Kuna simu nyingi kali tu kuliko iphone
Lakini binafsi naziona hazifai kwasababu ya kuizoea ioS
Sijui ndo iyo mnaita “iOS effect”

Labda kwa sababu nmeanza kutumia muda kidogo enzi za 5s.
Kwa tusiopenda mambo mengi ioS ni bora
Kiukweli nmejaribu mara 2 kuhama apple nlianza na google pixel 6a nikajaribu Nothing phone…lakini wapi ilibidi nirudi tu nyumbani..
Ukizoea iOS ni ngumu sana kujinasua!labda mnishauri nijaribu simu gani ambayo itanifanya nihame huku maana nmekuwa teja kwakeli
Hivi HTC ziliishia wapi??