Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,247
- 123,619
Android zinabei ila hazishobokewi na watu kwasababu hazipo kwenye soko la flexingHaya ni mawazo Mgando hata android zina Bei boss google pixel 7 pro ipo around 2.4m ambayo ni Bei ya iPhone 13 Pro Max na ukikaa vibaya baadhi ya sehemu ipo Zaidi ya 3m
Kwenye kununua simu au chochote cha gharama Achana na kuwaona wenzio wafujaji ni furaha yake
Japo nami binafsi nanunua kitu kwa malengo kufuata mkumbo ujinga
Leo ukishika hata pixel 7 pro mtani hakuna mtu atayejua kuwa umeshika simu yenye thamani, ila ukishika tu hata iPhone 8 watu watajua upo katika daraja gani
pia sina nia mbaya. Twende kazi.
. Mkuu kwanza nicheke maana haya mambo nadhani yalikua debates za mwaka 2017-2019 baada ya hapo tulimove on na kutafta sababu zingine. 
