Mhh mbona za free zipo?Hujui tecno Camon 21 wewe, mbona hujaweka hata kaphoto, halafu iphone kila app inataka hela mara yutub, palysto
Sina mpenzi natumia tecnoKwani we Shunie huna iphone?
Masaa matatu?Mwaka mzima na nusu? Ni uliipenda wewe
kitu chenye hakina maajabu uwa hatumalizi nacho miezi mi3.
Unakumbuka ile nilipewa na bro? Lenie haikumaliza masaa matatu mkononi mwangu nikamrudishia
Kusema ukweli nilikuwa sina namna maana simu niyokuwa natumia mwanzo sikuipenda,Mwaka mzima na nusu? Ni uliipenda wewe
kitu chenye hakina maajabu uwa hatumalizi nacho miezi mi3.
Unakumbuka ile nilipewa na bro? Lenie haikumaliza masaa matatu mkononi mwangu nikamrudishia
Ila naiona kwenye Avatar.Sina mpenzi natumia tecno
Mmh haya.Hiyo avatar wala isikuchanganye sio mimi niliona dp ya Depal nikaipenda nikaiiba mkuu
I guess ni 2005?Kuna miaka ya 2015 kulikuwa na ujio wa blackberry, unalipa 150,000 kwa mwezi.
zilionekana ni za watu flani classic.... ziko wapi sasa. kuna watu walitombe.sha wee kuzipa.
Ajabu matumizi yake ni kutuma sms za Tshs 54, kupiga simu Tsh 1 kwa sekunde, sawa sawa na wenye siemens c45.
Weka picha na mimi nitupia na hii android yanguBaada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari
BAADA YA KUJUA SASA
Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli
RAHA ZILIZOPO IPHONE
Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android
Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo
Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline
Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)
Vingine tuongezee
ChacheMhh mbona za free zipo?
2015?? Mbona zilikuwepo kabla.. utasikia tukutane BBMKuna miaka ya 2015 kulikuwa na ujio wa blackberry, unalipa 150,000 kwa mwezi.
zilionekana ni za watu flani classic.... ziko wapi sasa. kuna watu walitombe.sha wee kuzipa.
Ajabu matumizi yake ni kutuma sms za Tshs 54, kupiga simu Tsh 1 kwa sekunde, sawa sawa na wenye siemens c45.
Sema kweli jamaniii nimefurahi kama umepata amani ya moyo uendelee kuwa na amani ya moyo hivyohivyoMmh haya.
Ila kuna jina umeniita comment ya kwanza.
Imenipa Amani ya Moyo kwa kweli.
Asante sana.
Asante sana.Sema kweli jamaniii nimefurahi kama umepata amani ya moyo uendelee kuwa na amani ya moyo hivyohivyo