Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Watu wenye iPhone wanafaidi sana

iPhone iliniweza kwenye limitations, aaiiiiiiiiiii
Nilinyoosha mikono juu siwezani nayooo. Hapanaaa siweziiii.
 
Eh kweli wanafaidi aisee . Nimeichezea iphone 13, nikasema aise acha wadada wazishobokee tu .. bonge la simu .
 
Hamna kitu hio simu ni kwajili ya fashion tu... Uhondo wote upo simu za Android (Samsung, lg, nokia, sony, Google pixel, n.k na hata hizi simu za bei rahisi kama Tecno na infinix, japokuwa zimetengenezwa kwa vifaa vya bei rahisi bado nazo zina sifa nyingi muhimu kuzidi iphone).

-Iphone sio simu yenye kamera nzuri kuliko simu zote kama wengi wanavyo danganywa, Android ina simu zinakimbiza hii sekta, Simu kama google pixel zinamgaragaza iphone, hata wachina kama kina xiaomi wana camera bora kuzidi iphone.

-Cable za iphone zinachaji taratibu, zina kasi ndogo ya kuhamisha mafaili na zina ubora mdogo, walishupaza shingo mda mrefu lakini hatimae wamekubali kuanza kutengeneza simu zitazotumia usb cable za android.

-iphone haina tundu la earphones, ni mpaka uwe na earphones za kuchaji chaii kila mara.

-android kuna apps nyingi zaidi kuliko iphone,

-iphone haiwezi kurekodi simu unazopiga / kupokea

-iphone inatengenezewa vifaa vyake kibao na makampuni ya simu za android

-iphone haina apps za kutumia internet bure, kwa android kuna apps kama ha tunnel watu wanatumia internet bure bila vifurushi.

-iphone haina memori kadi, yani simu yako ikiungua au ikifa inaenda na mafaili, android hata simu ikipata hitilafu unabaki na kopi ya mafaili kwenye kadi.

-iphone ni ngumu kuhamisha mafaili kwenda kwa computer, mfano mrahisi simu za android ukitaka kuprint file unachomeka tu cable unahamisha file lakini iphone process kibao inabidi ubebe na flash.

-iphone haina radio, kusikiliza radio ni mpaka uwe na data, sasa sijui utasikilizaje kama huna data, ukienda sehemu haikamati internet ama internet inazimwa kipindi cha uchaguzi

n.k,,,,

pitia >> uzi huu << utaona kwamba iphone ni kopo tu la gharama lisilo na utofauti na vile vimbwa vidogo vya mapambo haviwezi hata kumtisha paka ila vinauzwa milioni 3, hapo kuna mbwa anauzwa laki 8 kaoitia mafunzo, ana mwili mkubwa vipaka havisogei, anaweza kubweka ukadata, ana mbio, haumwi magonjwa hovyo hovyo, mwizi akiruka ukuta kayakanyaga, anakuchangamkia akikuona, n.k.
Unatumia simu gani?
Mimi natumia Samsung, haina memory card
Haina redio
Haina 3.5 jack
Haina call record
Na chaji mara mbili kwa siku
Chaja ni 25W
 
Jee za kibongo sio zile zimeshatumika halafu inatafutiwa box jengine unaambiwa ni mpya??
Na kupigwa bei ya mpya.

Naihitjai hii lakn naogopa kupigwa muwa.
Second hand utaijua tu boss fika pale China plaza brand new utaipata
 
Wenye iPhone zenu nawajulisha tu hizi simu ni za Android pia
Samsung Galaxy S22 Ultra
Xiaomi 13 Pro
Xiaomi 12S Ultra
Google Pixel 7 Pro
Vivo X90 Pro Plus
Vivo X90 Pro
Oppo Find X5 Pro
Motorola Edge 30 Ultra
One plus 11
Xiaomi Mix Fold 2
Xiaomi Mi Mix Alpha
Oppo Find N2 Flip
Samsung Galaxy Z Fold 4
Sony Xperia 1 IV
Xiaomi 12T Pro
Nothing Phone
Xiaomi Black Shark 5 Pro
Motorola X30 Pro
Motorola X40
Kwa hiyo wakati mnasema iPhone ni nzuri mjue tu kuwa Android nao hawajalala. Sasahivi hata Wachina wanatoa simu ambazo ni competitive sana sawa tu na hizo iPhone au hata zaidi. February 1 Mkorea anatuletea Samsung Galaxy S23 Ultra. Nilikuwa nawajulisha tu
 
Wenye iPhone zenu nawajulisha tu hizi simu ni za Android pia
Samsung Galaxy S22 Ultra
Xiaomi 13 Pro
Xiaomi 12S Ultra
Google Pixel 7 Pro
Vivo X90 Pro Plus
Vivo X90 Pro
Oppo Find X5 Pro
Motorola Edge 30 Ultra
One plus 11
Xiaomi Mix Fold 2
Xiaomi Mi Mix Alpha
Oppo Find N2 Flip
Samsung Galaxy Z Fold 4
Sony Xperia 1 IV
Xiaomi 12T Pro
Nothing Phone
Xiaomi Black Shark 5 Pro
Motorola X30 Pro
Motorola X40
Kwa hiyo wakati mnasema iPhone ni nzuri mjue tu kuwa Android nao hawajalala. Sasahivi hata Wachina wanatoa simu ambazo ni competitive sana sawa tu na hizo iPhone au hata zaidi. February 1 Mkorea anatuletea Samsung Galaxy S23 Ultra. Nilikuwa nawajulisha tu
Sijawahi ona mchina alie serious na maisha.

Wote wamekaa feki feki tu.
 
Sijawahi ona mchina alie serious na maisha.

Wote wamekaa feki feki tu.
We jamaa toka nimebishana na ww kuhusu ile Google Pixel dhidi ya Xiaomi naona umeshaichukia Xiaomi na simu zite za China
Ukiachilia mbali ule ubishi tuje tu kiuhalisia kama unafuatilia simu kwa sasa utagundua Mchina ana simu kali na mbovu pia. Flagship zao nazo ni competitive kwa kweli na zinaoffer good value mfano baadhi ya flagship nilizozitaja hapo juu ni za China na ni nzuri tu zinaweza kudhindanishwa na iPhone za juu. Sasahivi Mchina anatoa 50MP camera lakini hiyo 50 kweli anaitendea haki mfano Xiaomi 13 Pro. Ukiachana na hiyo Vivo X90 Pro na Vivo X90 Pro Plus nazo zipo vizuri kwenye camera department. Zifuatilie simu za China utagundua sio zote ni feki, sio vizuri kukariri hivyo.
Hata hiyo Asus unayoikubali ni ya Mchina pia. Iangalie tena One Plus 11 kwa umakini nayo.
Hata kama unachukia brand za China usiwe mchoyo wa kutoa pongezi pale wanapofanya vizuri. Maneno yaliyokukera ni ya mashabiki wa hizo simu na sio maneno ya hayo makampuni ya simu.
Sasahivi Xiaomi anashindana na kina Samsung, iPhone na Google Pixel mpaka anaitwa Chinese Apple, can you imagine?
 
We jamaa toka nimebishana na ww kuhusu ile Google Pixel dhidi ya Xiaomi naona umeshaichukia Xiaomi na simu zite za China
Ukiachilia mbali ule ubishi tuje tu kiuhalisia kama unafuatilia simu kwa sasa utagundua Mchina ana simu kali na mbovu pia. Flagship zao nazo ni competitive kwa kweli na zinaoffer good value mfano baadhi ya flagship nilizozitaja hapo juu ni za China na ni nzuri tu zinaweza kudhindanishwa na iPhone za juu. Sasahivi Mchina anatoa 50MP camera lakini hiyo 50 kweli anaitendea haki mfano Xiaomi 13 Pro. Ukiachana na hiyo Vivo X90 Pro na Vivo X90 Pro Plus nazo zipo vizuri kwenye camera department. Zifuatilie simu za China utagundua sio zote ni feki, sio vizuri kukariri hivyo.
Hata hiyo Asus unayoikubali ni ya Mchina pia. Iangalie tena One Plus 11 kwa umakini nayo.
Hata kama unachukia brand za China usiwe mchoyo wa kutoa pongezi pale wanapofanya vizuri. Maneno yaliyokukera ni ya mashabiki wa hizo simu na sio maneno ya hayo makampuni ya simu.
Sasahivi Xiaomi anashindana na kina Samsung, iPhone na Google Pixel mpaka anaitwa Chinese Apple, can you imagine?
Naunga mkono hoja mkuu.

Nilizichukuliia poa REDMI,,nimekuja kugunduwa ndy simu zinazoongoza kwa mauzo inchi nyingi bara la ASIA.,

Kwasasa Redmi ndy anakimbiza kila upande hizo brand zingine zinabebwa na majina tu..

Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari

BAADA YA KUJUA SASA
Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli.

RAHA ZILIZOPO IPHONE
Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android

Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo

Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline

Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)

Vingine tuongezee
iPhone nimeachana nayo kwasababu ya manyanyaso yao.. hasa walivyopiga pin tu MT4... ila ni simu nzuri..
 
Back
Top Bottom