the say
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,774
- 3,369
Nachagua mmoja naenda kuishi kwenye koo lake, walah watazika watu wawili siku hiyoMkuu jamaa huwa wanabonda hao ukijifanya kujitutumua watakumaliza watawanyike.
Nachagua mmoja naenda kuishi kwenye koo lake, walah watazika watu wawili siku hiyoMkuu jamaa huwa wanabonda hao ukijifanya kujitutumua watakumaliza watawanyike.
Wapigwe tu hamna namna nyingine
Itakuwa wanakula vyumbani hawa[emoji3]
Zanzibar asilimia 99 ni waislam, hata wasio waislam ikifika ramadhani hufunga, na kujumuika na waislam, hii Ndio tamaduni ya zanzibar.
Umetoka tanyanyika unakuja zanzibar kuuza gongo? Ramadhani tena? Unataka nini hasa? Utachapwa fimbo mpaka utanyooka, Tanzania mwisho chumbe, huku tunaita zanzibar.
Kuna jamaa mmoja kule Iran alikatwa panga la shingo kwasababu amesikiliza wimbo wa Rick Rose!Mkuu huko kote kwenye ugaidi kuna sababu zao na sijawahi kusikia et mtu kaamua tu kujilipua au kubutua bomu na kuuwa et ili aende kupata mabikira,na kama ingekuwa hivyo basi ugaidi usingeweza kuudhibiti kabisa maana mtu anaouwezo wa kutoka na panga lake na kuanza kuchinja tu watu ili aende peponi na hali hiyo kila palipo na waislamu pasingekalika.
Mimi ni Mroma na nilikuwa sifungaji yaani tangu kuzaliwa kwangu lakini sasa hivi muda mwingi huwa nafunga .Nilichojifunza kufunga unakuwa na unyenyekevu kwa muda mwingi unamtafakari Mwenyenzi Mungu kwa makuu.
Kufunga kunatoa majibu kwa mtu mwenye shida
Kuna jamaa mmoja kule Iran alikatwa panga la shingo kwasababu amesikiliza wimbo wa Rick Rose!
SureMkuu bila shaka unamaanisha dini
Nyinyi ni magaidi na tunalitambua hilo! Mtaendelea kubinywa kisayansi mpaka mafunza yawatoke vichwani! Nenda segerea ulizia mashehe wa uamsho! Watakuja kwa mafungu mafungu utawasabahi vema.Zanzibar asilimia 99 ni waislam, hata wasio waislam ikifika ramadhani hufunga, na kujumuika na waislam, hii Ndio tamaduni ya zanzibar.
Umetoka tanyanyika unakuja zanzibar kuuza gongo? Ramadhani tena? Unataka nini hasa? Utachapwa fimbo mpaka utanyooka, Tanzania mwisho chumbe, huku tunaita zanzibar.
Mkuu jamaa huwa wanabonda hao ukijifanya kujitutumua watakumaliza watawanyike.
Halafu watapata thawabu kwa kuua mtu aliyekuwa anakula na hana magusiano na imani yao.
Kweli binadamu ni hatari kuliko simba mwenye njaa.
Kabisa mkuu, kwa akili hii wakipewa uhuru wataanza kuwabagua wenzao waunguja.Hawa tusiwape uhuru hadi akili ziwakae sawa tena ikibidi zanzibar iwe mkoa tu kwasababu uwezo wa kufanya hivyo tnayo
Mkuu usifikili hawa jamaa wanafanya hivi kwasababu ya uislamu wao, hawa jamaa ni wabaguzi hatariHalafu watapata thawabu kwa kuua mtu aliyekuwa anakula na hana magusiano na imani yao.
Kweli binadamu ni hatari kuliko simba mwenye njaa.
Zanzibar 99% ni waislamu,sasa kama mtu mzima mwenye akili timamu anashindwa kusoma alama za nyakati afanyajwe? Asubirie Mwezi Mtukufu uishe,Ibilisi atoke kifungoni aungane nae,sio ndani ya mfungoShekh umefunga kweli we?
Unaushahidi huyo ibilisi yupo..?Zanzibar 99% ni waislamu,sasa kama mtu mzima mwenye akili timamu anashindwa kusoma alama za nyakati afanyajwe? Asubirie Mwezi Mtukufu uishe,Ibilisi atoke kifungoni aungane nae,sio ndani ya mfungo
Sio uislamu mkuu, ndio maana haya mambo huwezi kuta yanafanyika huku baraUislamu unaniachaga hoi sana..... Hahahaa