Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Ila hakuna kitu kizuri kama kununua kitu kwa kizingatia unahitaji nini hasa kutoka kwenye bidhaa husika.

unaweza nunua kitu cha mamilioni kumbe kwa matumizi yako kifaa cha laki tano tu kingetosha sana.
Wengi saizi wananua kwa ajili ya prestige

Na ndio maana hata makampuni mengine yanaamua kutengeneza simu nyingi feki ili at least watu waishi kwenye ndoto zao

Unakuta mtu kapiga picha akiwa amesimama kwenye kioo ili ile logo na yale macho matatu yaonekane naye avimbe kuwa ni mtu fulani hivi ambaye sio mnyonge.

Thats why unakuta wengi zinawashinda matumizi kama mdau mmoja hapo juu alivyosema
 
Hamna iPhone au Sumsung original inauzwa Tanzania hizo zote either iuzwe na wakala au maduka yaa simu zote ni copy au refurbished.
IPhone 13 pro max original kuipata sio chini ya 4M.
 
Wengi saizi wananua kwa ajili ya prestige

Na ndio maana hata makampuni mengine yanaamua kutengeneza simu nyingi feki ili at least watu waishi kwenye ndoto zao

Unakuta mtu kapiga picha akiwa amesimama kwenye kioo ili ile logo na yale macho matatu yaonekane naye avimbe kuwa ni mtu fulani hivi ambaye sio mnyonge.

Thats why unakuta wengi zinawashinda matumizi kama mdau mmoja hapo juu alivyosema
Kutafuta sifa ili hali watu wanawahi kusahau.
 
Wengi saizi wananua kwa ajili ya prestige

Na ndio maana hata makampuni mengine yanaamua kutengeneza simu nyingi feki ili at least watu waishi kwenye ndoto zao

Unakuta mtu kapiga picha akiwa amesimama kwenye kioo ili ile logo na yale macho matatu yaonekane naye avimbe kuwa ni mtu fulani hivi ambaye sio mnyonge.

Thats why unakuta wengi zinawashinda matumizi kama mdau mmoja hapo juu alivyosema
Umasikini tu watu unawasumbua!
Halafu kipato hakijifichi unajua!
Unamkuta mtu anatumia simu na ukimwangalia na yeye wala hawaendani kabisa!

Umasikini watu unawasumbua!
 
Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari

BAADA YA KUJUA SASA

Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli


RAHA ZILIZOPO IPHONE

Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android

Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo

Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline

Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)





Vingine tuongezee
Google pixel inakuwasha eeh
 
Na nsio maana nchi nyingine watu wanauza figo ili wanunue iPhone

Huwakuti wanauza figo ili wajenge

Yani ni watu fulani hivi wanaopenda sana maisha ya kujionesha (japo wapo walio smart ila wengi wao)
Ashakum si matusi!

Mi huwa nawaona ni masikini tu!

Ukiwa na pesa hata kipato cha kati huwezi kuhangaika na mambo kama hayo! Kwa sababu unajua muda wowote ukiihitaji utaipata. Sasa nihangaike na kitu ambacho najua muda wowote nikihitaji nakipata?!

Kichwani mwangu hakipo nawaza mambo mengine!
 
-iphone haina apps za kutumia internet bure, kwa android kuna apps kama ha tunnel watu wanatumia internet bure bila vifurushi.
Natumia Napsternet Tv kwenye iOS file la airtel jipange kwenye hizi medani bado kinda
 
Ashakum si matusi!

Mi huwa nawaona ni masikini tu!

Ukiwa na pesa hata kipato cha kati huwezi kuhangaika na mambo kama hayo! Kwa sababu unajua muda wowote ukiihitaji utaipata. Sasa nihangaike na kitu ambacho najua muda wowote nikihitaji nakipata?!

Kichwani mwangu hakipo nawaza mambo mengine!
Sasa wenye ubongo kama huo ni wachache mzee

Wengi wanapenda flexing kuyaishi maisha ambayo ma role mode wao wanayaishi.

Mtu anahangaika kujidunduliza ananunua dundo kali la bei juu kwasababu alimuona nalo Chis Brown kalivaa.

Hivyo hivyo kwa simu, na ndio maana hata wale wanao promote maswala ya kisho*** huwatumia ma celebrity kufanikisha malengo yao.
 
Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari

BAADA YA KUJUA SASA

Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli


RAHA ZILIZOPO IPHONE

Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android

Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo

Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline

Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)





Vingine tuongezee
Baba mwenyewe nyumba umempa Kodi yake lkn?
 
Sasa wenye ubongo kama huo ni wachache mzee

Wengi wanapenda flexing kuyaishi maisha ambayo ma role mode wao wanayaishi.

Mtu anahangaika kujidunduliza ananunua dundo kali la bei juu kwasababu alimuona nalo Chis Brown kalivaa.

Hivyo hivyo kwa simu, na ndio maana hata wale wanao promote maswala ya kisho*** huwatumia ma celebrity kufanikisha malengo yao.
Mara ya kwanza nafika kazini nilikuwa natumia usafiri wa bajaji. Vijana wenzangu wanapapatika na gari! Na mademu wa kazini nao nunua gari! Wanahadaika na gari!

Nikawa nawauliza kipi ni special kwenye gari? Wote washikaji na mademu wananiona ni wa maajabu!

Sina nia mbaya na wala situkani mtu ila nikaja kugundua mazingira tuliyokulia yanatofautiana: Mi tangu shule ya msingi shuleni napelekwa na gari ya nyumbani, seko napelekwa na gari ya nyumbani. Muda mwengine nilikuwa nakasirika najiona sipati muda kama wenzangu wanatoka pamoja wanafurahi wanaelekea kituoni. Mi nikitoka nje dereva wa nyumbani yupo nje ananisubiri.

Mpaka nafika Chuo naendeshwa kwenye gari. Nafika kazini naona mtu analitolea macho gari na mademu wanapapatika! Nikawa nawashangaa! Nawauliza kwenye gari kipi ni special?

Mi zipo gari zinanitoa kamasi kwamba kweli hii ni gari! Lakini hizi ambazo nyingi zipo barabarani naona za kawaida. Nikajagundua maisha tuliyokulia ni tofauti na mi gari siitolei macho kwa sababu nimekua nayo, najua nikijichanga tu kwa pesa yangu binafsi ndani ya miezi kadhaa nanunua!

Kesi kama hii ndo za kwenye simu pia!
Yaani mimi simu imeanguka popote sina haraka ya kuiokota wala nini! Iangukie popote sina tatizo wala nini na hainiumizi kichwa!

Na sikuwa najua kama simu zinatoa warranty kwa sababu simu mi nilikuwa naagiza niletewe natoa hela tu. Warranty sitaki kuisikia kwa sababu hela ya kununua hicho kitu ninacho! Ikiharibika nakwenda kununua nyengine. Nimekuja kugundua mwaka huu baada ya kwenda kununua mwenyewe na nilishangaa na siitilii maanani!
 
Mara ya kwanza nafika kazini nilikuwa natumia usafiri wa bajaji. Vijana wenzangu wanapapatika na gari! Na mademu wa kazini nao nunua gari! Wanahadaika na gari!

Nikawa nawauliza kipi ni special kwenye gari? Wote washikaji na mademu wananiona ni wa maajabu!

Sina nia mbaya na wala situkani mtu ila nikaja kugundua mazingira tuliyokulia yanatofautiana: Mi tangu shule ya msingi shuleni napelekwa na gari ya nyumbani, seko napelekwa na gari ya nyumbani. Muda mwengine nilikuwa nakasirika najiona sipati muda kama wenzangu wanatoka pamoja wanafurahi wanaelekea kituoni. Mi nikitoka nje dereva wa nyumbani yupo nje ananisubiri.

Mpaka nafika Chuo naendeshwa kwenye gari. Nafika kazini naona mtu analitolea macho gari na mademu wanapapatika! Nikawa nawashangaa! Nawauliza kwenye gari kipi ni special?

Mi zipo gari zinanitoa kamasi kwamba kweli hii ni gari! Lakini hizi ambazo nyingi zipo barabarani naona za kawaida. Nikajagundua maisha tuliyokulia ni tofauti na mi gari siitolei macho kwa sababu najua nikijichanga tu kwa pesa yangu binafsi ndani ya miezi kadhaa nanunua!

Kesi kama hii ndo za kwenye simu pia!
Yaani mimi simu imeanguka popote sina haraka ya kuiokota wala nini! Iangukie popote sina tatizo wala nini na hainiumizi kichwa!

Na sikuwa najua kama simu zinatoa warranty kwa sababu simu mi nilikuwa naagiza niletewe natoa hela tu. Warranty sitaki kuisikia kwa sababu hela ya kununua hicho kitu ninacho! Ikiharibika nakwenda kununua nyengine. Nimekuja kugundua mwaka huu baada ya kwenda kununua mwenyewe na nilishangaa na siitilii maanani!
Kwenye ishu ya gari hapo kuna mwanangu iliwahi mtokea

Alikuwa mwajiriwa na mshahara wake ulikuwa wakawaida tu ila kila tukiwa tunapiga stori ye anaongelea kuhusu magari tu

Mara kazini mi peke yangu ndio sina gari, hivi najilundika nami nichukue hata IST

Nikamuambia kwa hiyo unanunua gari kuwaridhisha watu? Akasems suo hivyo tu gari ni muhimu sana kwangu, daladala ni kero.

Niksmshauri hiyo pesa afungue biashara asiitegemee sana ajira yake.

Kwani alinielewa?

Akaja akanunua gari mtaani maoni kibao

Siku zikapita ofisini wakafanya mabadiliko, mchizi kazi hana

Home nafasi hakuna, akisema gari asiendeshe kwasababu ya gharama ya wese bado anahitajika kutoa 3K ya parking kila day

Hicho ndio kitu kilichokuwa kina muuma mwisho wa siku ikamlazimu akalipaki huko nje ya mji kwa ndugu zake ili kujiweka sawa.

Watu wengi wanafanya vitu kwa mkumbo hususani vijana
 
Back
Top Bottom