Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari

BAADA YA KUJUA SASA

Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli


RAHA ZILIZOPO IPHONE

Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android

Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo

Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline

Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)





Vingine tuongezee
Biashara imedoda ya maiphone hapo mlimani city sasa unakuja na matangazo ili upate wateja
 
Unajua kwanini Pixel 7 pro anatakiwa alinganishwe na the next iphone series na sio hii 14 pro max!!? Still zote zimetoka mwaka mmoja!!? Na kwanini 14 analinganishwa na 6 xl!!? Iphone yupo vizuri ila sio complete kama hivyo unavyomsifia Pixel amewachakaza vibaya sana iOS na androids wenzake

Pixel amewazidi kwenye hardware ila sio software. Bado wanasafari ndefu
 
Hamna kitu hio simu ni kwajili ya fashion tu... Uhondo wote upo simu za Android (Samsung, lg, nokia, sony, Google pixel, n.k hata hizi simu za bei rahisi kama Tecno na infinix zimetengenezwa kwa vifaa vya bei rahisi ila bado iphone anapigwa kanzu baadhi ya vitu).

-Cable za iphone zinachaji taratibu, zina kasi ndogo ya kuhamisha mafaili na zina ubora mdogo, hatimae wamekubali kuanza kutengeneza simu zitazotumia usb za android.

-iphone haina tundu la earphones, ni mpaka uwe na earphones za kuchaji chaii kila mara.

-android kuna apps nyingi zaidi kuliko iphone,

-iphone haiwezi kurekodi simu unazopiga

-iphone inayengenezewa vifaa vyake na makampuni ya android

-iphone haina apps za kutumia internet bure, kwa android kuna apps kama ha tunnel watu wanatumia data bure.

Naomba mjadala uishie hapa. Mwamba kamaliza.
 

Attachments

  • Screenshot_20230123-214231_Chrome.jpg
    Screenshot_20230123-214231_Chrome.jpg
    86.4 KB · Views: 19
Unajua kwanini Pixel 7 pro anatakiwa alinganishwe na the next iphone series na sio hii 14 pro max!!? Still zote zimetoka mwaka mmoja!!? Na kwanini 14 analinganishwa na 6 xl!!? Iphone yupo vizuri ila sio complete kama hivyo unavyomsifia Pixel amewachakaza vibaya sana iOS na androids wenzake
Na kwenye hiyo 13 Pro bado hawezi kukaa meza moja na pixel 4XL kwenye swala la Camera
 
Back
Top Bottom