Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Hii picha ni ya zamani sana haipungui miaka 3, kila ikiingia ramadhani inaletwa tena. Tukio la picha hii limepitwa na makati. Ni vizuri kutoa habari zilizopo sio zilopitwa na wakati.

Mkuu Wa mkoa Wa huko katangaza khali ya hatari kwa wasiofunga na kula hadharani umesikia taharifa yake?
 
Kwa Zanzibar ilivyo ingeachwa tu iwe nchi kamili maana kuna wagaratia wanaishi huko kikazi au la ila maisha yanakuwa magumu Sana kutokana na mfumo dume wa kiarabu
Kwahiyo unakubali kuchapwa kwa sababu hujafunga?
 
Hahaa wazungu walituweza na dini zao kula nile mimi wewe upate tabu makubwa kuna mambo watu wanafanya kudhalilisha dini sidhani mtume Muhammad kama alifanya hivo vitendo mbona kwaresma imepita na amani kila mtu akiwa busy na yake waislamu haya mambo mnatoa wapi hivi ni Mungu mtukufu au mwezi mtukufu kushinda njaa ushinde wewe mimi nile we upate tabu hahaa ni wivu tuu! ukakasi sana you know! ,na hapo wanafurahi na jioni wanafuturu eti wamefunga wazungu jamani njooni mchukue dini zenu mtu achie asili yetu ya zamani[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wapemba tunawatuma waha wakafinywe heshima ije
 
Sasa kama raia wenyewe tu wanatembeza bakora mtaani halafu mtu anashangaa serikali kuzuia mahoteli kuuza chakula mchana wa ramadhani,ndio maana nasema huo ni utaratibu wao wenyrwe wazanzibari.
 
Mchana wa leo nilikua pale Kisonge wakapita jamaa na dada wa kizungu na juice zao na 'biskuti' safi wanakula tena dada kavaa kikaptula kifupi mno.

Sasa fanya haya wewe mwenzangu mweusi mwenzao wanakutolea macho kama upo uchi, wanakuzodoa ila kwa wazungu wanakua kimyaa.

Adui wa mweusi ni mweusi mwenzie.
Huo ndio unafiki sasa mimi nakula bwana
 
Sasa kama raia wenyewe tu wanatembeza bakora mtaani halafu mtu anashangaa serikali kuzuia mahoteli kuuza chakula mchana wa ramadhani,ndio maana nasema huo ni utaratibu wao wenyrwe wazanzibari.
Huo utaratibu sio mzuri acheni mara moja
 
Lakini kwa wazungu mnakuwa wapole, wanavaa hovyo mnakuwa kimya, kipindi hiki wanakula mitaani hovyo hamsemi wakila weusi wenzenu kelele kibao
Hapo ndipo ngozi nyeupe inatuzidi akili
 
kila kukicha wakristo wanaingia uislamu kwa wingi hata hapa tanzania uislamu unakuwa sana tena mna bahati nyie makafiri mnasaidiwa na bakwata , lakini hata hivyo wanaotoka ukristo dini ya kufumba macho na tuimbe ni wengi
 
Sasa wakija wewe unafaidika na nini? Mtazikwa kaburi moja?
kila kukicha wakristo wanaingia uislamu kwa wingi hata hapa tanzania uislamu unakuwa sana tena mna bahati nyie makafiri mnasaidiwa na bakwata , lakini hata hivyo wanaotoka ukristo dini ya kufumba macho na tuimbe ni wengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom