Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
- Thread starter
- #161
Sasa huoni wananyanyasa wasio wa imani yao?
Kuna mambo mengi huwa tunachanganya.
Wengi wetu ni christian au muslim kwa maneno sio matendo.
Leo hii kuna baadhi ya taasisi za kikristu haziajiri wakristu wasio wa dhehebu lako(tayari kuna ubaguzi hapo )
Leo hii Kuna familia au jamii za kikristu zinapewa mafundisho ya kujitenga na watu imani fulani.
Je kwa mifano hiyo juu ni sahihi kuwanyooshea kidole ndugu zetu muslims ?