Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Basi hongera unaejua mkuu

Sio kila kitu kwenye android kipo pia Ios ila naamini hata reels huijui mkuu

Si kila kitu ubishane
Hapa nina Samsung na iPhone pia najua kipi nasema
We umesema huwezi kupromote reels kwenye instagram, Ndio nikasema hujui kutumia simu.

Heheh, sawa mkuu mimi reels sizijui, Ila hii ni moja wapo ya reel kwenye Intagram account yangu.
Screenshot_2023-01-27-22-00-45-948_com.instagram.android.jpg
 
Mwandishi ana tamani kulia lakini kaona aje uku kuwapa moyo IOS wenzake

Huu unyama wa iphone unaweza kulia kweli? Nitakuwa sina akili

Pia tambueni watu wote popular wapo iphone kanunue hata iPhone 6 laki mbili tu
 
Hamna kitu hio simu ni kwajili ya fashion tu... Uhondo wote upo simu za Android tabaka la juu kama Samsung, lg, nokia, sony, Google pixel, xiaomi, n.k. yani hapa iphone anafunikwa, lakini pia kuna simu za android tabaka la kawaida zilizotengenezwa kwa vifaa vya bei rahisi kama vile tecno, infinix na itel hizi huwa zinapitwa kwenye speed na camera sababu ya vifaa vyake lakini vitu vingine iphone bado yupo nyuma.

-Iphone sio simu yenye kamera nzuri kuliko simu zote kama wengi wanavyo danganywa, Kwenye zile simu za android tabaka la juu zipo mashine kama google pixel na xiaomi zinamgaragaza iphone, tatizo la wabongo wanachokosea wanalinganisha camera ya iphone na zile simu za android daraja la kawaida.

-Cable za iphone zinachaji taratibu, zina kasi ndogo ya kuhamisha mafaili na zina ubora mdogo, kampuni ya iphone walishupaza shingo mda mrefu lakini hatimae wamekubali kuanza kutengeneza simu zitazotumia usb cable za android.

-iphone haina tundu la earphones, ni mpaka uwe na earphones za kuchaji zisizo na waya, simu za android unaamua mwenyewe utumie earphones zipi kusikiliza ziwe zenye waya au wireless, unaweza tumia za waya huku unachaji zisizo na waya.

-android kuna apps na games nyingi sana kuliko iphone,

-iphone haiwezi kurekodi simu unazopiga / kupokea

-iphone inatengenezewa vifaa vyake kibao na makampuni ya simu za android.

-iphone haina apps za kutumia internet bure, kwa android kuna apps kama ha tunnel, wire tun, nic vpn na nyingine kibao watu wanazitumia kufaidi internet bure bila kununua vifurushi, kuna kipindi flan hapo mwaka jana watu waliukamua kweli kweli mtandao mwekundu, kushusha gb 20 kwa siku ilikuwa kawaida.

-iphone haina memori kadi, yani simu yako ikiungua au ikifa inaenda na mafaili, android hata simu ikipata hitilafu unabaki na kopi ya mafaili kwenye kadi.

-iphone ni ngumu kuhamisha mafaili kwenda kwa computer, mfano mrahisi simu za android ukitaka kuprint kazi stationery, unachomeka cable, unaifungua simu kwa password, unafungua file la kuprint, yani zoezi la dakika tu, kwa iphone mambo ni mengi inabidi uingize kwanza software kwenye computer ili ufungue mafaili, waweza tumia dakika 10 kumaliza zoezi dogo.

-iphone haina radio, kusikiliza radio ni mpaka uwe na data, ukienda sehemu haikamati internet ama hakuna internet huwezi sikiliza radio.

n.k,,,,

mimi nimeandika kwa uchache tu, kuna pozt ipo humu humu jamiiforums imeelezea mapungufu kibao, kama unataka kuisoma >> minya hapa B]

iphone ni kama vile vimbwa mbwa wadogo kama yule wa wema sepetu wanauzwa milioni 3 ila ni kwajili ya mapambo tu (sijui kama wana kazi nyingine), wale mbwa hata kumtisha paka ni ngumu, ila kuna mbwa waliopitia mafunzo wanauzwa laki 8 wana miili wenye afya, wakibweka hata kama unapita nje mwili unasisimka, wana mbio, hawaumwi magonjwa hovyo hovyo, mwizi akiruka ukuta anashughulikiwa na hata kwenye urafiki ni mbwa anaekuchangamkia.


Sent from my 2107113SG using JamiiForums mobile app
 
Acha kufananisha Pixel na iphone kweny camera,kaangalie blind test ya MKBHD 2022 uone pixel 6A tu ilivyowachakaza wapinzani

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Lakini kuna huyu DXOMark nimeona ameiplace Vivo X90 Pro Plus chini ya Google Pixel 7 Pro kwa kamera wakati YouTube karibia kila video inaonesha Vivo yupo vizuri tena unaweza kuona utofauti hata kwa macho.
DXOMark sitokaa niiamini tena, huyo MKHBD sijajua ameiplace wapi Vivo X90 Pro Plus
 
Hamna kitu hio simu ni kwajili ya fashion tu... Uhondo wote upo simu za Android tabaka la juu kama Samsung, lg, nokia, sony, Google pixel, xiaomi, n.k. yani hapa iphone anafunikwa, lakini pia kuna simu za android tabaka la kawaida zilizotengenezwa kwa vifaa vya bei rahisi kama vile tecno, infinix na itel hizi huwa zinapitwa kwenye speed na camera sababu ya vifaa vyake lakini vitu vingine iphone bado yupo nyuma.

-Iphone sio simu yenye kamera nzuri kuliko simu zote kama wengi wanavyo danganywa, Kwenye zile simu za android tabaka la juu zipo mashine kama google pixel na xiaomi zinamgaragaza iphone, tatizo la wabongo wanachokosea wanalinganisha camera ya iphone na zile simu za android daraja la kawaida.

-Cable za iphone zinachaji taratibu, zina kasi ndogo ya kuhamisha mafaili na zina ubora mdogo, kampuni ya iphone walishupaza shingo mda mrefu lakini hatimae wamekubali kuanza kutengeneza simu zitazotumia usb cable za android.

-iphone haina tundu la earphones, ni mpaka uwe na earphones za kuchaji zisizo na waya, simu za android unaamua mwenyewe utumie earphones zipi kusikiliza ziwe zenye waya au wireless, unaweza tumia za waya huku unachaji zisizo na waya.

-android kuna apps na games nyingi sana kuliko iphone,

-iphone haiwezi kurekodi simu unazopiga / kupokea

-iphone inatengenezewa vifaa vyake kibao na makampuni ya simu za android.

-iphone haina apps za kutumia internet bure, kwa android kuna apps kama ha tunnel, wire tun, nic vpn na nyingine kibao watu wanazitumia kufaidi internet bure bila kununua vifurushi, kuna kipindi flan hapo mwaka jana watu waliukamua kweli kweli mtandao mwekundu, kushusha gb 20 kwa siku ilikuwa kawaida.

-iphone haina memori kadi, yani simu yako ikiungua au ikifa inaenda na mafaili, android hata simu ikipata hitilafu unabaki na kopi ya mafaili kwenye kadi.

-iphone ni ngumu kuhamisha mafaili kwenda kwa computer, mfano mrahisi simu za android ukitaka kuprint kazi stationery, unachomeka cable, unaifungua simu kwa password, unafungua file la kuprint, yani zoezi la dakika tu, kwa iphone mambo ni mengi inabidi uingize kwanza software kwenye computer ili ufungue mafaili, waweza tumia dakika 10 kumaliza zoezi dogo.

-iphone haina radio, kusikiliza radio ni mpaka uwe na data, ukienda sehemu haikamati internet ama hakuna internet huwezi sikiliza radio.

n.k,,,,

mimi nimeandika kwa uchache tu, kuna pozt ipo humu humu jamiiforums imeelezea mapungufu kibao, kama unataka kuisoma >> minya hapa B]

iphone ni kama vile vimbwa mbwa wadogo kama yule wa wema sepetu wanauzwa milioni 3 ila ni kwajili ya mapambo tu (sijui kama wana kazi nyingine), wale mbwa hata kumtisha paka ni ngumu, ila kuna mbwa waliopitia mafunzo wanauzwa laki 8 wana miili wenye afya, wakibweka hata kama unapita nje mwili unasisimka, wana mbio, hawaumwi magonjwa hovyo hovyo, mwizi akiruka ukuta anashughulikiwa na hata kwenye urafiki ni mbwa anaekuchangamkia.
 
Lakini kuna huyu DXOMark nimeona ameiplace Vivo X90 Pro Plus chini ya Google Pixel 7 Pro kwa kamera wakati YouTube karibia kila video inaonesha Vivo yupo vizuri tena unaweza kuona utofauti hata kwa macho.
DXOMark sitokaa niiamini tena, huyo MKHBD sijajua ameiplace wapi Vivo X90 Pro Plus
Mzee pole sana kwa kuchelewa kuwagundua dxomark ni wahuni,wale wanalamba hela kisha wana compromise simu zingine ,mi nilishaacha kuwaamini zaman sana,Scandal yao kubwa ndio hiyo

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
nanoreview.net says more about your mind.
And YouTube videos say more about what?
Sio kila kona ya Nanoreview inaangalia mind za watu, kwenye maeneo kama perfomance, display, camera, etc Nanoreview inacollect data kutoka test mbalimbali. Sehemu kubwa ambayo Nanoreview inahitaji data zako ni bei ya simu au Votes, je wewe ungechagua nini?
Ndio maana kuna comparison nyingi tu watu wengi wamechagua simu A lakini Nanoreview inasema simu B ndio nzuri
Screenshot_20230218-111542.jpg
 
Tumia
  • Samsung Galaxy S22 Ultra
  • Xiaomi 13 Pro
Uone kama utarudi iOS, we hama tu umekaa nayo sana hiyo iPhone yani tangu iPhone 5s utafikiri umefunga nayo ndoa
Hama kwenye iOS effect, ingia kwenye Galaxy effect au Mi effect hata kama hujawahi kusikia hizo terms
Hiyo mashine ni kiboko. Halafu now ipo mpya inakuja sokoni soon. Samsung Galaxy note 23 ultra acha kabisa. Ina specifications za kibabe balaa. Kamera tu iliyolala hapo ni ya 200MP.
 
Back
Top Bottom