Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,061
Nenda makanisani uone waislam wanavyo jaa kwanza huko kwa mabii ndiyo wanaongoza kwendakila kukicha wakristo wanaingia uislamu kwa wingi hata hapa tanzania uislamu unakuwa sana tena mna bahati nyie makafiri mnasaidiwa na bakwata , lakini hata hivyo wanaotoka ukristo dini ya kufumba macho na tuimbe ni wengi