote either iuzwe na wakala au maduka yaa simu zote ni copy au refurbished.
IPhone 13 pro max original kuipata sio chini ya 4M.
OS ya Google Pixel Ina shida ganiOh yeah but processing and os bado wako nyuma




OS ya Google Pixel Ina shida gani
Mbona mitandaoni naona inasemekana software ya Google Pixel ndio software bora zaidi kwa Android kwa sababu iko well optimized kuliko software yoyote ile ya Android, Ina mambo machache basic tu ipo simple and clear. Again ni free from bloatware
Wako nyuma kivipi![]()
Nimeishia kusoma hapa.Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo
Ushamba mzigoBaada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari
BAADA YA KUJUA SASA
Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli.
RAHA ZILIZOPO IPHONE
Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android
Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo
Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline
Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)
Vingine tuongezee
Hii feature ndio imenifanya nimekwamia kwenye Xiaomi for two years tena ni built in feature.-iphone haiwezi kurekodi simu unazopiga / kupokea
Acha kuamini kila unachoambiwa.Hujui tecno Camon 21 wewe, mbona hujaweka hata kaphoto, halafu iphone kila app inataka hela mara yutub, palysto
Ninamaanisha nimeona website nyingi huko mitandaoni zikisifia software ya Google PixelSorry did you say mtandaon google based android ndio bora zaid? Based on who? And what?
Ninamaanisha nimeona website nyingi huko mitandaoni zikisifia software ya Google Pixel
Pia sikusema software ya Google Pixel imeifikia iOS, nimeongelea Pure Android ya Google Pixel against other Android softwaresWebsite nyingi zinakwenda kwa stats. Even samsung, even sonny , redmi, na brand nyingine kubwa. How many points againts apple ios?