Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

1094759
 
Eti nichapwe fimbo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] iyo noma ntaletaa hawatakaa waamini. Yani ntapasua watu na mawe. Haki naapa tutauana hapo.
Katika dini ambayo huwa sielewi duniani ni hii. Imejaza wajinga watupu kwa kujifanya warabu kumbe ni paka shume. Wengine ukiwapata wasome hicho kitabu chao cha KIarabu wanabaki kutoa mimacho tu. Hapo ndugu inabidi kuwa mpole tu sbb watakuua maana hiyo dini ni ya materorist. Hapo wamefunga kula na ukila mbele yao ni kosa. Huku bara walifanya vizuri sana kutoruhusu huo ujinga.
 
Hakuna dini iliyo bora zaidi ya nyingine. Labda kama dini hiyo inafundisha watu kuabudu lishwetani

Isipokuwa kila dini ina watu wa ovyo ovyo.
Mimi sio mfuasi wa dini yoyote, lakini naamini na nafahamu kwamba uisilamu ni dini hatari sana inayozalisha watu wenye mawenge na mihemko ya ajabu ajabu. Ndio maana magaidi wote wamejaa humo.

Wao wana sharia law. Upanga kwa upanga, ukatili, fujo, ghasia. Ndio mfumo wa "sharia" huo!

That's dangerous!
 
Mimi sio mfuasi wa dini yoyote, lakini naamini na nafahamu kwamba uisilamu ni dini hatari sana inayozalisha watu wenye mawenge na mihemko ya ajabu ajabu. Ndio maana magaidi wote wamejaa humo.

Wao wana sharia law. Upanga kwa upanga, ukatili, fujo, ghasia. Ndio mfumo wa "sharia" huo!

That's dangerous!
Wakati fulani wakristu walipigana vita ili kueneza dini yao. Rejea vita vya Crusade.
Je kwa matinki hiyo tuseme wakristo ni watu wa vita ?
 
Hakuna dini iliyo bora zaidi ya nyingine. Labda kama dini hiyo inafundisha watu kuabudu lishwetani

Isipokuwa kila dini ina watu wa ovyo ovyo.
Uislam na muislam ni vitu tofauti


Ukristo na mkristo ni vitu tofauti

Ubudhaa ba mbudhaa ni vitu tofauti

Nakubaliana na wewe mkuu
 
Mimi sio mfuasi wa dini yoyote, lakini naamini na nafahamu kwamba uisilamu ni dini hatari sana inayozalisha watu wenye mawenge na mihemko ya ajabu ajabu. Ndio maana magaidi wote wamejaa humo.

Wao wana sharia law. Upanga kwa upanga, ukatili, fujo, ghasia. Ndio mfumo wa "sharia" huo!

That's dangerous!
Kasoma tena mzee. Kafuatilie crusade war
 
Dah wee jamaa ni mbaguzi na mfia dini
Katika dini ambayo huwa sielewi duniani ni hii. Imejaza wajinga watupu kwa kujifanya warabu kumbe ni paka shume. Wengine ukiwapata wasome hicho kitabu chao cha KIarabu wanabaki kutoa mimacho tu. Hapo ndugu inabidi kuwa mpole tu sbb watakuua maana hiyo dini ni ya materorist. Hapo wamefunga kula na ukila mbele yao ni kosa. Huku bara walifanya vizuri sana kutoruhusu huo ujinga.
 
Wakati fulani wakristu walipigana vita ili kueneza dini yao. Rejea vita vya Crusade.
Je kwa matinki hiyo tuseme wakristo ni watu wa vita ?
Ni kweli, crusade ilikuwa ni uhalifu. (genocide). Lakini hayo sio mafundisho endelevu ya kikristo , wala hakuna indoctrination ya aina hiyo! It was a mistake.

Lakini dini inapogeuka kuwa genge endelevu la ku-indoctrinate ghasia mioyoni mwa wafuasi wake, hapo ipo shida!
 
Ni kweli, crusade ilikuwa ni uhalifu. (genocide). Lakini hayo sio mafundisho endelevu ya kikristo , wala hakuna indoctrination ya aina hiyo! It was a mistake.

Lakini dini inapogeuka kuwa genge endelevu la ku indoctrinate ghasia mioyoni mwa wafuasi wake, hapo ipo shida!
Kwa hiyo ni chuki zako ndio zinakwambia uislam una mafundisho ya indoctrination??
 
Ni kweli, crusade ilikuwa ni uhalifu. (genocide). Lakini hayo sio mafundisho endelevu ya kikristo , wala hakuna indoctrination ya aina hiyo! It was a mistake.

Lakini dini inapogeuka kuwa genge endelevu la ku-indoctrinate ghasia mioyoni mwa wafuasi wake, hapo ipo shida!
Hivi mfano watu wanaouwana kwa kutumia kisu.
Kisu na hao watu nani alaumiwe mkuu?
 
Ni kweli, crusade ilikuwa ni uhalifu. (genocide). Lakini hayo sio mafundisho endelevu ya kikristo , wala hakuna indoctrination ya aina hiyo! It was a mistake.

Lakini dini inapogeuka kuwa genge endelevu la ku-indoctrinate ghasia mioyoni mwa wafuasi wake, hapo ipo shida!
Kuna mambo mengi huwa tunachanganya.

Wengi wetu ni christian au muslim kwa maneno sio matendo.

Leo hii kuna baadhi ya taasisi za kikristu haziajiri wakristu wasio wa dhehebu lako(tayari kuna ubaguzi hapo )

Leo hii Kuna familia au jamii za kikristu zinapewa mafundisho ya kujitenga na watu imani fulani.

Je kwa mifano hiyo juu ni sahihi kuwanyooshea kidole ndugu zetu muslims ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom