Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Wafia vipedo katika ujinga wao

Yaan, kwakweli sijui watu hawa wakoje. Unamlazimishaje mtu afate maisha ya aina yako?
 
Hii dini ina matatizo sana, ni juzi tu hapa wakristo tulikuwa na mfungo ,lakini wao hawakujali waliendelea na yao lakini kwenye mfungo wao wanataka dunia isimame..
Sasa tatizo dini au hao wapemba? mbona huku bara hiyo dini ipo na hakuna hayo mambo? hii tabia ya kuchukua matendo ya watu na kufanya ndio matendo ya dini nayo sio nzuri.
 
Dini za kipumbavu pumbavu kama hizi ifike mahali ZIFUTWE! Dini inaleta UGAIDI, chuki, itikadi kali, na migogoro kila sehemu.
Eliminate these foolish zealots!
Hiyo sio solution mkuu maadamu watu(ambao ndio wafanyaji wa hayo mambo bado wapo) basi hayo lazima yaendelee kuwepo tu,ndiyo maana baadhi ya mambo uliyotaja hapo juu watu huyafanya hadi kwenye vyama vya siasa,huko nako nako kuna chuki,itakadi kali na migogoro ya kila namna.
 
We jecha washauri mabaro baro waache fujo swaumu ni amani
Sasa ndugu hutaki kuambiwa ukweli? Hiyo picha ni ya zamani! Ni hii hapa
Pemba.png


Ni ya miaka 5 iliyopita, inapatikana hapa ! Sasa lengo lako ni lipi hasa kuileta leo na kuudaa umma kana kwamba ni jambo la jana, Kwa hakika wewe na hao watu hamna tofauti kwa sababu wakati wao wanalamisha watu imani na wewe kwa makusudi unaamua kusema uongo! Labda nikadhani hukufahamu, lakini hata ulipohabarishwa ukaamua kuja juu kuonesha umekusudia kusema uongo bila aibu!
 
Katika dini ambayo huwa sielewi duniani ni hii. Imejaza wajinga watupu kwa kujifanya warabu kumbe ni paka shume. Wengine ukiwapata wasome hicho kitabu chao cha KIarabu wanabaki kutoa mimacho tu. Hapo ndugu inabidi kuwa mpole tu sbb watakuua maana hiyo dini ni ya materorist. Hapo wamefunga kula na ukila mbele yao ni kosa. Huku bara walifanya vizuri sana kutoruhusu huo ujinga.
Mkuu wajinga wapo kila dini kunatofautiana ujinga tu,kuna dini zengine watu wamejazwa ujinga wa kunyweshwa hadi "jik" na mtu anakubali hapo hujazungumzia viongozi wa dini kutajirika na michango ya wajinga(waumini wa hiyo dini).
 
Hahaa wazungu walituweza na dini zao kula nile mimi wewe upate tabu makubwa kuna mambo watu wanafanya kudhalilisha dini sidhani mtume Muhammad kama alifanya hivo vitendo mbona kwaresma imepita na amani kila mtu akiwa busy na yake waislamu haya mambo mnatoa wapi hivi ni Mungu mtukufu au mwezi mtukufu kushinda njaa ushinde wewe mimi nile we upate tabu hahaa ni wivu tuu! ukakasi sana you know! ,na hapo wanafurahi na jioni wanafuturu eti wamefunga wazungu jamani njooni mchukue dini zenu mtu achie asili yetu ya zamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Kufunga ni lazima kwa kila muislamu asiyekuwa na udhuru wa kisheria.na ni kweli kwamba dola za kiislamu zilikuwa zinadhibiti jambo hilo kwa kuhakikisha mtu hali hadharani.kama mtu anakula basi asile hadharani...



Ila kwa hawa vijana wa kipemba(hata kama tukio ni la zamani)hawa bado ni wajinga waelimishwe wao kwanza kabla ya kuwaelimisha hao wanaokula mchana waa ramadhani kwa sababu SHERIA YA KIISLAMU haijaachia mambo ya hukmu afanye mtu mmoja mmoja bali wanafanya wenye mamlaka kama polisi n.k



Ni kama leo wamkamate mwizi kisha wamkate mkono mtaani tu,huu utakuwa ni ujinga wao na ni makosa kwa sababu ni kuwatangulia wenye mamlaka katika nchi,hivyo waelimishwe kwanza wao kwamba haifai kutoa hukmu kama hizo mpaka fola ipitishe kwanza.



Huu ni ujinga wao kwa sababu wameshindwa kujua kwamba baba ana miliki familia na kiongozi anamiliki rai wote.

Baba anafaa kumuonya mtoto wake hata kwa bakoraa,lakini baba wewe huna jukumu la kumuonya mzee mwenzio labda kszini ukataka umpige bakora hadharani hilo sio jukumu lako kwa sababu mwenye mamlaka ni kiongpzi wa dola.



Hao vijana ilikuwa wakiwaona watu wawalinganie na kuwaelewesha kwamba jambo la kula hadharani mchana wa ramadhani kwetu sisi ni karaha wakazi wa hapa hivyo ni bora mgetafuta pahala mkafanya yenu.



Kwa sababu asiyekuwa muislamu hana uwajibu wa kufunga kwa mantiki hiyo pia anaruhusiwa kula lakini suala la kula hadharani ndipo pana leta ukakasi.



Waelimisheni vijana waache jazba
 
Wafia vipedo katika ujinga wao
Yaan, kwakweli sijui watu hawa wakoje. Unamlazimishaje mtu afate maisha ya aina yako?
Kufunga ni lazima kwa kila muislamu asiyekuwa na udhuru wa kisheria.na ni kweli kwamba dola za kiislamu zilikuwa zinadhibiti jambo hilo kwa kuhakikisha mtu hali hadharani.kama mtu anakula basi asile hadharani...



Ila kwa hawa vijana wa kipemba(hata kama tukio ni la zamani)hawa bado ni wajinga waelimishwe wao kwanza kabla ya kuwaelimisha hao wanaokula mchana waa ramadhani kwa sababu SHERIA YA KIISLAMU haijaachia mambo ya hukmu afanye mtu mmoja mmoja bali wanafanya wenye mamlaka kama polisi n.k



Ni kama leo wamkamate mwizi kisha wamkate mkono mtaani tu,huu utakuwa ni ujinga wao na ni makosa kwa sababu ni kuwatangulia wenye mamlaka katika nchi,hivyo waelimishwe kwanza wao kwamba haifai kutoa hukmu kama hizo mpaka fola ipitishe kwanza.



Huu ni ujinga wao kwa sababu wameshindwa kujua kwamba baba ana miliki familia na kiongozi anamiliki rai wote.

Baba anafaa kumuonya mtoto wake hata kwa bakoraa,lakini baba wewe huna jukumu la kumuonya mzee mwenzio labda kszini ukataka umpige bakora hadharani hilo sio jukumu lako kwa sababu mwenye mamlaka ni kiongpzi wa dola.



Hao vijana ilikuwa wakiwaona watu wawalinganie na kuwaelewesha kwamba jambo la kula hadharani mchana wa ramadhani kwetu sisi ni karaha wakazi wa hapa hivyo ni bora mgetafuta pahala mkafanya yenu.



Kwa sababu asiyekuwa muislamu hana uwajibu wa kufunga kwa mantiki hiyo pia anaruhusiwa kula lakini suala la kula hadharani ndipo pana leta ukakasi.



Waelimisheni vijana waache jazba
 
Hadi wabeba zege wakilazimishwa kufungwa inabidi ujenzi usimame mpaka mwezi uishe
Kufunga ni lazima kwa kila muislamu asiyekuwa na udhuru wa kisheria.na ni kweli kwamba dola za kiislamu zilikuwa zinadhibiti jambo hilo kwa kuhakikisha mtu hali hadharani.kama mtu anakula basi asile hadharani...



Ila kwa hawa vijana wa kipemba(hata kama tukio ni la zamani)hawa bado ni wajinga waelimishwe wao kwanza kabla ya kuwaelimisha hao wanaokula mchana waa ramadhani kwa sababu SHERIA YA KIISLAMU haijaachia mambo ya hukmu afanye mtu mmoja mmoja bali wanafanya wenye mamlaka kama polisi n.k



Ni kama leo wamkamate mwizi kisha wamkate mkono mtaani tu,huu utakuwa ni ujinga wao na ni makosa kwa sababu ni kuwatangulia wenye mamlaka katika nchi,hivyo waelimishwe kwanza wao kwamba haifai kutoa hukmu kama hizo mpaka fola ipitishe kwanza.



Huu ni ujinga wao kwa sababu wameshindwa kujua kwamba baba ana miliki familia na kiongozi anamiliki rai wote.

Baba anafaa kumuonya mtoto wake hata kwa bakoraa,lakini baba wewe huna jukumu la kumuonya mzee mwenzio labda kszini ukataka umpige bakora hadharani hilo sio jukumu lako kwa sababu mwenye mamlaka ni kiongpzi wa dola.



Hao vijana ilikuwa wakiwaona watu wawalinganie na kuwaelewesha kwamba jambo la kula hadharani mchana wa ramadhani kwetu sisi ni karaha wakazi wa hapa hivyo ni bora mgetafuta pahala mkafanya yenu.



Kwa sababu asiyekuwa muislamu hana uwajibu wa kufunga kwa mantiki hiyo pia anaruhusiwa kula lakini suala la kula hadharani ndipo pana leta ukakasi.



Waelimisheni vijana waache jazba
 
Chuki? No! Hamna chuki hapo nakupa facts tu! Hizo doctrines wanazolishwa wafuasi huko misikitini ni chanzo cha kuzalisha magaidi kila kona ya dunia.
Huu ni mwaka wa saba masheikh wa uamsho wako nyuma ya nondo without trial! You know why? Ukilea magaidi ni mwanzo wa kuleta uharibifu! Maana mnaweza mkawa mnapata "gahawa" unashangaa jitu limeshajilipua katikati ya umati!
Ukiuliza kulikoni, unaambiwa ati mohammed aliahidi atampa bikra saba peponi!
GODDAMN!!!!!!!!!!!!
Mkuu huko kote kwenye ugaidi kuna sababu zao na sijawahi kusikia et mtu kaamua tu kujilipua au kubutua bomu na kuuwa et ili aende kupata mabikira,na kama ingekuwa hivyo basi ugaidi usingeweza kuudhibiti kabisa maana mtu anaouwezo wa kutoka na panga lake na kuanza kuchinja tu watu ili aende peponi na hali hiyo kila palipo na waislamu pasingekalika.
 
Walituletea wao, wao hawatumii sisi zinatutoa roho wao wanazitumia kuchuma na kujipatia matunda lukuki, tuna miaka mingi sana kutoka katika shimo hilo, yeyote ampigae mwenzie kisa kala haradhari ni kuwa amebadilisha ratiba ya kula toka mchana kwenda usiku tu ,
Hizi dini tuzichukulie kwa akili pia
Mkuu hao wapemba na sio dini ndiyo imewataka kufanya hivyo na ndiyo maana sehemu zengine hakuna hayo mambo.
 
Hii picha ni ya zamani sana haipungui miaka 3, kila ikiingia ramadhani inaletwa tena. Tukio la picha hii limepitwa na makati. Ni vizuri kutoa habari zilizopo sio zilopitwa na wakati.
Jecha, mzee wa kupindua meza!
 
View attachment 1094622
Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)
Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula
Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga
Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Kiti Moto taaamu! 😆
 
Hvi kama mtu unaweza kumwambia anywe "jik"(ambayo anajua kabisa kuwa ina madhara) ila anakubali kunywa,haya yote anafanya kwa imani aliyonayo. Hivi mtu huyo ukimwambia achukue bomu akajilipue atakataa kwa hoja ipi?
 
Dini zingine zinaleta upunguani kwenye jamii hao jamaa wapo tayari ata kuuwa mtu
 
Mimi muislamu lkn hakika huo ni ujinga tu na kukosa elimu ya dini. Huna ruhusa ya kumlazimisha mtu kufunga wala huna ruhusa ya kumzuia mtu kula hadharani. Walichokifanya kimetokana na utashi wao binafsi na sio maelekezo ya dini ya kiislamu.
 
Hao jamaa ni machizi " Ndio maana dini yao inaonekana imejaza watu wengi mataahira " wenye uwezo haba wa kufikiri " .... unaanzaje kumlazimisha mtu kufunga " wakati endapo akifanya au asipop fanya hivyo " Swawabu na dhambi ni zake "
 
mleta uzi ni km umejipig dol afu unanusa, nazani umenielewa acha ungese..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom