Kaitaba ambaye yupo hai pamoja na Mugasha na naweza wafuata kwenye kigabilo cha pale nyumbani.Hivi Dini yako ni ya mungu wako Marehemu wanyonyi ?
Kaitaba ambaye yupo hai pamoja na Mugasha na naweza wafuata kwenye kigabilo cha pale nyumbani.Hivi Dini yako ni ya mungu wako Marehemu wanyonyi ?
Kila mahala kuna mila na tamaduni zake. Hivyo basi tunapozungumzia mambo tusikurupuke.View attachment 1094622
Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)
Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula
Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga
Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Kaitaba ambaye yupo hai pamoja na Mugasha na naweza wafuata kwenye kigabilo cha pale nyumbani.
Chato ni usukumani mimi siyo msukuma na sitamani kuwa kabila la akina bashite.Wako Chato hao waungu wako ??
Anyway ni roho ya kishetani
Chato ni usukumani mimi siyo msukuma na sitamani kuwa kabila la akina bashite.
mkuu sisi wengi hatujui impact ya muungano ndo maana tunapiga mayowe ila wale wenyewe walikaa wakafanya muungano na wakaelewana wakajua tija zake. Muungano ni muhimu sana na ndo maana unaona kuna mambo ya mungano na yasiyo ya muungano. Mkuu maswala ya imani ni imani piaUkweli mchungu ngio huu..sheria na kanuni za znz ..zinaegemea sana kwenye dini!
Labda kwa wageni ndio hamjui hilo ..
ndio hivyo...toka enzi na enzi...
Wajuzi wanatambua hilo na wala hawana tabu nalo!
Kulazimisha znz iwe kama bara kisa muungano ndio maana wengi hawautaki.... mengi yanachangia!
Tatizo wanatawaliwa...hawana la kufanya...lkn kama ni kuchagua...
Ingekuwa tunaongea mengine mda huu@
Tamaduni ya kulazimisha mtu kufunga kisa anaitwa Abdul?Kila mahala kuna mila na tamaduni zake. Hivyo basi tunapozungumzia mambo tusikurupuke.
'Ukiwa Roma kuwa kama Warumi'
View attachment 1094622
Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)
Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula
Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga
Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Tamaduni ya kulazimisha mtu kufunga kisa anaitwa Abdul?
Hiyo ndiyo hali halisi. Kwa hiyo ni chaguo lako kwenda huko kipindi hiki au kutokwenda huko.Tamaduni ya kulazimisha mtu kufunga kisa anaitwa Abdul?
Upo sahihi kabisa sijui kwanini wanakuwa wazushi na wanaotumiwa wanakoment ujinga bila kuhojiHii picha ni ya zamani sana haipungui miaka 3, kila ikiingia ramadhani inaletwa tena. Tukio la picha hii limepitwa na makati. Ni vizuri kutoa habari zilizopo sio zilopitwa na wakati.