TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,505
- 28,437
...hawa jamaa hatari sana...waulizeni vibaka wa mbagala na maeno ya segerea ...dar. Wanakiri...vijana wale wa mwisho wa reli si wa kugusa.vijana wa kiha miamoja
...hawa jamaa hatari sana...waulizeni vibaka wa mbagala na maeno ya segerea ...dar. Wanakiri...vijana wale wa mwisho wa reli si wa kugusa.vijana wa kiha miamoja
ndilo neno gani?hichi
Ndo naanza kuamini kweli ni dini ya MAGAIDI hiilabda upite mda hawapo wanyooshaji..au ndani ndani huko wanakokaa wakuja wengi!
Lakini njoo upite ukila ovyo..watakufunda tu!
Tena wanakuwinda pole pole bila kushtuka!
eti na wewe umefunga, matusi kedekede! we utakuwa gaidi, waiting to detonate the bomb kama unaweza kuandika haya! Typical wa dini ile... ya waarabumleta uzi ni km umejipig dol afu unanusa, nazani umenielewa acha ungese..
Hvi kama mtu unaweza kumwambia anywe "jik"(ambayo anajua kabisa kuwa ina madhara) ila anakubali kunywa,haya yote anafanya kwa imani aliyonayo. Hivi mtu huyo ukimwambia achukue bomu akajilipue atakataa kwa hoja ipi?
kila kukicha wakristo wanaingia uislamu kwa wingi hata hapa tanzania uislamu unakuwa sana tena mna bahati nyie makafiri mnasaidiwa na bakwata , lakini hata hivyo wanaotoka ukristo dini ya kufumba macho na tuimbe ni wengi
Mod afute huu uzi wakichocheziHii picha ni ya zamani sana haipungui miaka 3, kila ikiingia ramadhani inaletwa tena. Tukio la picha hii limepitwa na makati. Ni vizuri kutoa habari zilizopo sio zilopitwa na wakati.
we mbwa kabisa..kafiri bibi akokila kukicha wakristo wanaingia uislamu kwa wingi hata hapa tanzania uislamu unakuwa sana tena mna bahati nyie makafiri mnasaidiwa na bakwata , lakini hata hivyo wanaotoka ukristo dini ya kufumba macho na tuimbe ni wengi
Ndio hivyo mkuu sasa cha kushangaza mmoja wapo et anaona dini ya mwanzake ndio ya kipumbavu.Ndio tunajiuliza mkuu kuwa chanzo Cha yote hayo kinatokana na nini..!?
Mtu kupewa jik na kuigwigwida bila maulizo
Mwengine Kuchapa wenzake mboko bila nafsi kusuta
Huu ulevi chanzo chake ni Nini..!?
Na ndio maana lawama zinadondokea mifumo ya imani wanazoaminishwa pamoja na wakufunzi wao
tena za kishubwada kabisaaWazungu kama watalii wanaruhusiwa kula na kunywa, eti kwa vile wanaiingizia Zanzibar fedha za kigeni, imani zingine hizi ni za kijinga sana.
Hakuna dini iliyo bora zaidi ya nyingine. Labda kama dini hiyo inafundisha watu kuabudu lishwetani
Isipokuwa kila dini ina watu wa ovyo ovyo.
Kasome vizuri historiaWakati fulani wakristu walipigana vita ili kueneza dini yao. Rejea vita vya Crusade.
Je kwa matinki hiyo tuseme wakristo ni watu wa vita ?
Inshaalah[emoji16][emoji16][emoji16] sijui ndio inaandikwa hivi...nisije nikapopolewa