Watu wazima kama watoto Mlimani City

Watu wazima kama watoto Mlimani City

wewe unashangaa wa huko Mlimani City wanaokula pipi na Ice cream?? tembea tembea babu..... Huku nilipo watu wazima wanatembea uchi na vichupi kwenye shopping malls na watu hawana habari

eeeh! mola wanusuru hawa waja wako! kwani uko hakuna defender ziwasombe hao wavunja maadili ya mtanzania?
 
Hya! Hya! Hya! Nimecheka kidhungu!! Nseme na miye!! aacha watu waale maisha buana!!
 
Kama mawazo ndo haya hakuna atakayewachagua mwaka huu
 
Kla mtu na personality yake ww fuata maisha yako usiishi kwa kumwangalia mwenzio anafanya nn
 
Kla mtu na personality yake ww fuata maisha yako usiishi kwa kumwangalia mwenzio anafanya nn

poa mkuu lakini ishu nyingine too much bana, unakuta mdada huyooo kabebelea madoli kama toto bana! how come?
 
Hakuna kitu kizuri kama kuishi maisha yako bila kuhangaika na ya wenzio ambayo hayana tija kwako

Hayo maisha tuwaachie wazungu, ukiona mbongo anafanya aliyoyasema mleta mada ni tofauti na unachokisema, mbongo anavaa ili watu wamuone, ananunua gari si kwa ajili ya kumrahisishia mahitaji yake bali ilj watu wamuone na yeye ana mambo safi, akiwa anakula rambaramba/ice cream atafanya hayo ili aonekane ni mtu wa mjini na anakwenda na wakati.

Kwenye kuongea na kuandika kiingereza ndio usiseme, ataongea au kuandika ili tu aonekane amesoma huku akisahau kuwa kiingereza ni lugha tu, hata mateja na watoto ambao hawajaanza chekechea huko uganda wanaongea.

Angalia wenzetu hasa wazungu wanaofanya wabongo wakane tamaduni zao, wanavaa nguo, wanakula na kuishi kwa ajili yao binafsi na sio kusubiri watu wawaone.
 
Avoid stress za kujitakia kwa kupenda kufuatilia mambo ya watu wengine,ukifika nchi za ughaibuni mkuu si utagongwa na magari maana maajabu ni mengi kuliko hili la kuramba corn na peremende!!
 
Ungewakuta wakila machungwa, ndizi, mapeasi na ubuyu ungemaidi pia?
 
Ongeza mihogo, ndizi, mapera, miwa, mapapai, nk kwake jamaa isingekuwa news
 
Wewe mtoa mada ina maana huna kazi?, achana na maisha ya watu wengine. Angalia maisha yako na familia yako.
 
Hapana usitaki kila mtu aish utakavyo --- Bahat mbaya ndio vitu nivipendavyo mnoooo aisee wewe wa wapi ??
 
Hahahaahahhahahhha mtoa MAAda unahasira balaa
 
Mkuu mleta hoja hafuatilii maisha ya mtu,huyu hana alijualo kuhusu maisha,zaidi ya kupumua na kujamaba hana kingine akijuacho!
Ahurumiwe na kusamehewa alichokiona hajalielewa na hatakielewa kamwe!mfano akienda na mtoto wake sehemu tajwa mwanawe akimwomba (malai)ice ream kwa kauli ya "Baba twende tukanunue shkirim"atasema kula wewe m ni mtu mzima?
Na sijuiitakuwaje siku ukimkaribisha home halafu ukamwondoa na desert la ice cream baada ya dinner ya haja!

Mkuu acha tu, kuna watu wana mambo ya kijijini sanaa. Imenikumbusha kipindi flan nimeanza kupiga mzigo town....daily watu wana insist kupafaham kwako, ur ways of life, unakula nn, ur family backgrounds.

Ukipendeza wakikuona weekends some places yan shida sanaaa. Majungu majungu all tha f*ckn time. Ila mbwa ukishamjua jina hasumbui.

Honestly, binafsi kufatilia life la mtu ni kitu siwezagi kabsa. Daah
 
Back
Top Bottom